Rasmi nimeachana na mapenzi

Nipe namba yako tafadhali
 
Sisi walokole tunaovaa mabwanga tukiwatongoza mnatubwaga puuuu
Mnawapa tamu mabishooo πŸ˜…πŸ˜…

Haya sasa upwiru huo sjui atautoa nani
Na mm sitaki tena tamu yako nishapata single mothers apa reject tunasaidiana maisha😁😁
 
Kwaiyo Mbususu unaipiga kufuli Rasmi
 
(1)akiba hua haiozi(usirudie)

(2)wahenga tumeinjoy sana ,hivi ile nyimbo ya kidumu aliimba nani mkumbukao
 
Mimi naye yamenitokea kama yako. Kwakuwa sote ni wahanga wa incidents zinazofanana, basi nakuomba tuanze fresh pamoja, you and I we become together as one. Unaona vipi Binti Sayuni03 I will cherish you, hatutaumizana Kwa hakika maana sote tu wahanga.
 
haya maamuzi ni magumu sana kufanya bado hujapata maaction yakukufanya ukinai mapenzi,keep on exploring
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…