Rashid Othman ndiye Boss wa Usalama

Rashid Othman ndiye Boss wa Usalama

Status
Not open for further replies.
Mkuu Richard,

Hadithi ni ndefu na nzito sana, lakini pamoja na yote chanzo cha kufarakana kwa mgosi-Kibelloh na muungwana, wakati ule ilikuwa ni unafiki wa Mkapa, wakati mgosi akiwa na muungwana foreign, hayo ya London, ambayo ni mengi sana yalikuja baadaye sana,

Ndio maana sasa Lihanjo ni katibu wa muungwana, na in the end ni incompetence at best kwa uongozi wa taifa letu, yaani tunaokuja kulipa ni sisi wananchi!
 
Huyu jamaa alikuwa London, afisa ubalozi yaani agent wa kawaida wa usalama pale, sasa nilishawahi kumuongelea kule BCS, kwani kazi yake kubwa ilikuwa kumfixia mzee JK, vimwana pale,

recently list ilikwenda down to kati yake na mzee mmoja yuko Zaire, ambaye ni kabila la mzee, kwa hiyo tulitegemea kuwa ndiye angeingia, kwa kweli baada ya uchaguzi huu, nimenyoosha mikono na mzee wangu JK!

Huyu ndiye jaamaa aliyekuwa akifanya kazi ya ziada na mzee Salva Rweyemamu kumuondoa Kibello, pale London. Zile kelele zote za magazeti juu ya Kibello na habari za mfanyakazi wake wa ndani zilikuwa zinakuwa engeneeered na huyu jamaa, akishirikiana na mama mmoja pale ubalozini London anayeitwa Amina(mdogo wa mama Migiro), jamani!

Mungu aibariki Bongo, kama kweli huyu kijana Othumani anaweza kuchukua nafasi ya Abson! Sina nguvu tena!


Mzee ES
Hii sentensi niliyoipigia msatri imenifanya niongeze heshima kwako. Hii ni thread ya mwaka 2006, lakini uliyosema wakati ule ndio tunayaona sasa 2008, na huenda haya ni machache tu tunayoyaona, kama tungeweza kuyafahamu mengi zaidi kutoka kwa insiders nadhani tungefahamu uozo mwingi zaidi. Kweli sasa tuendelee kuomba mungu tu!
 
Wana wa JF bwana . Mna maajabu .Haya mimi na ES tuliyasema zamani kabisa .ES waletee ile thread ya Mkuu huyu kuwa Mkuu wa usalama wa Nchi .Wengi wageni hapa naona .
 
Wana wa JF bwana . Mna maajabu .Haya mimi na ES tuliyasema zamani kabisa .ES waletee ile thread ya Mkuu huyu kuwa Mkuu wa usalama wa Nchi .Wengi wageni hapa naona .

JF ni mahali pazuri sana you can see the future hata kama utaikataa ni swala la muda tu, everything will come up halafu unaanza kusema but we said this. Big up JF
 
Wazee Jasusi na Mafuchila,

Huyo mwanamama alipokuwa Mlimani alikuwa akijiita Amina Mtengeti, sasa hivi hujiita Radhia Msuya, pia naye hujimwaga na mzee!, maana safari kibao za London mzee akiwa waziri, alikuwa akipotea airport na kutoonekana hata kwa siku mbili na kuwaacha mafisa wa ubalozi na wajumbe aliofuatana nao wakiwa wanahaha!, waziri yuko wapi! waziri yukowapi!

Naona Mkulu hajamsahau huyu Dada Radhia, sasa ni Mkurugenzi wa balozi za Ulaya na Marekani.....bado anajiweka fresh utadhani yuko early thirties!
 
Huyu radhia msuya yuko wapi siku hizi?? make niliwahi kukumbana naye arusha kwenye conference fulani.
 
acha ushabiki ametimuliwa huko bunge la Afrika kwa sababu ya undugu (nephotism yaani Wakerewe walijaa huko Bondeni!) na ufujaji wa rasilimali (Overspending)! kafanya mambo ya aibu kajilipa mpk hela ya kuhamisha mizigo wakati nyumba aliyopewa ilikuwa na kila kitu yaani furnitures!
 
