kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
Naomba ukiwa na hela zako uabiri VIP tokena Mambasa hadi Nairobi, utadhani ndege 1st class. Nimekuambia kwetu haya ni kawaida tu.
Hebu ona choo ndani ya bus, sio kama zile Dar express zenu utakojoa ukifika Korogwe halafu hadi Arusha.
![]()
Hostess services, pamoja na upishi
![]()
![]()
bado hayo yatabaki kuwa ni maroli tu mliyoya-pimp yawe luxury buses.they're not original luxury bus.huwezi linganisha na Yutong Bus & Coach.period.