Ratiba ya mapokezi ya Lema kesho Arusha!

Hapana Mkuu, Ninajiandaa kuelekea Abbeysinia (Ethiopia) baadae leo. Nimekumbuka chakula chao "Njera" hiyo ndio pilau yangu kwa mwaka huu shemeji.....Ila katika maandalizi ya kuupokea mwaka mpya(New Year Eve)nitakuwa nyumbani.

[QUOTE=Mwita Maranya;5278244]Mkuu Thanda utakuwepo kwenye mapokezi kesho?[/QUOTE]
 
Arusha sasa kumekucha. Palikuwa pamepoa sana baada ya Lema kuvuliwa ubunge.Mhe PM Pinda ajiandae kujibu hoja za mh Lema kuhusu mauaji ya Arusha. RC Arusha aliwahi kudai kuwa bila Lema watu wa Arusha hawamsumbui.Tulimkosa sana Mbunge wetu.Kiongozi wetu tuliyemchagua kwa kura zetu karudi.
 

Wabunge wamejitolea kulipia magari yao na helikopta zao, malazi, service za magari, chakula na madereva wao. Wananchi wanachanga kufanikisha mkutano. Lengo ni kuhamasisha Tanzania nzima na sio jimbo la Arusha mjini peke yake. Macho na masikio ya Watanzania wengi sana kwa siku ya leo yatakuwa Arusha. Kuna kura nyingi sana zitapatikana leo nchi nzima kwa mambo yatakayofanyika jijini Arusha. We are gaining political momentum.

Waste of resources ni pale unapohonga watu wakafungue kesi za usumbufu zisizo na mbele wala nyuma. Kupoteza hela za walipa kodi kwa mahakamani kuendesha kesi ambazo kwa makusudi kabisa zimefunguliwa kujaribu kuwa keep wabunge wa CHADEMA busy wasiweze kufanya kazi yao vizuri bungeni.
 

Mungu hana dini. Binadamu ndio tuna dini.
 
TBC 1 watarusha matangazo hayo kama walivyofanya kwa CCM na CUF? Wengine tunataka tuone kupitia kwenye luninga yetu ya Taifa..!
 
aghalabu hata mwanao nyumbani akifanya vizuri anahitaji pongezi,gharama kitu gani mbona fedha tunakufa tunaziacha
 
ndugu yangu wewe huijui Arusha.hizo helkopter,magari,pikipiki ni mali ya watu binafsi!havijakodiwa na hela za chama kama wafanyavyo ccm.CDM watu hujitoa mwanzo mwisho.hawahitaji kubebwa,kula pilao,kugawiwa kanga,T.shirt,kofia wala tsh.2000/-usifananishe cdm na ccm ya J.KIKWETE.
 
karibuni Philips kushaanza kupendeza mambo mwanjamwanja!
 
Lakin ukifatilia siasa ya marekani huwa wanasiasa hupenda kusema god blees usa vile vile hata wakati wa kudai uhuru kusin mwa afrca weng walimtanguliza mungu
 
Acha upopompo wewe.
Wanachama wa cdm wana imani zao na ndio wanaosema hivy, siyo katiba ya chama!! tumia common sense.

Mwislamu anayekipenda Chadema ruksa kusema -Tulianza na Allah, tutamaliza na Allah! na Mhindi nae ruksa kutaja anachoamini...lakini general term ni MUNGU.!

Wewe uko overSensive na dini wewe, na watu wa aina yako ndiyo wanaovuruga nchi hii. Tuache tafsir fyongo.
 
well said mkuu
 

Tupo pamoja kwa sana.
 

Ndg yangu hayo matukio dhidi ya wanyonge yatupe nguvu ya kuwaondea hawa wakoloni weusi
 
Kwa wale matomaso nitawarushia mapicha....hahahah
 
hongeren akina mama kwa kazi nzuri ya maombi.ama kweli mungu hutenda haki daima dumu,ar twaomba muongozwe na utulivu na hekima, jaman twendeni na singida tukashambulie ule mkoa bdo una kijani kisichokuwa na mafanikio.hasa kwa kale kafisadi kanakoibukia iramba magharibi.kabla hakajaweka mizizi pale,mana kanatuogopesha kwa wake zetu na mabinti zetu,
 

Mkuu, natumia simu tu. Ningekugongea like! Pokea hii like ya text!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…