Huyu jamaa alikuwa London, afisa ubalozi yaani agent wa kawaida wa usalama pale, sasa nilishawahi kumuongelea kule BCS, kwani kazi yake kubwa ilikuwa kumfixia mzee JK, vimwana pale,

recently list ilikwenda down to kati yake na mzee mmoja yuko Zaire, ambaye ni kabila la mzee, kwa hiyo tulitegemea kuwa ndiye angeingia, kwa kweli baada ya uchaguzi huu, nimenyoosha mikono na mzee wangu JK!

Huyu ndiye jaamaa aliyekuwa akifanya kazi ya ziada na mzee Salva Rweyemamu kumuondoa Kibello, pale London. Zile kelele zote za magazeti juu ya Kibello na habari za mfanyakazi wake wa ndani zilikuwa zinakuwa engeneeered na huyu jamaa, akishirikiana na mama mmoja pale ubalozini London anayeitwa Amina(mdogo wa mama Migiro), jamani!

Mungu aibariki Bongo, kama kweli huyu kijana Othumani anaweza kuchukua nafasi ya Abson! Sina nguvu tena!
mzee una data si mchezo.yote ni kweli.
 
Field Marshal ES said:
Wazee Jasusi na Mafuchila,

Huyo mwanamama alipokuwa Mlimani alikuwa akijiita Amina Mtengeti, sasa hivi hujiita Radhia Msuya, pia naye hujimwaga na mzee!, maana safari kibao za London mzee akiwa waziri, alikuwa akipotea airport na kutoonekana hata kwa siku mbili na kuwaacha mafisa wa ubalozi na wajumbe aliofuatana nao wakiwa wanahaha!, waziri yuko wapi! waziri yukowapi!

Field Marshal ES,

..kwenye nchi zilizoendelea bosi akitembea na subordinate wake, basi bosi hupoteza kazi mara moja.

..hata Bill Clinton alipotembea na wale wanawake kama Paula Jones, Gennifer Flowers, Monica Lewinsky, lawama zilienda kwa Bill Clinton, na siyo hawa wanawake aliokuwa akiwatumia.

..hawa wanawake mara nyingi ni VICTIMS wa mabosi wanaume wenye tabia chafu-chafu.

..tusipoanza sasa kuwaumbua hawa wanaume wenye tabia chafu, basi tatizo hili haliwezi kuisha.







.
 
Tumerudi huku tena ? Si kwamba kwa sasa tumesha chelewa ama kelele zipigwe hadi siku ya mwisho ?
 
Huyo dada most likely ni Radhia,kwa sababu Radhia ni diplomat. Amina ni mfanyabiahara.
 
- Wasaalam wakulu, woow! hii thread imenikumbusha mbali sana yaani tulikotoka na taifa letu katika siasa za Blogs, what can I say? Ingawa kwa kifupi tu ni kwamba:-

1. RO ni victim wa our ugly political system, leo knowing what I know kuhusu uchapaji wake wa kazi na masilahi ya taifa, ni he is fair, isipokuwa sio siri sasa kwamba aliyempendekeza kupewa nafasi hakuwa na nia njema na taifa. As the results, amemfunika sana RO na kumfanya kushindwa kufanya kazi kwa 100%, kama ambavyo angependa kwa sababu mpaka leo the dataz ni kwamba aliyempendekeza bado anaendelea ku-function kwa 80%, huku akiwa nje ya system, na tatizo kubwa kuliko ni kwamba aliyeko juu haeleweki vizuri msimamo wake kwa hiyo RO ni lazima a-adjust carefully kulingana na msimamo wa aliye juu!

- Otherwise, RO ameweza ku-transform na ku-fit in huko uwt na kuweza kukubalika bila matatizo, for that ninampa respect!

2. Balozi Radhia, ni mshikaji wangu sana na ninampa heshima pia kuweza kufanya adjustments nyingi muhimu on the personal level na sasa anachapa kazi inavyotakiwa. Ameweza ku-calm down na kuweza kuimudu nafasi na pia kujiwekea heshima kikazi, halafu kwa kua bosi pale ananyemelea Ikulu, ninaamini Radhia ni Waziri mtarajiwa wa hii wizara.

As far as impact ya hawa wakulu katika uongozi mbovu tulionao hili taifa sasa hivi, kwa kweli ni ndogo sana kuwajadili as washiriki at this point and moment ni kuwaonea bure tu, and hapa I wash my hands!

Respect.


FMeS!
 
