Rashid Othman ndiye Boss wa Usalama

Rashid Othman ndiye Boss wa Usalama

Status
Not open for further replies.
economic intelligence and espionage ....kwetu haitilkiwi mkazo......lazima tiss wajiulize wanaufanyia nini uchumi wa tanzania....hata jeshi siku hizi lina zalisha mali wakati wa amani....wao wanatakiwa kuwa mstari wa mbele kufanya ujasusi wa kiuchumi....la kudhibiti ujasusi wa kiuchumi dhidi ya tanzania.........

Well this is another interesting point...na nadhani maybe we can have a break through hapa

lakini tatizo ni ma SPOILERS ambao ni visible na invisible ambao wako so determined not only RO anafeli lakini the whole institution au organ ya TISS inafeli.

Kwa taarifa yako ni kuwa tayari mipango ishafanywa na isipokuwa kulikuwa na obstacles along the way...mfano kulikuwa na proposal za kusaidia makampuni ya wazalendo lakini baada ya kufanyika vetting ikaonekana kuwa baadhi ya the so called WAZALENDO are nothing but a bunch of opportunistic lots ambao hawafai hata kuwasaidia in teh first place kwani wanaongoza kwa kudodge Tax, na pili wana sabotage kwakusudi sasa kuna haja gani ya kuwasidia watu au makampuni dizaini hii?

Kwa kuongeza tuu hii economic intelligence ambayo ingeinclude the makeup of our nation's economy, its vulnerabilities, and the natural resources within a nation's borders ingekuwa mbali kama si akina KITINE kuendekeza politics na wizi pasipo husika

Watawala wetu wangeacha kuplay politics for once na POST COLD WAR era TISS inge concentrate kwenye collection of intelligence concerning trade practices and negotiating positions in trade talks and so on

Lakini mimi I am more interested na Industrial Espionage ambayo kwa kifupi no the stealing of corporate plans or technologies -- is another matter, particularly na hasa ukizingatia kuwa means za hiyo espionage ni kufanya PLANTING au RECRUITING A SOURCE in a foreign company in contrast to relying on COMINT.

Zipo evidence kuonyesha kuwa makampuni ya KiJapan yamekuwa yakiengage kwenye Industrial espionage against foreign companies lakini mpaka sasa hakuna hata chembe ya evidence kuonyesha DIRECT Japanese government involvement in such activities na hivyo ndivyo tulitakiwa kufanya.

Kwa upande mwingine pia wa Faransa na DGSE yao wamekuwa waki conduct a a coordinated and extensive campaign ya kuiba industrial secrets na concentration yao ni makampuni ya KiaAmerica. Kama mtakumbuka wakati DGSE ilipokuwa inaongozwa na chief Pierre Marion, tena kwa maneno yake mwenyewe waliestablish 20-agent branch to acquire the secret technologies and marketing plans of private companies....mind you hiii kitu ilifanywa kwa kupata baraka za rais wa Ufanza enzi hizo bwana Mitterand na target yao haikuwa USA pekeyake bali DUNIA NZIMA!!!!

Enzi za Marion ile branch iliweza kupata information on COMPETING BIDS na ndio siri ya France kushinda ile MULTI BILLION DOLLAR CONTRACT kusupply zile jet fighters to India. Vile vile hawa jamaa waliiba American technology ambayo iliwawezesha kujenga computer ambayo of all names waliita DGSE. Mambo hayo ya wizi yaliendelea mpaka Marion alioondoka. Ohh how can we forget jinsi hawa waFaranda walivyo attempt kuinfiltrate European offices za IBM, Texas Instruments, and several other U.S. electronics companies end results? well ilikuwa ni kampuni ya computer ya serikali ya Compagnie des Machines Bull ambao ilikuwa Taabani ile mbaya.

Kama una contacts kwenye duru za Intelligence tafuta DSGE memorandum iliyotolewa in 91 inaitwa "DEST Collection Plan,"ambayo ilikuwa ina list intelligence requirements and related targets zao kule Marekani...you know whats the juicy part?

Victims wao among others walikuwa ni Boeing, Ford Aerospace, General Dynamics, Lockheed, Hughes Aircraft, Pratt and Whitney, Rockwell International, na jamaaa wa TRW -----kwa haraka haraka utaona hapo ni a "WHO's WHO" of American high-tech companies.

Na specific information ambazo zilikuwa targeted zilihusu activities of ongoing negotiations, marketing strategy, weapons sales to foreign countries, civilian technology (e.g., high-definition television enzi hizoooo) na large number of military technologies (kama vile military space launch vehicles, SDI technology na aircraft programs)

Kwa kuongezea tuuu ni kuwa hawa jamaa wa DGSE walikuwa wanatumia mbinu mbali mbali mojawapo ni kuintercept COMMS za makampuni kama IBM na kwa taarifa tuu ni kuwa per day in Paris alone huwa kuna 30 to40 break-ins zinakuwa conducted PER DAY kwenye mahoteli NA SHUGHULI NI KUCOPY DOCUMENTS zilizoachwa vyumbani na hawa intl business men na diplomats

Point yangu ni kuwa sisi hatushindwi kudominate kila kitu kuanzia DRC CONGO mpaka nchi za kusini...the question is nani kwanza asaidiwe on National Interest ilihali hao hao ndio wanaongoza ku sabotage Taifa letu tukufu?
 

Well this is another interesting point...na nadhani maybe we can have a break through hapa

lakini tatizo ni ma SPOILERS ambao ni visible na invisible ambao wako so determined not only RO anafeli lakini the whole institution au organ ya TISS inafeli.

