RATCO Express-Usipime

RATCO Express-Usipime

Naomba ukiwa na hela zako uabiri VIP tokena Mambasa hadi Nairobi, utadhani ndege 1st class. Nimekuambia kwetu haya ni kawaida tu.

Hebu ona choo ndani ya bus, sio kama zile Dar express zenu utakojoa ukifika Korogwe halafu hadi Arusha.
935926_446251702137233_1259718530_n.jpeg



Hostess services, pamoja na upishi
942922_475133985889091_1722884605_n.jpeg




1450162_684067894946456_1646850590_n.jpeg

bado hayo yatabaki kuwa ni maroli tu mliyoya-pimp yawe luxury buses.they're not original luxury bus.huwezi linganisha na Yutong Bus & Coach.period.
 
Mi naona wangeajiri machangu wote wa DOM (wasio na ukimwi lakini) kwa customer care ili wabunge wafanye kazi za uhakika kule Dodoma.
 
bado hayo yatabaki kuwa ni maroli tu mliyoya-pimp yawe luxury buses.they're not original luxury bus.huwezi linganisha na Yutong Bus & Coach.period.

Haijalishi whether ni tractor, lorry ama basi, mwisho wa siku natulia kwa raha zangu kwenye usafiri wa uhakika, na wenye raha, choo, internet WIFI, movies kwenye kiti, juice na bia kibao n.k. yaani huna haja ya kuhangaika.....Mambasa raha.
 
Hizi bus zinapiga route ya wapi? Nimetamani kusafiri ghafla!
 
Mabasi ya yutong ni kama vle mizoga tu! ......zipe miaka kama mitatu hivi......haha!....labda yangekuwa yametengezwa Uropa.
 
Dah sema route fupi yangekuwa yanaenda Dar-Mwanza,Dar-Mbeya una enjoy.Good
 
Dogo nishakwambia utachoka sasa ukikimbizana na Wakenya, sasa nyie ndio mnaletewa haya mabasi wakati kwetu yashakua ya kawaida, naona huna habari ya ngoma zile hutumika tokea Mombasa (Mambasa raha) hadi jiji la Nairobi. Usipime kaka

1390635_607124162668478_1883465309_n.jpg


1503245_555596657857475_1873045101_n.jpg


1471774_576757002405504_699598016_n.jpg


1511320_746620505368060_413835764_n.jpg

Hii mbas kiboko kiasi.
 
kama scandinavia haikufanyiwa fitna,.............
 
bado hayo yatabaki kuwa ni maroli tu mliyoya-pimp yawe luxury buses.they're not original luxury bus.huwezi linganisha na Yutong Bus & Coach.period.
Kaka acha ushamba unatuaibisha, huelewi unalosema unaposema lory unamaanisha nini,ungejua siku hizi hizo yutong haziimili mikikimikiki wanweka scania engine.a simple research angalia njia ya dar- kahama or dar-mwanza hamna cha yutong..ni hayo unayoyaita malori..rudi kwenye speed hata uwe na yutong gani husogezi pua kwa scania.
 
Dogo nishakwambia utachoka sasa ukikimbizana na Wakenya, sasa nyie ndio mnaletewa haya mabasi wakati kwetu yashakua ya kawaida, naona huna habari ya ngoma zile hutumika tokea Mombasa (Mambasa raha) hadi jiji la Nairobi. Usipime kaka

1390635_607124162668478_1883465309_n.jpg


1503245_555596657857475_1873045101_n.jpg


1471774_576757002405504_699598016_n.jpg

Eww, thats an old a*s bus, with interiors similar to a strip club.phew.
 
Kaka acha ushamba unatuaibisha, huelewi unalosema unaposema lory unamaanisha nini,ungejua siku hizi hizo yutong haziimili mikikimikiki wanweka scania engine.a simple research angalia njia ya dar- kahama or dar-mwanza hamna cha yutong..ni hayo unayoyaita malori..rudi kwenye speed hata uwe na yutong gani husogezi pua kwa scania.

acha kukurupuka kijana,umedandia mjadala kwa mbele bila kuusoma vizuri.what we're discussing is the luxuriousness of buses not competency of engine and blablabla.inaeleweka wazi ktk upande huo wa engine scania hana mpinzani.ila kwa upande wa luxury buses,kibongo kibongo na EA kwa ujumla, mchina hana mpinzani pia.hutaki unaacha.
 
Back
Top Bottom