- Wasaalam wakulu, woow! hii thread imenikumbusha mbali sana yaani tulikotoka na taifa letu katika siasa za Blogs, what can I say? Ingawa kwa kifupi tu ni kwamba:-

1. RO ni victim wa our ugly political system, leo knowing what I know kuhusu uchapaji wake wa kazi na masilahi ya taifa, ni he is fair, isipokuwa sio siri sasa kwamba aliyempendekeza kupewa nafasi hakuwa na nia njema na taifa. As the results, amemfunika sana RO na kumfanya kushindwa kufanya kazi kwa 100%, kama ambavyo angependa kwa sababu mpaka leo the dataz ni kwamba aliyempendekeza bado anaendelea ku-function kwa 80%, huku akiwa nje ya system, na tatizo kubwa kuliko ni kwamba aliyeko juu haeleweki vizuri msimamo wake kwa hiyo RO ni lazima a-adjust carefully kulingana na msimamo wa aliye juu!

- Otherwise, RO ameweza ku-transform na ku-fit in huko uwt na kuweza kukubalika bila matatizo, for that ninampa respect!

2. Balozi Radhia, ni mshikaji wangu sana na ninampa heshima pia kuweza kufanya adjustments nyingi muhimu on the personal level na sasa anachapa kazi inavyotakiwa. Ameweza ku-calm down na kuweza kuimudu nafasi na pia kujiwekea heshima kikazi, halafu kwa kua bosi pale ananyemelea Ikulu, ninaamini Radhia ni Waziri mtarajiwa wa hii wizara.

As far as impact ya hawa wakulu katika uongozi mbovu tulionao hili taifa sasa hivi, kwa kweli ni ndogo sana kuwajadili as washiriki at this point and moment ni kuwaonea bure tu, and hapa I wash my hands!

Respect.

FMeS!

Kama pilika pilika za siasa zinakwenda kwa mtindo huu wa sasa....Na Bwana Membe akibahatika kuupata Ukuu wa Nchi basi Balozi Radhia ana nafasi pengine kubwa kuliko hiyo uliyotabiri......Siku nzima nimekuwa nasoma Thread hii...asilimia kubwa ya mambo yaliyosemwa ile 2006 yanaonekana leo.
 
- Wasaalam wakulu, woow! hii thread imenikumbusha mbali sana yaani tulikotoka na taifa letu katika siasa za Blogs, what can I say? Ingawa kwa kifupi tu ni kwamba:-

1. RO ni victim wa our ugly political system, leo knowing what I know kuhusu uchapaji wake wa kazi na masilahi ya taifa, ni he is fair, isipokuwa sio siri sasa kwamba aliyempendekeza kupewa nafasi hakuwa na nia njema na taifa. As the results, amemfunika sana RO na kumfanya kushindwa kufanya kazi kwa 100%, kama ambavyo angependa kwa sababu mpaka leo the dataz ni kwamba aliyempendekeza bado anaendelea ku-function kwa 80%, huku akiwa nje ya system, na tatizo kubwa kuliko ni kwamba aliyeko juu haeleweki vizuri msimamo wake kwa hiyo RO ni lazima a-adjust carefully kulingana na msimamo wa aliye juu!

- Otherwise, RO ameweza ku-transform na ku-fit in huko uwt na kuweza kukubalika bila matatizo, for that ninampa respect!

2. Balozi Radhia, ni mshikaji wangu sana na ninampa heshima pia kuweza kufanya adjustments nyingi muhimu on the personal level na sasa anachapa kazi inavyotakiwa. Ameweza ku-calm down na kuweza kuimudu nafasi na pia kujiwekea heshima kikazi, halafu kwa kua bosi pale ananyemelea Ikulu, ninaamini Radhia ni Waziri mtarajiwa wa hii wizara.

As far as impact ya hawa wakulu katika uongozi mbovu tulionao hili taifa sasa hivi, kwa kweli ni ndogo sana kuwajadili as washiriki at this point and moment ni kuwaonea bure tu, and hapa I wash my hands!

Respect.

FMeS!

Mkuu, I always salute you. Kwa sababu you are always ready to admit where you went wrong. Kwa RO et al...nadhani, mimi with due respect..sijaona utendaji wake wa kazi..what exactly has he done mkuu? wizi na ufisadi wooote unatokea under his watch and he is just happy and content to protect criminals. Sasa kamanda wangu..unadhani huyu anatufaa kweli? Lets be honesty bwana..dont apologize where you dont have to. Hawa jamaa kama taifa letu hawajatusaidia lolote..they are just there to protect status quo za wanene...