Point yangu ni kuwa sisi hatushindwi kudominate kila kitu kuanzia DRC CONGO mpaka nchi za kusini...the question is nani kwanza asaidiwe on National Interest ilihali hao hao ndio wanaongoza ku sabotage Taifa letu tukufu?

Mhh!,
Hii kali, inavutia lakini.
 
Kwa kuongezea tuuu ni kuwa hawa jamaa wa DGSE walikuwa wanatumia mbinu mbali mbali mojawapo ni kuintercept COMMS za makampuni kama IBM na kwa taarifa tuu ni kuwa per day in Paris alone huwa kuna 30 to40 break-ins zinakuwa conducted PER DAY kwenye mahoteli NA SHUGHULI NI KUCOPY DOCUMENTS zilizoachwa vyumbani na hawa intl business men na diplomats

Point yangu ni kuwa sisi hatushindwi kudominate kila kitu kuanzia DRC CONGO mpaka nchi za kusini...the question is nani kwanza asaidiwe on National Interest ilihali hao hao ndio wanaongoza ku sabotage Taifa letu tukufu?
Mkuu hii kali na inaonekana imetoka moyoni. Atleast inatuonyesha sisi wananchi wa kawaida kumbe na wenzetu pia inawauma kuona kuwa mambo hayaendi. ASANTE SANA!
 
Well this is another interesting point...na nadhani maybe we can have a break through hapa

lakini tatizo ni ma SPOILERS ambao ni visible na invisible ambao wako so determined not only RO anafeli lakini the whole institution au organ ya TISS inafeli.

Point yangu ni kuwa sisi hatushindwi kudominate kila kitu kuanzia DRC CONGO mpaka nchi za kusini...the question is nani kwanza asaidiwe on National Interest ilihali hao hao ndio wanaongoza ku sabotage Taifa letu tukufu?

Government as an institution need to have more and more SMART people to bring about development. GT, unadhani ni rahisi kuyafanya hayo hapo juu kwa calibre ya watu waliopo na mindset zao? Unadhani hata mikataba mibovumibovu tunayoingia ni kwa sababu tu ya rushwa au ufisadi?

Unahitaji kuwa intelligent, sio uzoefu tu kuona mambo, kujua yatakupeleka wapi,ku-strategize ufanyeje na ku-monitor. With due respect, the Govt have not been able to recruit and retain such people.
 
Well this is another interesting point...na nadhani maybe we can have a break through hapa

lakini tatizo ni ma SPOILERS ambao ni visible na invisible ambao wako so determined not only RO anafeli lakini the whole institution au organ ya TISS inafeli.

Point yangu ni kuwa sisi hatushindwi kudominate kila kitu kuanzia DRC CONGO mpaka nchi za kusini...the question is nani kwanza asaidiwe on National Interest ilihali hao hao ndio wanaongoza ku sabotage Taifa letu tukufu?
KUna siku ukiamua kumwaga nyanga unashuka kweli kweli!Lol,

Anyway, nakubaliana kabisa na wewe kwamba imefika mahala sasa mitazamo ikabadilika na tukaingia ndani ya game kama watu tunaocheza kwa nia moja tu ya kushinda. Tumekuwa watazamaji muda mrefu na pengine tumeitumia hii taasisi muhimu kabisa sehemu ambazo hazina tija kwa Taifa. They have to take the lead in the areas that we will benefit as a nation.

Na kama wachangiaji kadhaa walivyosema pengine baadhi ya watu walioaminika na kupewa majukumu mbalimbali ndani ya hii taasisi walituangusha maana waliweka mkazo zaidi kuboresha maslahi yao na kutumia upana wa madaraka yaliyopo kuwadhibiti wote waliowaona wanaingilia interest zao, hata kama zilikuwa hazina manufaa kwa taifa.

Pengine imefika mahala sasa RO akaisuka hii system in the way that it becomes the first deliverer of what we want as a nation.It is about legacy... kama ile ya mzee Gama na akiamua he can do it. Hayomambo ya kuwa social siyo dhambi maana na yeye anahitaji hayo pia.
 
Well this is another interesting point...na nadhani maybe we can have a break through hapa

lakini tatizo ni ma SPOILERS ambao ni visible na invisible ambao wako so determined not only RO anafeli lakini the whole institution au organ ya TISS inafeli.

Kwa taarifa yako ni kuwa tayari mipango ishafanywa na isipokuwa kulikuwa na obstacles along the way...mfano kulikuwa na proposal za kusaidia makampuni ya wazalendo lakini baada ya kufanyika vetting ikaonekana kuwa baadhi ya the so called WAZALENDO are nothing but a bunch of opportunistic lots ambao hawafai hata kuwasaidia in teh first place kwani wanaongoza kwa kudodge Tax, na pili wana sabotage kwakusudi sasa kuna haja gani ya kuwasidia watu au makampuni dizaini hii?


Kwa kuongeza tuu hii economic intelligence ambayo ingeinclude the makeup of our nation's economy, its vulnerabilities, and the natural resources within a nation's borders ingekuwa mbali kama si akina KITINE kuendekeza politics na wizi pasipo husika

Watawala wetu wangeacha kuplay politics for once na POST COLD WAR era TISS inge concentrate kwenye collection of intelligence concerning trade practices and negotiating positions in trade talks and so on

Lakini mimi I am more interested na Industrial Espionage ambayo kwa kifupi no the stealing of corporate plans or technologies -- is another matter, particularly na hasa ukizingatia kuwa means za hiyo espionage ni kufanya PLANTING au RECRUITING A SOURCE in a foreign company in contrast to relying on COMINT.

