Ratiba ya mapokezi ya Lema kesho Arusha!

Ratiba ya mapokezi ya Lema kesho Arusha!

Kwa hii ratiba, lazima Mkuu Paka Jimmy atakuwa na neno la kusema.


Mkuu, ratiba hii kweli kabisa imekaa kihovyohovyo sana, mtu aliyeiandaa si mtaalam.

Pia inaconfuse kwenye MUDA kwasababu Saa mbili ya asubuhi imeonyeshwa kwa figure 2, wakati pia saa 8 mchana imeonyeshwa kwa figure hiyohyo ya 2.
Haijatulia, japo KWA HAMASA TULIYO NAYO TUNAMEZEA.!!
 
ratiba imekaa fresh sana. dah!! hao kina mama watakuwa na majonzi sana.
 
Unajua Mkuu nimeku-mention kwa kuwa najua na kutambua umakini ulionao katika mambo kama haya....big up mkuu.

Mkuu, ratiba hii kweli kabisa imekaa kihovyohovyo sana, mtu aliyeiandaa si mtaalam.

Pia inaconfuse kwenye MUDA kwasababu Saa mbili ya asubuhi imeonyeshwa kwa figure 2, wakati pia saa 8. mchana imeonyeshwa kwa figure hiyohyo ya 2.
Haijatulia, japo KWA HAMASA TULIYO NAYO TUNAMEZEA.!!
 
Shonza Arusha we unacheza nini huku ni kazi tu

huyo anaemtaka shonza hawafahamu machalii wa r na chadema yao, huko watu wako siriasi wabeba runguri kama shonza wache wafanye mikutano yao uko manyovu na mwandiga
 
Kibali kimeshaombwa au?

Jihadharini na intellijensia za Polisi. Otherwise nawatakieni heri Arusha

Inteligensia ni nini bwana, inteligensia ya kuchukua milioni 150 walizoenda kuua majambazi Kariakoo. Hakuna cha intelijensia polisi. Inteligensia ilikuwa kuzuia mikutano ya CHADEMA, sasa Lema karudi, ufisadi katika barabara za Arusha, Meya feki wa Arusha na masuala ya Waziri Mkuu kudanganya bunge, tunataka kuwa huru!
 
:target::target::target: :smiling::smiling::smiling: tupo pamoja! HONGERA LEMA!:majani7::majani7::majani7::becky::becky::becky::majani7::majani7::majani7::majani7:WATU WATAKUWA HIVI KESHOOOOOOOOOOOOOOO!!!!!!!!!!:A S 11::A S 11::mwaaah::mwaaah::mwaaah::target::target::target::A S 100::A S 100::A S 100::A S 100::A S 100::majani7::majani7::majani7::majani7:
 
Hiyo safi saaana na ni pigo kwa magamba wooote

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
LEMA wajali sn hao wamama wa sokoni! They played a hidden role 2 support u! Wamepata shoruba kali sn juu yako. Mungu awabariki
 
Salamu kwa Meya Lyimo! TULIANZA NA MUNGU TUTAMALIZA NA MUNGU!!!
 
polisi tuacheni tukampokee kamanda kwa amani hakuna panya atakayekufa!!
 
Msisahau kuwatumia sms wanakundi la PM7 ili waje kushuhudia kamanda Lema anavyopokewa nyumbani kwao.
Ila muwatahadaharishe wasije na mitunguli yao huko wasije wakagandiana!
 
Back
Top Bottom