RATCO Express-Usipime

RATCO Express-Usipime

mabai mazuri hata mie nimeyakyubali, ila Dar Tanga si mbali kivilee kuweka all the luxury, mie wangeweka kama hayo kwa mabasi ya Arusha hata wakicharge 50,000 nalipa swaafii swadakta hata chenji sidai. Ila Tanga hakuna mashiko sana.
Ivo.
 
Angeleta ya kwenda arusha au mbeya akamue vya kutosha. Akiweka tanga tu anatukosesha uhondo na sie
 
hizi zimeletwa kureplace zile mbovu za saa 11 jioni?? au bado zipo??? maana ukipanda za muda huo jiandae kufika alfajiri ya siku inayofuata...
 
lawmaina78 pitia hapa utuambie je kenya bus kama hizi mnazo?.

Dogo nishakwambia utachoka sasa ukikimbizana na Wakenya, sasa nyie ndio mnaletewa haya mabasi wakati kwetu yashakua ya kawaida, naona huna habari ya ngoma zile hutumika tokea Mombasa (Mambasa raha) hadi jiji la Nairobi. Usipime kaka

1390635_607124162668478_1883465309_n.jpg


1503245_555596657857475_1873045101_n.jpg


1471774_576757002405504_699598016_n.jpg


1511320_746620505368060_413835764_n.jpg
 
Dogo nishakwambia utachoka sasa ukikimbizana na Wakenya, sasa nyie ndio mnaletewa haya mabasi wakati kwetu yashakua ya kawaida, naona huna habari ya ngoma zile hutumika tokea Mombasa (Mambasa raha) hadi jiji la Nairobi. Usipime kaka

1390635_607124162668478_1883465309_n.jpg


1503245_555596657857475_1873045101_n.jpg


1471774_576757002405504_699598016_n.jpg


1511320_746620505368060_413835764_n.jpg

hamna kitu hapo.huwezi kufananisha body za ku-assemble mombosa zisizo zingatia vipimo na body anazo assemble mchina?.mabasi yenu pamoja na kuya-pimp yaonekane ya kisasa,nayachukulia kama maroli ya mizigo.
tazama vizuri bus za ratco?,usijitoe ufahamu.hiyo ni next level baab!ni ya kwanza EA.
 
hamna kitu hapo.huwezi kufananisha body za ku-assemble mombosa zisizo zingatia vipimo na body anazo assemble mchina?.mabasi yenu pamoja na kuya-pimp yaonekane ya kisasa,nayachukulia kama maroli ya mizigo.
tazama vizuri bus za ratco?,usijitoe ufahamu.hiyo ni next level baab!ni ya kwanza EA.

Naomba ukiwa na hela zako uabiri VIP tokena Mambasa hadi Nairobi, utadhani ndege 1st class. Nimekuambia kwetu haya ni kawaida tu.

Hebu ona choo ndani ya bus, sio kama zile Dar express zenu utakojoa ukifika Korogwe halafu hadi Arusha.
935926_446251702137233_1259718530_n.jpeg



Hostess services, pamoja na upishi
942922_475133985889091_1722884605_n.jpeg




1450162_684067894946456_1646850590_n.jpeg
 
Back
Top Bottom