Zipo evidence kuonyesha kuwa makampuni ya KiJapan yamekuwa yakiengage kwenye Industrial espionage against foreign companies lakini mpaka sasa hakuna hata chembe ya evidence kuonyesha DIRECT Japanese government involvement in such activities na hivyo ndivyo tulitakiwa kufanya.


Kwa upande mwingine pia wa Faransa na DGSE yao wamekuwa waki conduct a a coordinated and extensive campaign ya kuiba industrial secrets na concentration yao ni makampuni ya KiaAmerica. Kama mtakumbuka wakati DGSE ilipokuwa inaongozwa na chief Pierre Marion, tena kwa maneno yake mwenyewe waliestablish 20-agent branch to acquire the secret technologies and marketing plans of private companies....mind you hiii kitu ilifanywa kwa kupata baraka za rais wa Ufanza enzi hizo bwana Mitterand na target yao haikuwa USA pekeyake bali DUNIA NZIMA!!!!

Enzi za Marion ile branch iliweza kupata information on COMPETING BIDS na ndio siri ya France kushinda ile MULTI BILLION DOLLAR CONTRACT kusupply zile jet fighters to India. Vile vile hawa jamaa waliiba American technology ambayo iliwawezesha kujenga computer ambayo of all names waliita DGSE. Mambo hayo ya wizi yaliendelea mpaka Marion alioondoka. Ohh how can we forget jinsi hawa waFaranda walivyo attempt kuinfiltrate European offices za IBM, Texas Instruments, and several other U.S. electronics companies end results? well ilikuwa ni kampuni ya computer ya serikali ya Compagnie des Machines Bull ambao ilikuwa Taabani ile mbaya.

Kama una contacts kwenye duru za Intelligence tafuta DSGE memorandum iliyotolewa in 91 inaitwa "DEST Collection Plan,"ambayo ilikuwa ina list intelligence requirements and related targets zao kule Marekani...you know whats the juicy part?

Victims wao among others walikuwa ni Boeing, Ford Aerospace, General Dynamics, Lockheed, Hughes Aircraft, Pratt and Whitney, Rockwell International, na jamaaa wa TRW -----kwa haraka haraka utaona hapo ni a "WHO's WHO" of American high-tech companies.

Na specific information ambazo zilikuwa targeted zilihusu activities of ongoing negotiations, marketing strategy, weapons sales to foreign countries, civilian technology (e.g., high-definition television enzi hizoooo) na large number of military technologies (kama vile military space launch vehicles, SDI technology na aircraft programs)

Kwa kuongezea tuuu ni kuwa hawa jamaa wa DGSE walikuwa wanatumia mbinu mbali mbali mojawapo ni kuintercept COMMS za makampuni kama IBM na kwa taarifa tuu ni kuwa per day in Paris alone huwa kuna 30 to40 break-ins zinakuwa conducted PER DAY kwenye mahoteli NA SHUGHULI NI KUCOPY DOCUMENTS zilizoachwa vyumbani na hawa intl business men na diplomats

Point yangu ni kuwa sisi hatushindwi kudominate kila kitu kuanzia DRC CONGO mpaka nchi za kusini...the question is nani kwanza asaidiwe on National Interest ilihali hao hao ndio wanaongoza ku sabotage Taifa letu tukufu?

Nakupongeza mkuu kwa analysis nzuri.

Hata hivyo analysis hii inaekea kutoka kwa mtu ambaye ni armchair analyst na asiyeijua nchi yetu hata chembe katika fani ya biashara zinazoendelezwa na wazalendo.

Nimehighlight comment yako juu ya mpango wa kujaribu kuwa inua wazalendo ili waweze kutoa ushindani katika biashara.

I am incensed.

I am in realtime business.

Ni viongozi WACHACHE SANA wanawapendelea wazawa/wazalendo kwa visingizio mbali mbali

Mara oooh wakipata wanaishia kuoa!mara wa dodge kodi!

Ali mradi kunavisingizio tofauti na visivyo na msingi

Katika Kudodge Tax hebu fuatilia vizuri scandals zote za kodi, na utaona ni waTanzania wa asili ya Kiasia wanaongoza.

Contract karibu zote kubwa wanapelekewa hawa watu ON A SILVER PLATTER.

Hii siyo siri, wanaopeleka hizo contract ni kwa mategemeo ya kupata 10%, even fools know that this is happening.

Pamoja na wazo zuri kabisa la kua nzisha INDUSTRIAL ESPIONAGE, hii itakuwa kwa faida ya NANI kwa sasa?

The answer is clear.

Bila uzalendo wa kweli biashara hakuna, ni wizi mtupu!

Your analysis is good and clear GT, but it is a matter floating offshore!

No anchorage here.
 
MZEE RS:
Nasikitika bado unaendelea kutoa shutuma ambazo unashindwa kuzithibitisha. Hoja nyingi unazotoa za chini ya mkanda umeshindwa kuzithibitisha. ooh mama msuya hivi jk kapotea hoteli nk,mpe mwanakijiji hizo tepu tuzisikilize manake una maelezo mengi ya majigambo bila ukweli nakuchallenge umpe hizo tepu tuzisikie, elimu nzuri ni kuweka kichwa huru kupokea mawazo mapya hivyo nimeweka fikra wazi tuwekee hizo tepu tuchambue pumba na mchele.

