Rasmi Apple yainunua App ya Shazam kwa bilioni 897.58

kila kitu ni ushindani sio kwasbb kuna insta au Facebook basi watu waache kutengeneza vitu kama hivyo
watu watengeneze ila wawe wabunifu zaidi kumbuka Facebook aliiona WhatsApp kama threat kwake na akaamua kuwafanya partners

kulikua na Skype
akaja imo n.k
wote wanatoa vitu vyenye kuendana

vipi BBM? wangemwacha pekeyake leo tungekuwa na WhatsApp?

cha msingi ni kutumia udhaifu wa aliyekutangulia kwa kuboresh zaidi hata kama umekopi na kupest kutoka kwake

vivyo hivyo utaona ligi ipo kwenye maswala ya antivirus
Sasa si kwa sababu tayari kuna hiyo facebook...
Hakuna kinachotamba zaidi ya ambacho tayari kilikuwepo.
Namaanisha tubuni cha tofauti.
 
Sasa si kwa sababu tayari kuna hiyo facebook...
Hakuna kinachotamba zaidi ya ambacho tayari kilikuwepo.
Namaanisha tubuni cha tofauti.
IMG_20171215_210346_574.JPG
 
Teknolojia inalipa na itaendelea kulipa kwasababu kila aina ya biashara na huduma itafanywa kwa mfumo wa kompyuta.

Itafikia wakati ukitaka nyumba ya kupanga/kiwanja unaingia kwenye app fulani ili kutafuta nyumba ya kupanga/kiwanja.

Itafikia wakati biashara nyingi zitakuwa computerised.

Tuamke sasa.
Mbona sasa watawala wanataka malaika waje waifunge ndugu
 
Sasa si kwa sababu tayari kuna hiyo facebook...
Hakuna kinachotamba zaidi ya ambacho tayari kilikuwepo.
Namaanisha tubuni cha tofauti.
Hapa napingana na wewe, japo kuna fb lakin haizuii kutengenezwa kingine kama fb!! nenda google andika "quora", huu ni mtanda unaofanana na fb japo madhumuni ni tofauti kidogo ila ulianzishwa na mtu aliyekua anafanyakazi fb na mpaka sasa umekua sana...
 
Nadhan Kwa kutumia hyo application ya shazam ni wakati Kwa developers Wa bongo kutengeneza Shazam ya kibongo ambayo itakuwa inatambua nyimbo za kibongo,nani kaimba pamoja na lyrics zake.
 
wanaweza ila njia wanazotumia kufanya app zao ziwe maarufu ndipo shida inapo anzia hii inachagizwa pia na watanzania walio wengi kutokupenda kusapoti kazi za nyumbani.

nitakupa mfano mwaka juzi kama sijakosea palitokea kijana wa UDOM alitengeneza kitu kama facebook na watu wakaonekana kuikubali ila mpaka sasa sijui aliishia wapi na siamini kama kuna mtanzania anaetembelea hiyo project ya jamaa.
Watu wapo wanaweza tengeneza apps nzuri, ila ishu ni kutoka na idea mpya kabisa, mfano huwezi tengeneza app inayofanya kazi kama Facebook, Whatsapp au Uber na ukataka watu waitumie. Ubunifu wa mawazo mapya ndio unakosekana.
 
Nadhan Kwa kutumia hyo application ya shazam ni wakati Kwa developers Wa bongo kutengeneza Shazam ya kibongo ambayo itakuwa inatambua nyimbo za kibongo,nani kaimba pamoja na lyrics zake.
Hapo ndio tunapofeli, wakati app ya Shazam inatambua miziki yote ikiwepo na ya bongo, wewe unatoa wazo la kuiga ubunifu wao lakini unaishia kutambua miziki ya bongo tu. Kuna kitabu kinaitwa Zero to One kimeandikwa na Peter Thiel (Library Genesis)
Mwandishi anaeleza jinsi ya kujenga makapuni(startups) yenye kutengeneza vitu vipya nje ya vilivyopo tayari, tunatakiwa kuwa na ubunifu wa kuanzisha vitu vipya yani from Zero to One na sio from 1 to n.
 
Teknolojia inalipa na itaendelea kulipa kwasababu kila aina ya biashara na huduma itafanywa kwa mfumo wa kompyuta.

Itafikia wakati ukitaka nyumba ya kupanga/kiwanja unaingia kwenye app fulani ili kutafuta nyumba ya kupanga/kiwanja.

Itafikia wakati biashara nyingi zitakuwa computerised.

Tuamke sasa.

Hii mbona ipo mkuu, labda kibongo bongo na nyumba zetu za kwa aziz Ally
 
Hapa napingana na wewe, japo kuna fb lakin haizuii kutengenezwa kingine kama fb!! nenda google andika "quora", huu ni mtanda unaofanana na fb japo madhumuni ni tofauti kidogo ila ulianzishwa na mtu aliyekua anafanyakazi fb na mpaka sasa umekua sana...
Sasa quora si ina-stand out kivyake kwa sababu ya hizo features zake. Em fikiria tu kila app iliyo kubwa kama kuna nyingine ipo exactly hivyo hivyo na pia ni as popular as it is.
Hukunielewa. Nilichomaanisha ni kwamba tukitaka kitu kiwe popular lazima kiwe na special feature.
Mfano, angalia jamiiforums. Ni mtandao wa kijamii, lakini we mostly discuss issues, i.e. Local stuffs. Na hiyo ndo inachotofautisha na mitandao mingine ya kijamii. Na ndio maana jamiiforums imeonekana. Akija mwingine atengeneze exactly kama hii, atafanikiwa lakini atashindwa ku-stand out. Sijui unenielewa point yangu?
Yaan, tuna developers wazuri sana, sema tunarudia.
 
Daaah wenzetu wanaenda kasi kwe vitu vya maana sisi huku viongozi wa serikali wanafanya kuwanunua wapinzani cjui ndo matakwa ya wananchi

Ona huyu kichaa. Lazima ulete ujinga hata kwenye mada za maana. We una ushahidi gani na kama ni wapinzani why wanunuliwe. So Lowasa mlimnunua. Yani Pumbavu kuliko wote
 
Ona huyu kichaa. Lazima ulete ujinga hata kwenye mada za maana. We una ushahidi gani na kama ni wapinzani why wanunuliwe. So Lowasa mlimnunua. Yani Pumbavu kuliko wote
Vichaa unao kwenye ukoo wako pu..mba..vu ww kuna sehemu nimekuuliza kitu au ndo kuwashwa washwa tu?
 
Back
Top Bottom