Personally, nikiangalia hapa..watu wanaongelea akina Membe, Migiro nk..lakini hebu mkulu..niambia hawa watu..wamefanya kitu gani BOLD kumkomboa mwananchi wa kawaida jamani? zaidi ya kulinda status quo za wanene wenzao? You guys..we need to learn..ni viongozi wepi tunawataka..infact mimi ningesema..we need some new poeple..ambao hata kama hatuwajui..they have something to offer on the table.

I honestly cant judge mama Migiro-not now..lakini kama kweli anataka siku moja aje kuiomba nafasi ya kutuongoza..she must do more. Hata huko UN..awasaidie wabongo (on merit, wenye ujuzi na elimu zao) Otherwise..hatuwezi kuwa tunavote majina na vyeo vya watu..we need to see some actions. They must prove themselves kwamba they are not taking us for granted.

FMES, surely you dont expect me to campaign and vote for mama Migiro simply because alikuwa DSG! We need her to make some hard decisions...

Lastly I say: Stupidity is the art of doing same thing over and over again expecting different results.
 
FMES,
Mkuu asahte sana kuifufua hii thread. Duh! Kweli tumetoka mbali yaani nimesoma kama vile naisoma mara ya kwanza. Masanja, nakubaliana na points zako zote.
FMES, kuna tetesi nilizisikia nilipokuwa Dar kuwa RO alikuwa anatayarisha ripoti mbili za briefing moja kwa mkulu na nyingine kwa EL. Sasa Mkulu akapata habari akamwita na kumwuliza nchi hii ina viongozi wangapi? Ulizisikia?
 
Kama pilika pilika za siasa zinakwenda kwa mtindo huu wa sasa....Na Bwana Membe akibahatika kuupata Ukuu wa Nchi basi Balozi Radhia ana nafasi pengine kubwa kuliko hiyo uliyotabiri......Siku nzima nimekuwa nasoma Thread hii...asilimia kubwa ya mambo yaliyosemwa ile 2006 yanaonekana leo.

- Mkulu Masanja, salute ndugu yangu unajua sisi tulisema toka mwanzo kwamba wa-Tanzania tumepotea step sana na hii awamu ya nne, tukatukanwa wee, tukaitwa majina yote machafu huko duniani,

- Ninakumbuka jinsi karibu forum nzima ya BCS ikimshangilia Muungwana kwamba taifa letu linahitaji kijana kama yeye, ninashukuru kwamba wananchi sasa wanaweza kuyasoma tuliyosema then na kujumlisha kwa nini tupo hapa tulipo, ukweli ni kwamba tuliyataka wenyewe!

Respect.


FMes!
 
Wakuu naungana nanyi kwenye hili. At the begining wengi tulikuwa tunasema kuna uozo ndani ya UWT, lakini binafsi baada ya kujaribu kuteta na wahusika nao wana malalamiko.

Inaonekana kuwa Ben ndiye aliyeharibu sana system, ni kama aliipoliticize System na kutaka kila action inachukuliwa iwe na signature yake. As a result hata RO anatakiwa kufanya hivyo, yeye amekuwa kama ni mwandishi wa habari na Ikulu ndio wahariri.

Nasikia kuwa kuna report kibao mbele ya mheshimiwa zinazidi kujazana, lakini kutokana na sababu za kisiasa, kidini na kwa upande fulani ushikaji haiziwekwi signature ya kuauthorize utekelezaji. Kwenye mazingira kama haya inakuwa sio fair kumimina lawama kwa RO na vijana wake.

Kwenye mapambano vijana wengi sana wa idara wametoa mwanga kwa watanzania, though indirectly, lakini sisi watanzania ndio tunawalet down. Kweli wanajali taifa lakini hawana meno ya kutosha.
 
Mkuu, I always salute you. Kwa sababu you are always ready to admit where you went wrong. Kwa RO et al...nadhani, mimi with due respect..sijaona utendaji wake wa kazi..what exactly has he done mkuu? wizi na ufisadi wooote unatokea under his watch and he is just happy and content to protect criminals. Sasa kamanda wangu..unadhani huyu anatufaa kweli? Lets be honesty bwana..dont apologize where you dont have to. Hawa jamaa kama taifa letu hawajatusaidia lolote..they are just there to protect status quo za wanene..
.

- Ndugu yangu, RO sio mjinga ninaamini pamoja na yote yanayotendeka lazima ana-ya copy yote na kuyahifadhi mahali in-case yakigeuka atatoa ukweli na ku-defend himself kwamba alikuwa anafuata orders tu lakini ukweli huu hapa?