Kuna maelezo umeyatoa hayana msingi ila ni hoja naweza kujibu baada ya kukuachia upuuzi mwingi kwako. Mkapa sio aliemteua Mwanyika kuwa AG, Mwanyika katika wadhifa wake wa kuwa mwanasheria mkuu kapewa na mheshimiwa jakaya kikwete within a week baada ya kuapishwa. Rashid Othman alirejea nyumbani baada ya kuteuliwa na Rais Mkapa kuwa Mkuu wa utawala na utumishi usalama wa taifa kwa kipindi kirefu, sijui kateuliwa lini lakini najua kuwa aliondoka UK mwisho wa mwaka jana hivyo hata kabla Jakaya hajawa Rais huyu alikuwa tayari ni mkurugenzi wa usalama katika idara ya utawala. Ujue kuwa kwa nafasi hiyo anakuwa ni second in command na huwa anakaimu nafasi hiyo ya ukurugenzi mkuu mara kwa mara.

Kumbe Mzee ES[huu uzee sijui ni wa umri au kupenda kujishaua shaua tu manake shaban robert aliwahi kusema mvi sio kipimo cha busara], huna data ni kauli za hear say tu. Huyo mzee wa ccm tutajie jina hizi ni enzi za uwazi na ukweli kama umeweza kumtusi mama radhia msuya ''kwa kulala na rupia na msabaha'' kweli unashindwa kusimamisha hoja yako ya msingi ya kumcrush RO kwa kusema tu mzee wa CCM?!!

Yani hoja zako nyingine zinachekesha sana, eti wazee wa usalama huko majuu wamekuwa wakiwasumbua sana viongozi wetu kuwauliza kama huyu RO ndiye aliekuwa London...!!Ngoja nikupe darasa kidogo la itifaki na diplomasia:

Mtu ambae ni presidential appointee anaepelekwa katika ubalozi kwa cheo chochote kuanzia minister counsellor ambae anapelekwa nchi ngeni kuwakilisha taifa lake basi hawezi kwenda huko mpaka hapo nchi husika inapotoa go ahead kumkubali mtu huyo. Hili la go ahead hawalitoi kijinga jinga tu ni kwamba wanaangalia rekodi ya mtu na kufanya tafiti zao wakiridhika basi ndio wanampitisha na kumruhusu ukweli kuwa rashid othman amekuwa hapa london kwa miaka kadhaa ni dalili kuwa serikali ya kwini imemkubali na sio kama usemavyo, ni uongo dhahiri kabisa.

Imeshawahi nchi kadhaa kukataa baadhi ya maofisa, Rwanda ilipeleka jina la kiongozi mmoja wakitaka aende kuwa balozi wao ujerumani lakini ikabainika mtu yule yupo ubalozi wa tanzania nigeria akiwa na hadhi ya kidiplomasia wakamkataa, nakumbuka alinyang'anywa uraia pamoja na kina jenerali ulimwengu wakati wa utawala wa mkapa.

Haya unadai huyu rashid othman english haipandi, wewe ni Mzee ES aidha ni mwehu au humjui rashid othman manake otherwise usingesema hivyo, hivi serikali ya Tanzania itapeleka mtu katika kituo muhimu kama London wakati language haipandi?! this allegations is beneath discussion kwa kweli,tafiti kabla hujajadili mzee ES!!

Nyumba ya ubalozi bila shaka kadhia yake huijui. Nyumba ile ipo namba three denewood road, about three minutes walk kutoka katika makazi ya kifahari ya balozi kibelloh ambae hupita hapo kila siku.Hili ni eneo la Highgate, aliekuwa anahusika na uchakavu wa nyumba ile huku akikataa kuchukua hatua yoyote ni balozi kibelloh ambae ana rekodi ya kukataa ushauri toka kwa subordinates wake. Hali ya nyumba hiyo huijui wewe Mzee ES manake ungekuwa unaijua usingesema maneno ya JK kukaa na vimwana, nyumba haijakaliwa tangu mwaka 1996! na baada ya hapo ilikua haina hadhi ya kukaliwa na maofisa wa hadhi ya kibalozi hivyo balozi Kibelloh aliwapa wapishi wakae pale,ambao pia walifukuzwa mmoja wapo ni mpishi hapa anaitwa Marco Chongwe, muulize huyo akuambie...Then kesi haikuisha kimya kimya manake ilienda mahakamani na waliovamia waliamuliwa kuhamishwa ambayo ilitoka mpaka nipashe na majira na bbc..walikuja vibopa hapa kuisort out na haikuwa tatizo na aliekuwa the centre of row alikuwa ni kibelloh othman alikuwa kishaondoka hapa london!! halafu hoja zako zinajigongagonga manake mara jakaya hupotea akija london maafisa hawamuoni halafu mara anatumia nyumba ya ubalozi kujistarehesha na vimwana, alisema shaban robert...elimu chache udhia...ningependa kujua elimu yako mzee ES manake isijekuwa ni zile digrii za kununua katika Ebay if at all you have one!

Sasa unataka kusema Jakaya kwa nafasi aliyonayo anashindwa kumlipia mtoto wake kuishi hapa? Maofisa wangapi wa tanzania na wafanyabiashara wana watoto wao hapa, kufika ulaya ndio nini? nauli ni milioni moja au chini ya hapo,kweli mtu aliekuwa waziri miaka zaidi ya kumi na tano na kuwa ofisa miaka kadhaa anashindwa kumpeleka/kuwapeleka watoto wake ulaya ajabu iko wapi, ujue kuwa mtoto wake Ridhiwani kamaliza digrii ya sheria pale mlimani wakati vijana wengine tangu sekondari wamesomea ulaya au kenya na uganda. Mtoto wake mwingine Salma bado yupo muhimbili hapo akisomea udaktari. Sasa unataka rais gani alie down to earth kama huyu.

Binafsi nadhani kwa mara ya kwanza tumepata rais ambae alikuwa akifanya homework kuwa rais na sasa tunaona namna anavyoweka mambo sawa, kishatoa darasa kwa viongozi wake wakuu mawaziri na sasa ameenda level ya marc, madc na maras tukitoka hapo rais wetu anatupeleka vizuuuri kabisa timu yote ikiwa inaelewana kama chelsea vile... subiri uone mambo ari mpya haiongopi kwa sasa namuunga mkono rais kwa kazi nzuri na uteuzi mzuri na akija kutetereka mwanzo utaniona mimi nikiwa wa mwanzo kumpinga hapa hapa katika forum.

Mzee ES don't fungua domo bila research kuna vitu kwenye mwili unaweza kufungua bila utafiti vifungue hivyo....

Kaka Nimesoma post zako zina points nyingi tu, lakini inaonekana wewe ni tomaso esp kuhusu mambo ya mzee....Naomba uamini kwamba mzee ni mtu wa vimwana nazungumza hivi kwa uhakika kabisa, ameshasababisha ant flan wa hapa mtaani wagombane kisa kawachanganya na kadada flan hivi kanasoma pale IFM....sasa ukiangalia hapo kaweza kuyafanya hayo akiwa tz vipi akiwa huko kwenu? Hata huyo mwanae ni mshkaji pia kasoma na madogo zangu pale mlimani, analijua hilo swala vizuri sana.

kalagabao mkuu, unapoteza energy yako bure kubisha vitu ambavyo watu wana-data za kutosha. Au na wewe ni kati ya watu waliopewa fadhila na mzee nini?
 
Well this is another interesting point...na nadhani maybe we can have a break through hapa

lakini tatizo ni ma SPOILERS ambao ni visible na invisible ambao wako so determined not only RO anafeli lakini the whole institution au organ ya TISS inafeli.

Kwa taarifa yako ni kuwa tayari mipango ishafanywa na isipokuwa kulikuwa na obstacles along the way...mfano kulikuwa na proposal za kusaidia makampuni ya wazalendo lakini baada ya kufanyika vetting ikaonekana kuwa baadhi ya the so called WAZALENDO are nothing but a bunch of opportunistic lots ambao hawafai hata kuwasaidia in teh first place kwani wanaongoza kwa kudodge Tax, na pili wana sabotage kwakusudi sasa kuna haja gani ya kuwasidia watu au makampuni dizaini hii?

Kwa kuongeza tuu hii economic intelligence ambayo ingeinclude the makeup of our nation's economy, its vulnerabilities, and the natural resources within a nation's borders ingekuwa mbali kama si akina KITINE kuendekeza politics na wizi pasipo husika

Watawala wetu wangeacha kuplay politics for once na POST COLD WAR era TISS inge concentrate kwenye collection of intelligence concerning trade practices and negotiating positions in trade talks and so on

Lakini mimi I am more interested na Industrial Espionage ambayo kwa kifupi no the stealing of corporate plans or technologies -- is another matter, particularly na hasa ukizingatia kuwa means za hiyo espionage ni kufanya PLANTING au RECRUITING A SOURCE in a foreign company in contrast to relying on COMINT.

Zipo evidence kuonyesha kuwa makampuni ya KiJapan yamekuwa yakiengage kwenye Industrial espionage against foreign companies lakini mpaka sasa hakuna hata chembe ya evidence kuonyesha DIRECT Japanese government involvement in such activities na hivyo ndivyo tulitakiwa kufanya.

Kwa upande mwingine pia wa Faransa na DGSE yao wamekuwa waki conduct a a coordinated and extensive campaign ya kuiba industrial secrets na concentration yao ni makampuni ya KiaAmerica. Kama mtakumbuka wakati DGSE ilipokuwa inaongozwa na chief Pierre Marion, tena kwa maneno yake mwenyewe waliestablish 20-agent branch to acquire the secret technologies and marketing plans of private companies....mind you hiii kitu ilifanywa kwa kupata baraka za rais wa Ufanza enzi hizo bwana Mitterand na target yao haikuwa USA pekeyake bali DUNIA NZIMA!!!!

Enzi za Marion ile branch iliweza kupata information on COMPETING BIDS na ndio siri ya France kushinda ile MULTI BILLION DOLLAR CONTRACT kusupply zile jet fighters to India. Vile vile hawa jamaa waliiba American technology ambayo iliwawezesha kujenga computer ambayo of all names waliita DGSE. Mambo hayo ya wizi yaliendelea mpaka Marion alioondoka. Ohh how can we forget jinsi hawa waFaranda walivyo attempt kuinfiltrate European offices za IBM, Texas Instruments, and several other U.S. electronics companies end results? well ilikuwa ni kampuni ya computer ya serikali ya Compagnie des Machines Bull ambao ilikuwa Taabani ile mbaya.

Kama una contacts kwenye duru za Intelligence tafuta DSGE memorandum iliyotolewa in 91 inaitwa "DEST Collection Plan,"ambayo ilikuwa ina list intelligence requirements and related targets zao kule Marekani...you know whats the juicy part?

Victims wao among others walikuwa ni Boeing, Ford Aerospace, General Dynamics, Lockheed, Hughes Aircraft, Pratt and Whitney, Rockwell International, na jamaaa wa TRW -----kwa haraka haraka utaona hapo ni a "WHO's WHO" of American high-tech companies.

Na specific information ambazo zilikuwa targeted zilihusu activities of ongoing negotiations, marketing strategy, weapons sales to foreign countries, civilian technology (e.g., high-definition television enzi hizoooo) na large number of military technologies (kama vile military space launch vehicles, SDI technology na aircraft programs)

Kwa kuongezea tuuu ni kuwa hawa jamaa wa DGSE walikuwa wanatumia mbinu mbali mbali mojawapo ni kuintercept COMMS za makampuni kama IBM na kwa taarifa tuu ni kuwa per day in Paris alone huwa kuna 30 to40 break-ins zinakuwa conducted PER DAY kwenye mahoteli NA SHUGHULI NI KUCOPY DOCUMENTS zilizoachwa vyumbani na hawa intl business men na diplomats

Point yangu ni kuwa sisi hatushindwi kudominate kila kitu kuanzia DRC CONGO mpaka nchi za kusini...the question is nani kwanza asaidiwe on National Interest ilihali hao hao ndio wanaongoza ku sabotage Taifa letu tukufu?

mkuu GT, nahisi kuna kitu umeongea hapa, ambacho ni very productive!! kv muda wa kukaa cafe umeisha, wacha ni-save kwenye flash hoja yako nika-digest polepole gheto
 
- Mkuu Kahinda, heshima mbele sana, nilipoutoa huo mchango ilikwa ni miaka mingi iliyopita, na nilikuwa ninatabiri mapungufu makubwa sana kuja kulikuta taifa hili kutokana na njia zisizokuwa straight za kupeana vyeo muhimu vya taifa, na sasa yametukuta hili taifa kama nilivyokuwa nikitabiri!

- Wakati Muungwana anatafuta urais kuna aliowaahidi nafasi za juu kwenye serikali yake, na RO alikuwa ni mmojawapo na tulisema hayo toka BCS na akawa kweli, na sio siri kwamba mazingara ya jinsi alivyopewa ile nafasi hayakuendana samba samba na traditon za huko uwt, kwa mfano Abson alipokuwa anastaafu ki-tradition ya huko alitakiwa kupendekeza majina manne kwa Rais, ili aamue anamtaka nani, lakini yeye alipendekeza jina moja tu la RO sasa unafikiri mkuu ilikuwa ni bahati tu alifanya hivyo? Ukweli ni kwamba alifanya hivyo knowing kwamba it won't make any defference kwa sababu ilikuwa iko wazi na very clear kwamba RO ndiye mteule wa Muungwana kushika hiyo nafasi!

- JF ni mahali pa kuelimishana sio anything else, kwenye hii habari ya RO tulikuwa right 100%, maana tulianza kusema kabla hata hajapewa kule BCS, kama kuna habari hapa unaiona ina mapungufu unairekebisha tu na hoja, lakini generalizations na sweeping statements za kushambulia members usiowajua kama wasivyokujua, ni waste of time. Humu kuna watu sio kwamba wanaijua usalama, bali kuna mpaka wanaofanya kazi huko na kujua kinachoendelea, ndio maana kila wakati tunasema hapa kwamba Abson bado anaendelea kui-remote hiyo idara, sihitaji kuwepo huku usalama kujua hilo! Infact tunajua hata kilichopelekea kifo cha Kombe na sababu ambayo ilikuwa watu huko kuchoka na wizi wake wa kuwafikisha hata kusafiri bila posho, huku yeye akichota na kufuja hela zao bila huruma!

- Ni wapi umewahi kusikia Mkurugenzi wa Idara ya usalama wa taifa, akikosewa na kufanananishwa na jambazi mpaka kuishia kupigwa risasi vichochoroni, it does not make any sense at all! na sio lazima kuwepo usalama kujua hili!

Respect.

FMEs!

Mkuu kuhusu mkuu kumwahidi Othman endapo atapata urais kumpa madaraka au cheo hiyo inaweza kuchangiwa na jinsi mkuu alivyomfahamu Othman kwani amekuwa kwenye shughuli za chama kwa muda mrefu kabla ya multipartism, hivyo walikuwa wote japokuwa mkuu alikuwa kada hasa kwa upande wa vijana.Othman alikuwa kule kwa niaba ya serikali hivyo anamjua utendaji wake ndo maana akaamua kumpa hayo madaraka.
Awali nimezungumza kuhusu udhaifu wa kibinadamu ninaimani Othman kama mwanadamu mwingine anao udhaifu wake pia lakini ndugu zangu nivyema umpa mtu credit anapoisitahili. Hata uhuru wetu huu wakuzungumza kila jambo linachangiwa na uelewa wa idara kumbuka huko nyuma hata magazeti yalikuwa yana dhibitiwa censored.lakini leo tunazungumza lolote na kwa uhuru hilo nalo tulione.
 
kwa Kweli wachangiaji wengi mmetoa maelezo na ufafanuzi mzuri sana kuhusu hii idara UWT, lakini kwa mtazamo wangu hii idara haipo huru inafanya kazi kama ile Tume yetu ya uchaguzi japo inazungumzwa kuwa iko huru, lakini ukweli ni kuwa haipo huru.

Kwa system ya usalama ya Tanzaia, ni kweli imeyumba kutokana na mabadiliko ya kisiasa ya kitaifa (single part to multpart) na kimataifa (East to west block) lakini huko nisingependa niende sana.

Siasa imeingia ndani ya UWT, nina uhakika watu wa UWT wanakusanya data kila mtu katika kitengo na section zao, lakini tatizo ni kwenye maamuzi, japokuwa UWT hawashitaki mtu kutokana na nature ya kazi zao lakini wanakuwa wanajua before ni nini kinachotaka kutokea.

Mfano ule wizi wa EPA pale BOT, hawa jamaa walishakuwa na full picture ya nini kinachoendelea kwa sababu ndani ya BOT wapo wengi tu vijana wa kazi wenye uchungu na nchi hii lakini huo wizi ulifanyika kutokana na Siasa kuchukua mkondo na kuweka maslahi ya Taifa nyuma. sasa swali la kujiuliza huu usalama wa taifa una faida gani na upo kwa sababu ya nani kama kweli inashindikana kuzui haya mambo ya UFISADI ambayo nayo yako kwenye huo usalama wa Taifa, au wako hapo kwa ajili ya kulinda viongozi na kulipeleleza jeshi lisipindue nchi

Nadhani panahitajika reform kubwa ndani ya hii idara, kwa sababu kwa ajili ya usalama wa TAifa kwa fisadi kupigwa risasi si kitu cha ajabu kwa faida ya Watanzania waliobaki, kwani kama mtu anajulikana kaiba BOT lakini serikali haina uwezo wa kumshughulikia basi dawa ni kumtandika risasi ya paji la uso,

Mimi mpaka leo najiuliza Kombe aliuliwa na nani na kwa sababu gani, kama ilikuwa ni raisi kwa kombe kuuawa kwa maslah ya Taifa inakuwaje vigumu kwa fisadi kuuawa?

Lakini mwisho wa siku unakuja kuona Siasa imeingia ndani ya Idara na sasa Idara imepoteza uwezo wake.
 
Mkuu kuhusu mkuu kumwahidi Othman endapo atapata urais kumpa madaraka au cheo hiyo inaweza kuchangiwa na jinsi mkuu alivyomfahamu Othman kwani amekuwa kwenye shughuli za chama kwa muda mrefu kabla ya multipartism, hivyo walikuwa wote japokuwa mkuu alikuwa kada hasa kwa upande wa vijana.Othman alikuwa kule kwa niaba ya serikali hivyo anamjua utendaji wake ndo maana akaamua kumpa hayo madaraka.
Awali nimezungumza kuhusu udhaifu wa kibinadamu ninaimani Othman kama mwanadamu mwingine anao udhaifu wake pia lakini ndugu zangu nivyema umpa mtu credit anapoisitahili. Hata uhuru wetu huu wakuzungumza kila jambo linachangiwa na uelewa wa idara kumbuka huko nyuma hata magazeti yalikuwa yana dhibitiwa censored.lakini leo tunazungumza lolote na kwa uhuru hilo nalo tulione.

- Mkuu Kahinda heshima yako tena, hoja ya kweli haiwezi kuthibitishwa na neno "inaweza kuchangiwa", kuna mahali umesema kwamba some of us hapa JF tubahatisha habari za kuokota vijiweni, sasa na wewe tena unarudia yale yale ya kubahatisha, ndio maana tukakwambia kuwa careful na jinsi unavyotumia maneno yako, kama uan habari yenye ukweli zaidi ya uliowekwa na wengine wewe weka tu hapa, maana ni mahali pa kuelimishana sio kurushiana maneno ya kashfa.

- Also, hiyo hoja yako kwamba Rais alifanya kazi na RO, ndio maana akampa nafasi sijaelewa what is your point kwamba hawa Mtandao wote aliowapa nafasi aliwahi kufanya nao kazi huko CCM, au?

- Halafu mwisho naomba nikukumbushe kwamba, ukisoma vizuri sana hii thread mwanzo mpaka ilipofikia sasa, basi utaona kwamba hakuna tuliposema RO sio bin-adam kwamba hatakiwi kutokuwa na mapungufu, infact tulifika hata mahali tukakubali kwamba sasa he is doing a fine job na anakubalika sana huko kwenye idara, lakini ukitafuta thread inayohusu Chenge kuhojiwa kuhusu BAE, basi utaona tulisema wazi kwamba mstaafu wa huko anambana sana mbavu RO anashindwa kunga'ara kwa sababu bado mpaka sasa anai-remote idara, lakini otherwise binafsi sina tatizo na kazi ya RO, toka ashike amejitahidi sana kuibadilisha system ili iwe ya kisasa, lakini sio rahisi sana, sasa ni wizara moja tu inayoshika namba moja on modern systems hasa za kiteknologia nao ni Foreign Affairs.

Respect.


FMEs!
 
- Mkuu Kahinda heshima yako tena, hoja ya kweli haiwezi kuthibitishwa na neno "inaweza kuchangiwa", kuna mahali umesema kwamba some of us hapa JF tubahatisha habari za kuokota vijiweni, sasa na wewe tena unarudia yale yale ya kubahatisha, ndio maana tukakwambia kuwa careful na jinsi unavyotumia maneno yako, kama uan habari yenye ukweli zaidi ya uliowekwa na wengine wewe weka tu hapa, maana ni mahali pa kuelimishana sio kurushiana maneno ya kashfa.

- Also, hiyo hoja yako kwamba Rais alifanya kazi na RO, ndio maana akampa nafasi sijaelewa what is your point kwamba hawa Mtandao wote aliowapa nafasi aliwahi kufanya nao kazi huko CCM, au?

- Halafu mwisho naomba nikukumbushe kwamba, ukisoma vizuri sana hii thread mwanzo mpaka ilipofikia sasa, basi utaona kwamba hakuna tuliposema RO sio bin-adam kwamba hatakiwi kutokuwa na mapungufu, infact tulifika hata mahali tukakubali kwamba sasa he is doing a fine job na anakubalika sana huko kwenye idara, lakini ukitafuta thread inayohusu Chenge kuhojiwa kuhusu BAE, basi utaona tulisema wazi kwamba mstaafu wa huko anambana sana mbavu RO anashindwa kunga'ara kwa sababu bado mpaka sasa anai-remote idara, lakini otherwise binafsi sina tatizo na kazi ya RO, toka ashike amejitahidi sana kuibadilisha system ili iwe ya kisasa, lakini sio rahisi sana, sasa ni wizara moja tu inayoshika namba moja on modern systems hasa za kiteknologia nao ni Foreign Affairs.

Respect.

FMEs!
Is it still the case even now? If so then the guys must be very powerful.Sioni kama ni vizuri akawa na room kubwa kiasi hicho ya kuenndeleza anayoyataka wakati yeye yupo nje ya ulingo.Hakuacha legacy yoyote ya maana asimuharibie mwenzake.
 
Is it still the case even now? If so then the guys must be very powerful.Sioni kama ni vizuri akawa na room kubwa kiasi hicho ya kuenndeleza anayoyataka wakati yeye yupo nje ya ulingo.Hakuacha legacy yoyote ya maana asimuharibie mwenzake.

- Mkuu wangu siasa ni mchezo wa ajabu sana na ni mchafu, ndio maana huwa unachezwa na wachafu wachache sana, huku wananchi tukiwa wasindikizaji tu!

- Wanaofahamu vizuri huwa wanasema huyu mstaafu, na BM walikuwa ni ma-co Presidaa, sasa kweli unafikiri BM alikuwa mjinga kuwapa power Mtandao bila kutayarisha kinga incase!

Respect.


FMEs!
 
- Mkuu wangu siasa ni mchezo wa ajabu sana na ni mchafu, ndio maana huwa unachezwa na wachafu wachache sana, huku wananchi tukiwa wasindikizaji tu!

- Wanaofahamu vizuri huwa wanasema huyu mstaafu, na BM walikuwa ni ma-co Presidaa, sasa kweli unafikiri BM alikuwa mjinga kuwapa power Mtandao bila kutayarisha kinga incase!

Respect.

FMEs!

Mkuu nina doubts sana kama BM alipenda JK awe presidaa, kama kweli alipenda inawezekana Ben ni mvivu wa kufikiri kuliko wote japo yeye alituona ni wavivu kiasi hicho. Ma sure Ben alifanya kazi na watu ambao alikuwa satisfied na uwezo wao, na ambao wangeweza kumlinda as well.

Am suspecting kuwa yeye ndiye alimwingiza mkenge kwenye urais ambao unamfanya leo aonekane hopeless president. NI kama amemwingiza mikononi mwa Rostam na Lowassa, and it is very possible that he saw it coming. Inawezekana jamaa alizira na kusema "waache wavivu hawa wakome"

Siwezi kuquestion credentials za RA, na inawezekana kabisa jamaa ana merit. Na utendaji wake na taasisi as whole inaonesha kuwa ni mzuri kuliko tulivyodhani before, tatizo liko kwa decision makers (political leadership). Jamaa wangekuwa decison makers tusingekwama kwenye ujinga tunaolia nao leo.

Sidhani kama uslama wanashindwa kudeal na mtu yoyote Tanzania kama wakiwa na greenlight. Lakini wansiasa wanasema wazi kuwa hawa hawakamatiki na wanasema wazi kuwa wanawaogopa. What the heck.
 
1. Im just asking myself is it a "coincidence trend" au ni ule ubashiri wa mwanabodi mmoja aliyewahi kusema nafasi nyeti zote zitaenda kwa akina..............., sijui ndio unabii huo unatimia??

Sema tu usiogope, mbona hii serikali tangu iingie madarakani, udini uko njenje tu. Hilo halina ubishi, so usione soo kulisema kwakuwa kila mmoja analielewa hilo
 
Mkuu nina doubts sana kama BM alipenda JK awe presidaa, kama kweli alipenda inawezekana Ben ni mvivu wa kufikiri kuliko wote japo yeye alituona ni wavivu kiasi hicho. Ma sure Ben alifanya kazi na watu ambao alikuwa satisfied na uwezo wao, na ambao wangeweza kumlinda as well.

Am suspecting kuwa yeye ndiye alimwingiza mkenge kwenye urais ambao unamfanya leo aonekane hopeless president. NI kama amemwingiza mikononi mwa Rostam na Lowassa, and it is very possible that he saw it coming. Inawezekana jamaa alizira na kusema "waache wavivu hawa wakome"

Siwezi kuquestion credentials za RA, na inawezekana kabisa jamaa ana merit. Na utendaji wake na taasisi as whole inaonesha kuwa ni mzuri kuliko tulivyodhani before, tatizo liko kwa decision makers (political leadership). Jamaa wangekuwa decison makers tusingekwama kwenye ujinga tunaolia nao leo.

Sidhani kama uslama wanashindwa kudeal na mtu yoyote Tanzania kama wakiwa na greenlight. Lakini wansiasa wanasema wazi kuwa hawa hawakamatiki na wanasema wazi kuwa wanawaogopa. What the heck.

Inasemekana chaguo la Ben plus Mangula lilikuwa Dr. Salim, wazushi wa mambo wanadokeza kwamba Mzee Salim hakuwa na mpango wa kugombea Urais, bali aliombwa na mzee Ben plus Mangula afanye hivyo.

Habari zisizo rasmi zinazidi kudai kuwa, Mangula alipoona JK anabeba umaarufu sana alitaka kumnyima form ya upresidaa, Mzee Mwinyi ndiye aliyewaomba akina Ben na Mangula wampe form JK ili wananchi ndo waamua hatma yake. Na hiyo ndiyo sababu kubwa ya kwanini JK anambeba sana Mzee Mwinyi, na pia hiyo ndiyo sababu kubwa ya JK kumtosa Mangula.

Mtu mwenye akili japo ya darasa la saba tu asingefikiria kabisa kwamba Mangula aachwe kabisa asipewa hata kanafasi kadogo, kwa kazi kubwa aliyoifanya. Halafu you can just imagine, unamtoa Mangula unamuweka Makamba, hata mtoto mdogo hawezi kufanya hivyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom