au Zumbemkuu
mabasi mazuri, but vipi kuhusu Customer care????
lawmaina78 pitia hapa utuambie je kenya bus kama hizi mnazo?.
Dogo nishakwambia utachoka sasa ukikimbizana na Wakenya, sasa nyie ndio mnaletewa haya mabasi wakati kwetu yashakua ya kawaida, naona huna habari ya ngoma zile hutumika tokea Mombasa (Mambasa raha) hadi jiji la Nairobi. Usipime kaka
![]()
![]()
![]()
![]()
hamna kitu hapo.huwezi kufananisha body za ku-assemble mombosa zisizo zingatia vipimo na body anazo assemble mchina?.mabasi yenu pamoja na kuya-pimp yaonekane ya kisasa,nayachukulia kama maroli ya mizigo.
tazama vizuri bus za ratco?,usijitoe ufahamu.hiyo ni next level baab!ni ya kwanza EA.