- Well kazi kama za RO, zinajali sana kuwa kwenye line na aliyejuu, simtetei RO no way, isipokuwa knowing yanayotendeka sasa hivi huko Ikulu, anajaribu sana kwendaa na the flow, kwa mfano kuna wakati Lowassa alitaka walinzi wake wabadilishwe maana aliamini kwamba mmojawapo anamuuza kwa RO na wapiganaji, RO alikataa kata infact alimuondoa yule anayempenda na kumuachia asiyemtaka na kumpa noma zaidi, hili ingawa sio rahisi kulielewa limekuwa ni masilahi makubwa sana kwetu wananchi.

- Lakini ninakubaliana na wewe kwa 100%, kwamba hawa wametuangusha wananchi na wanalinda sana status quo!



Personally, nikiangalia hapa..watu wanaongelea akina Membe, Migiro nk..lakini hebu mkulu..niambia hawa watu..wamefanya kitu gani BOLD kumkomboa mwananchi wa kawaida jamani? zaidi ya kulinda status quo za wanene wenzao? You guys..we need to learn..ni viongozi wepi tunawataka..infact mimi ningesema..we need some new poeple..ambao hata kama hatuwajui..they have something to offer on the table.
I honestly cant judge mama Migiro-not now..lakini kama kweli anataka siku moja aje kuiomba nafasi ya kutuongoza..she must do more. Hata huko UN..awasaidie wabongo (on merit, wenye ujuzi na elimu zao) Otherwise..hatuwezi kuwa tunavote majina na vyeo vya watu..we need to see some actions. They must prove themselves kwamba they are not taking us for granted.
FMES, surely you dont expect me to campaign and vote for mama Migiro simply because alikuwa DSG! We need her to make some hard decisions...
- Mkuu again uko right na sina cha kupunguza wala kuongeza isipokuwa, Mama Migiro ni another story of its own, kazi aliyonayo ni kubwa sana ya kuongoza dunia kwamba sio rahisi in the process kuwa effective locally yaani on Tanzania's side, lakini binafsi ninamuaminia sana na ninaamini kwamba akiamua kuchukua fomu ya urais basi anaweza kutusaidia sana taifa kwa sababu ni muwajibikaji sana waulize foreign ambako najua kwamba una mizizi mizito sana huko wanajua kali yake, nasikia alipoondoka kuna waliofanya party ya kushukuru maana hakuwa na mchezo.

- I mean Mama Migiro, can do better tena sana kuliko walioko kwenye power sasa hivi, na ninategemea wakati ukifika atajitokeza kuchukua fomu na she have my 100% support, ingawa pia nina mgombea mwingine ninayemfanyia kazi sasa hivi usiku na mchana.

Respect.

FMeS!
 
FMES,
Mkuu asahte sana kuifufua hii thread. Duh! Kweli tumetoka mbali yaani nimesoma kama vile naisoma mara ya kwanza. Masanja, nakubaliana na points zako zote.
FMES, kuna tetesi nilizisikia nilipokuwa Dar kuwa RO alikuwa anatayarisha ripoti mbili za briefing moja kwa mkulu na nyingine kwa EL. Sasa Mkulu akapata habari akamwita na kumwuliza nchi hii ina viongozi wangapi? Ulizisikia?

- Mkulu Jasusi, uko sawa kabisa infact the dataz ni kwamba kuna ripoti ambazo zinatayrishwa bila kupitia kwa RO, badala yake zinapelekwa moja kwa moja Mbeya, ndio zinarudi na RO hupewa briefings tu, na mfano hai ilikuwa wakati ule wa sakata la Chenge, alipopelekwa London kwa siri ripoti yote ya ile kitu na mahojiano na SFO pamoja na FBI ya huko UK, ilikuwa ikienda straight Mbeya, ikitoka Mbeya ndio inagawanyika kwenda kwa Mkulu na EL, inasikitisha lakini ndio ukweli wenyewe, kwamba tuliyataka wenyewe wa-Tanzania!

- Sometimes ninawashukuru sana wafadhili walioweka mguu chini kwa Mkapa, kwamba Rostam asipewe uwaziri wa Fedha aliokuwa ameulalia macho sana, pamoja na kwamba haikusaidia sana lakini can you imagine angekuwa?

Respect.


FMEs!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom