Rashid Othman ndiye Boss wa Usalama

Rashid Othman ndiye Boss wa Usalama

Status
Not open for further replies.
- Mkulu Masanja, salute ndugu yangu unajua sisi tulisema toka mwanzo kwamba wa-Tanzania tumepotea step sana na hii awamu ya nne, tukatukanwa wee, tukaitwa majina yote machafu huko duniani,

- Ninakumbuka jinsi karibu forum nzima ya BCS ikimshangilia Muungwana kwamba taifa letu linahitaji kijana kama yeye, ninashukuru kwamba wananchi sasa wanaweza kuyasoma tuliyosema then na kujumlisha kwa nini tupo hapa tulipo, ukweli ni kwamba tuliyataka wenyewe!

Respect.


FMes!

Hapa umenena Mkuu. Mimi nilisema kutoka mapema kuwa hapa tumetoka zero, lo nilivyoshambuliwa na mashabiki - karibu marafiki zangu wote wanikimbie. Tatizo la watanzania ni kuwa tunamtafuta mtu kwanza halafu ndio tunamtafutia sifa na kama hana tunajipongeza kwa kuadai tumempata mtu wa watu - eti asiye na makuu. Mara chache tunachukua muda kujiuliza huyo mtu kafanya nini huko nyuma kiasi cha kukabidhiwa uongozi, tena wa juu kabisa.

Iliitokea kwa Mwinyi na sifa moja iliyotumika kumwuza kwa wananchi ni kuwa aliwahi kuwajibika kwa makosa yaliyofanyika under his watch - jamani ! Ikatokea tena kwa Mkapa na sifa pekee iliyotajwa haikuwa kwa aliyoweza kutenda bali kashfa inayomhusu kutojulikana - eti mr. clean ! Kama vile hatuna akili tumeweza kwa mara ya tatu kuruhusu hali hiyo kwa Kikwete ambaye eti tabasamu lake tu liliweza kuwachengua wapiga kura hadi kumpa ushindi wa wa tsunami - my, God !

Ajabu inatusubiri mwaka 2010 ambapo tunatakiwa kumrudisha madarakani kwa kushindwa kutekeleza aliyoyaahidi hivyo aongezewe muda. Na wako watu na akili zao timamu watasimama majukwaani na kumnadi hivyo hivyo kwamba pamoja na kushindwa hapo mwanzo bado anafaa. Nimeshukuru sana kwa aliyeweza kuirudisha hii thread, naona wenzangu mlianzia mbali - wengine tulikuwa tunaugulia tu kimya kimya kumbe hawavumi lakini wapo.
Mficha ficha maradhi, kilio humuumbua.
 
Mag3,
Ungekuwa karibu ningekununulia krate ya bia. You just made my day!
 
Mag3,
Ungekuwa karibu ningekununulia krate ya bia. You just made my day!

Mkuu asante lakini ninavyosononeka hapa, hata hiyo beer sijui kama ingesaidia - labda crate ya vodka. Masikini Tanzania, hawa watu tunawatoa wapi ?
 
Mkuu asante lakini ninavyosononeka hapa, hata hiyo beer sijui kama ingesaidia - labda crate ya vodka. Masikini Tanzania, hawa watu tunawatoa wapi ?
Mag3,
You're not alone. Tuko wengi. Lakini tusikate tamaa. Kuna siku.
Tanzania will be reborn.
 
Mada hii watu wanasema mambo mengi lakini nothing is being said. Hata CV ya Rashid Othman aliyoulizia mtoa mada, hakuna anayeifahamu. Na unapouliza kuhusu CV ya RO, unafikiri atakuwa na CV gani. Atakuwa tu amepata training ya MOSAD, au training kutoka North Korea, kama ilivyo kawaida ya Jeshi hilo.

What is the purpose of all this talk?

Kuhusu Rashid Othman, yupo mtu aliniambia kwamba ni mwanajeshi ambaye amechaugliwa kuiongoza Usalama wa Taifa, kama vile alivyochaguliwa Kitine [nadhani]

Halafu, akatokea mtu mwingine akaniambia kwamba huyu mtu,''he rose through the ranks, hakutoka JW. Halafu sasa naamibiwa kwamba, he did not rise through the ranks. Aliwavuka watu ambao walistahili kupata hicho heo kuliko yeye, kwa ajili ya ukuadi aliofanya. Well,we do not want to amplify this, kwamba huyu alifanya ukuadi akapata cheo. Lakini watu wanapopewa vyeo kwa sababu kama hizo, sometimes problems can occur.

But also,it must be remembered,kabla ya kuanza kumlaumu mtu yoyote,lazima ikmbukwe kwamba,kama yule boss akitaka kustarehe na vimwana,wale wanawake lazima wanawake lazima wawe vetted na mlinzi.

Kuhusu RO kupeleka ripoti Mbeya kabla ya kufanya uamuzi,hata JK anashauriana na Mzee Ruksa kabla ya kufanya uamuzi.


Ganesh,

twitter.com/andrew_nyerere
 
Ganesh,
The problem with Mbeya ni kwamba yule anayepelekewa ripoti kishastaafu. Alikuwa mtu wa Che nkapa. Is that the way we want to run out UWT?
 
mkuu ES haya maneno uliyasema tarehe 26 august 2006, sina la kuongezea ndiyo yote tunayoyaona sasa, i salute BIG mkuu.
 
Mkuu asante lakini ninavyosononeka hapa, hata hiyo beer sijui kama ingesaidia - labda crate ya vodka. Masikini Tanzania, hawa watu tunawatoa wapi ?

hawatoki mars wala jupita bali miongoni mwetu. inasikitisha sana
 
Mkuu, I always salute you. Kwa sababu you are always ready to admit where you went wrong. Kwa RO et al...nadhani, mimi with due respect..sijaona utendaji wake wa kazi..what exactly has he done mkuu? wizi na ufisadi wooote unatokea under his watch and he is just happy and content to protect criminals. Sasa kamanda wangu..unadhani huyu anatufaa kweli? Lets be honesty bwana..dont apologize where you dont have to. Hawa jamaa kama taifa letu hawajatusaidia lolote..they are just there to protect status quo za wanene...

Personally, nikiangalia hapa..watu wanaongelea akina Membe, Migiro nk..lakini hebu mkulu..niambia hawa watu..wamefanya kitu gani BOLD kumkomboa mwananchi wa kawaida jamani? zaidi ya kulinda status quo za wanene wenzao? You guys..we need to learn..ni viongozi wepi tunawataka..infact mimi ningesema..we need some new poeple..ambao hata kama hatuwajui..they have something to offer on the table.

I honestly cant judge mama Migiro-not now..lakini kama kweli anataka siku moja aje kuiomba nafasi ya kutuongoza..she must do more. Hata huko UN..awasaidie wabongo (on merit, wenye ujuzi na elimu zao) Otherwise..hatuwezi kuwa tunavote majina na vyeo vya watu..we need to see some actions. They must prove themselves kwamba they are not taking us for granted.

FMES, surely you dont expect me to campaign and vote for mama Migiro simply because alikuwa DSG! We need her to make some hard decisions...

Lastly I say: Stupidity is the art of doing same thing over and over again expecting different results.



JF kwa kufukua makaburi mkishaboreka !

Masanja,

Waheshimiwa mmezungumza mengi sana lakini binafsi sina mengi zaidi ya kurudia yale yale niliyozungza kwenye thread nyingine huko nyuma! na nadhani its its important kwanza ukaelewa jinsi hii idaya ya internal security inavyofanya kazi na if anything its no doubt regardless of your views of TISS toka enzi za Kitine to RO it has always maintained an aura of secrecy, a touch of sophistication and a hint of melodrama even in this age of kila kukicha kuwa criticized na ma armchair critics (nikiwemo) hapa JF.

POST COLD WAR ERA:

Bwana Masanja kabla hatujafika leo kwa R.O ni muhimu ukaelewa jinsi gani TISS ilivyofanya kazi kpost Cold war, in short nadhani unaelewa kuwa threats zilibadilika na kama organisation it was crucial kuwa lazima i adapt na zama hizi ...in other words hata baada ya mabomu kupigwa pale ubalozi wa USA in 1998 TISS walilaumiwa sana na kwa ku fail ku prevant lile tukio na baada ya hapo ndipo tukaanza kuangalia mambo kwa mtazamo mpana zaidi.

Kama hujanielewa basi nina maana kuwa wao kama our nation's primary agency for conducting counterterrorist intelligence operations within Tanzania, walikuwa faulted for failing to understand the nature, scope, and virulence of the threat posed by Osama bin Laden's terror network ambao wengine wandai kuwa waliweza ku fund operation yao kwa kutumia resources toka ndani ya Tanzania.

Hizi allegations zina ukweli na pia kuna walakini kwani its no doubt kuwa TISS walikuwa superbly qualified to investigate terrorist kama iliyotokea pale Ubalozini ule mchana wa siku ya Ijumaa lakini pia ni kweli kuwa this organisation was grossly ill equipped to prevent attacks, given its strong HUMINT

Sasa sitaki kukuboa na historia ndefu lakini as far as R.O is concerned think you are being unfair kwake kwani since he took over he has taken undertaken a series of reforms intended to bolster the TISS capabilities. Na moja kati ya hizo ni major restructuring of the TISS's headquarters, the introduction of more advanced information and communication technology, and the creation of a new career track for intelligence analysts.

Lakini pamoja na hizi measures bado hazijaweza kusilence calls for a more dramatic restructuring of this machinery chini ya R.O na specifically, debate zimekuwa ziki centre kwenye advisability of creating a new domestic intelligence service outside the existing structure of the TISS. sASA ma proponent wa wazo hili wana argue kuwa kuanzisha agency ambayo itakuwa itakuwa inadeal exclusively na information gathering, analysis, assessment, and dissemination (kama nitakavyoelezea hapo chini)

Lakini ma opponents (wengi wao ni ma idealists) wa hili wazo wana counter kuwa kuanzishwa kwa hii agency kuta undermine civil liberties, unduly hinder interagency communication and coordination na sana sana ita create additional barriers between intelligence and law enforcement (japo hizi ndizo of recent zimekuwa on the firing line toka kwa akina MWANAKIJIJI, KISHOKA et al.

Hapo awali nilisema kuwa kama taifa idara zetu za usalama tuko nyuma sana kwenye departments hizi..:

Imagery Intelligence (IMINT)-Huna resource ipo kubwa lakini watu bado wanaendelea kutafuta watu wenye AK47 wakati dunia ya leo mambo yanaenda kwa TXT MSGS na LAPTOPS na USB drives na of course unachohitaji ni kuwa na WIFI bas! hivi vinatosha kuiyumbisha serikali

sehemu zingine ambao sisi tupo sifuri ni:

Signal Intelligence (SIGINT)-

Measurement and Signature Intelligence (MASINT)

Technical Intelligence (TECHINT)


Open Source Intelligence (OSINT)

Sababu ya kukosekana kwa hizi ni kwa sababu wanasiasa hawaoni umuhimu wa hawa jamaa kupewa pesa kwa ajili ya hizo, baadhi ya jirani zetu wako mbali sana kwenye hizo depts na the same applies to Rwanda nchi ambazo in principle ziko kwenye state of war..both domestic and foreign

Having said that,personally mimi niko zaidi upande wa Policy kuliko operations au systems. Na nadhani kuwa tatizo tulilokuwa nalo ni hatuna Strategy ya maana kutokana na sababu mbali mbali na chache mojawapo ni:

1) Katiba yetu haiweki wazi mambo ya accountability na responsibility

2) Culture iliyojikita pale USALAMA WA TAIFA ya kulindana hata kwenye madhambi/kuajiri watoto wa wakubwa na of course yule timu ya mkulu wa MBEYA isnt making life any easier kwa waliobaki kufanya kazi etc

3) Hakuna legislation ambayo iko updated kutokana na nyakati tuliyonayo

4) Hatukuweza kuchukua nafasi tuliyopata baada ya ubalozi wa USA kulipuliwa Dar kwani tungeweza kunufaika zaidi kutokana na msaada ambao Clinton Administration ilikuwa tayari kutupatia

Sidhani kama sisi tuna matatizo ya HUMIT (Humman intelligence) bali tatizo letu ni SIGINT na namna ya maintelligence analysts ambao wanalipwa vizuri na ambao wako free kufanya kazi zao bila kuingiliwa na wanasiasa kwani in the end wao si kazi yako kupeleka watu mahakamani hizo ni kazi za idara nyinginezo. Wao if anything ni kuhakikisha kuwa usalama wa Taifa uko intact sasa kuna watu wanataka hawa jamaa wafanye kazi ya akina KOVA na wenzie hili haliwezekani..PERIOD!!


USALAMA WA TAIFA UNATIKIWA UFANYIWE REFORM TOP DOWN KWAKU-:

a)Improve the integration of foreign and domestic intelligence ambazo kwa kiasi kukibwa ziko shagla bagla

b)Kumprove indication and timely warning of impending threats to national security kwa sababu issues kama za BOT, RICHMOND, SERENGETI, IPTL zingeweza kuepukika kama watu wangekuwa responsible from the start(hio haiondoi ukweli uliokuja julikana later kuwa wao walishafikisha ripoti kwa wahusika ambao hawakuona umuhimu wa ku raise alarms)

c) Kumprove analysis of threats both domestic na foreign na zaidi hapa tatizo langu liko kwenye great lakes region ambako silaha zimetapaka kwa kila kundi, na bila kusahau kuwa the situation in Somalia isnt making matters easier.

d) Kumprove our ability to use intelligence to counter threats to our national security na hapa ni kuongeza nyezo za kazi kwa hawa jamaa wa UWT

e) Na mwisho tunatakiwa kuimprove our ability to set goals and prioritize intelligence requirements, both collection/acquisition and analysiS bila kusahau tunatakiwa kuongezathe sharing of information in the fullest and most prompt manner. Ma skendo ya siku za karibuni yameonyesha jinsi gani tulivyokuwa nyuma kwenye hii sehemu ya kushare info japo dept ya kukusanya info inaonekana wanaweza kupass the ball kuwa wao kazi wanaifanya vilivyo

Kuhusu idara ya OPERATIONS ambao wao wanajisifu kuwa wako bize kukusanya info na info zipo tele lakini cha ajabu so far wamekuwa kimya kuhusu

1) reliability of source



2) credibility of info


KISIWA CHA PEMBA NA SABOTAGE YA BERNARD MEMBE

Mfano kwa nini ilituchukua muda kujua kuhusu movements za maofisa wa Ubalozi wa America esp wale jamaa wa Langley kule Pemba? cover yao eti ni political officers na advisors...na mwishowe nadhani mnajua State department waliandika sipoti gani kuhusu Pemba

Maana nimeangalia hakuna project yoyote ya kuwafanya maofisa hawa wawe wanafrequent kule au ndio mambo ya Southeast Africa Task Force.

Hapo awali wasi wasi wangu ulimwangukia BERNARD MEMBE mabye wengi humu mnaweza kusuma nina beef naye lakini as much as kuwa tunaambiwa publicly kuwa hiyo AFRICOM haipo tena lakini MEMBE amekuwa very instrumental kuwa bypass TISS kwa kumvaa JK direct kuhusu hili. Now the next question je JK kwenye hili ataendelea kumsikiliza MEMBE ambaye alimpa ushauri mbovu kuhusu kupeleka wanajeshi wetu COMOROS kwa pesa za walipa kodi wa Tanznia.

Wamarekani wana wanalobby kuweka kambi yao Tanzania na wanaona Pemba ndio perfect place...je hii misele inayopigwa na akina Nicholas Holman (head wa hii task force) manowari ya USS Ashland kwenye ukanda wa pwani yetu ni kwa manufaa ya nani?...sasa je hili nalo JK amesikiliza ushauri wa R.O au ndio bado anaendelea kumsikiliza huyu kijana wa John Hopkins ambaye thesis yake ni vichekesho vitupu!!

Zaidi ya hayo mbona Membe hatuambii kuhus waTanzania wangapi walioathirika na hii program ya Worldwide Attack Matrix ambayo inawafanya hawa jamaa wa Langley wawe heavily involved Tanzania?

ZAIDI YA HAYO....kuhusu BOT,RICHMOND na maskendo ya UFISADI


Kuna taarifa kuwa watu wa USALAM WA TAIFA walifanya kazi yao lakini wakubwa wao waliwa overruled na kama nilivyosema hapo awali its not their job kujibizana na watu in public domain. Na hili nakubaliana nalo by 100% kwa sababu politicians wanaingilia sana kazi zao hawa jamaa.Na kutokana na siasa za Tanzania I am sure kuwa hii ni norm na kumlaumu R.O kwa kila kitu hapa nadhani kuwa tutakuwa tunatwanga maji kwenye kinu..inabidi walipa kodi waelewe kuwa hawa jamaa na hasa wa domestic intelligence walitakiwa wawe ni watu ambo wako huru kufanya kazi zao pasipo kuingiliwa na wanasiasa na na wananchi ni vyema wakaelimishwa kuwa SI KAZI YA USALAMA WA TAIFA KUWAPELEKA WATU MAHAKAMANI!!

The bottom line siamini hata siku moja kuwa Usalama wa Taifa wanakosa usingizi kwa sababu yanayosemwa JAMBO FORUMS au any other forum/blog. after all ukitazama kwa undani Jambo Forums siyo source ya habari bali JF ni vinara wa kuchambua taarifa wanazozipata na in the end ni incompetent politicians ndio ambao wanakosa usingizi.

Ni kweli wafanya kazi wengi wa Uslama wa Taifa ni watoto wa wakubwa au baba zao walikuwa wako serikalini lakini in my opinion nadhani kuwa ni ma losers tuu I for very simple reason. In 2008 its inot really cool kufanya kazi uslama wa Taifa wakati CITYBANK wanawalipa wafanyakazi wao 20x more.

Why waste time kuwa civil servant? jibu ni simple wengine ambao wamekuwa bypassed kwenye promotions na mengineyo bado wapo pale wanafanyakazi kwa kulipenda Taifa letu tukufu japo tuna Mafisadi Nyangumi na Papa lakini nothing gives raia wa kawaida usalama kuwa atakula na familia yake bila woga kuwa atakamatwa na kuwa detained bila sababu ya msingi na yote kwa sababu kuna mtu kashinda kwenye mvua na kungatwa na mbu yote hayo kutulinda na maadui wa nchi yetu...yes kwa mshahara huo huo mbuzi!

Nadhani Othaman na jamaa zake washaiona hiyo. Sasa hivi strategically dunia imebadilika na what counts now sio GEO=POLITICS bali ni GEO-ECONOMICS na nadhani what we need is more officers who are fluent in MANDARIN and CANTONESE badala ya kunganngania kuwa posted Addis Ababa au New York.

JK angetaka angemrudisha bwana AGOSTINO MAHIGA na angempa nafasi hata ya waziri wa Mambo ya ndani japo Mahiga na Membe picha haziendi lakini jamaa pale NEWYORK ni sawa na multimillion dollar weapon ambayo ni defunct, na yote kwa sababu ya kutaka kula kuliko alichopewa!

Hivi ule upuuzi wa kuandika zilearticles magazetini Tanzania kwa nick names za ajabu ajabu naona zimefail spectacularly!

Mimi nina propose jamaa wa TIARA - Tactical Intelligence & Related Activities waongezewe budget halafu jamaa wa Joint Military Intelligence Program(MI) ipunguzwe budget yao kwa sababu wao wanazo resources nyingi za kuwaongezea pesa kasha nian suggest tuwe na National Foreign Intelligence Program(NFIP) ambao wanatakiwa washaestimate impact ya kuwa EAST AFRICAN SUPERSTATE na jinsi gani kazi zao zitakuwa affected na namna gani tutanufaika na kazi yao.


RECOMMENDATIONS ZANGU:
CORE: hawa wanajumisha watu wa system architectures for intelligence systems na applications inabidi waongezewe budget kwani wanajumuisha security organs zote za Tanzania

Idara ya TASKING: Skendo la RICHOMND na BOT zisingetokea kama hawa walikuwa wanafanya kazi zao inavyotakiwa walitakiwa kuwa kiungo baina consumers and producers of intelligence products.Inawezekana kabisa kulikuwa na oversight kubwa idara hii.




Idara ya COLLECTIONS: Idara hii imejaa watu wazima wengi na sikati kuwa mchango wao wa HUMINT ni mzuri lakini in this day and age ni ngumu kwao kudeal na watu amabo hawabebi AK 47 . In short threat iko zaidi kwa watu ambao wanatembea na Laptops au USB stick than anthing else. Sasa hawa walitakiwa waongezewe vifanyia kazi kazi ambavyo vinaendana na serity threats za kileo.

Idara ya PROCESSING Mimi ugomvi wangu mkubwa uko idara hii.Tangu bomu lilipopigwa ubalozi wa USA Dar I am not sure kama kuna heads ziliroll toka idara hii kwani mabomu yalitengenzwa DAR na resources zote zilipatikana Tanzania sasa sielewi hawa jamaa kama wanapewa budget ya kutosha au lakini I suspect hawapewi budhet ya kutosha na sijui kama processing zao ziko uptodate nah ii ninamaanisha both both primary processing and secondary exploitation systems.

Idara ya DISSEMINATION: Kama ipo hii sijui wanafanaya nini lakini I suspect hawa wanashinda kwenye ma bar kunywa bia . Yupo dogo mmoja namjua anadai yuko idara hii lakini mpaka leop sijui watu wa Othama walimpa kazi based on which criteria (lakini hapa si mahala pa kumzungumzia ) kwa msio jua kazi ya idara hii ni kuwa hawa jamaa kazi yao ni kuprovide communications links between collection systems, processors, and users na hawa jamaa kazi zao zaidi ni Comms lakini kama budget iko chini I am sure kuwa wanayo excuse ya kushinda kwenye Makontena wakinywa beer all day

Mwisho napenda kurudia kuwa if anything hakuna idara inayofanya kazi yake japo iko stretched kam UWT lakini in this day and age lazima concentration iongezwe kwenye counterespionage,emerging threats, protective security , serious crime na external assistance
 
sasa naelewa kwa nini mnatofautiana na membe.
kumbe mna job same same lol
 
Who said he is running The Company? Ni kwamba tu yule anatafuta ushauri wake,kama vile utaona Henry Kissinger au Madeline Albright,wanatoa ushauri mara kwa mara,ingawa wamestaafu.
 
GT,
Mbona hujaweka element ya UWT kutekwa na mafisadi?
 
- GT strong analysis, infact it is a way too sophisticated kuwa understandable sehemu kama hizi za forums kwa sisi wananchi wa kawaida,

- Kwa kuongeza tu ni kwamba according to the dataz RO is doing a hell of a job, isipokuwa ni aliye juu ndiye mwenye matatizo, anapelekewa kila habari lakini hawezi ku-act, isipokuwa tu ile ya picha kule usweet nasikia mkulu aliiona kabla ya RO, akamuita na kumuuliza hali ya nchi ikoje akamjibu shwari, nasikia kidogo ardhi ipasuke hiyo siku!

- Otherwise, jamani ukweli ni kwamba tunaangushwa na Muungwana na kivumbi ni kwamba mafisadi hawawezi kutawala bila wapiganaji na wapiganaji hawawezi kutawala bila mafisadi na Muungwana hawezi kutawala bila wote, viongozi wengi wa juu sasa hivi wanazungumzia kumeguka kwa CCM as a point of no return at anytime sasa hivi, ingawa binafsi bado sioni mwenye huo ubavu, unless kama wanameguka na kuingia Chadema kitu ambacho Muungwana alitaka kukifanya 2005 iwapo asingepata Urais, na msimamo wa gazeti la Tanzania Daima siku hizi unanifanya niaamini somehow something is up!

- I am praying kwa Mungu wa mbinguni kwamba watakaomeguka hawatakuwa wapiganaji, kwa sababu watatumaliza wananchi na taifa zima, wakimeguka tu mafisadi watachukua nji kirahisi sana itakuwa kiama. kwa anayeuliza CV ya RO, ninasema unahitaji Cv ya bsi wake kwanza kabla hujaingilia ya kwake!

Respect.


FMeS!
 
GT,
Mbona hujaweka element ya UWT kutekwa na mafisadi?




Kwa sababu hiyo ni jucy na kusema ukweli ni kama punch and judy politics...tatizo utakuta mtu anasema kitu halafu anakwambia ohh majina nahifadhi and I am not interested in that. I am more interested na kujadili hii idara ambayo has been in the firing line from arm chair critics ambao wako nje ya nchi kwenye comfort zones zao huku wanatupa lawama tuuu

UNLIKE wanajeshi au polisi hawa ndugu zetu wakifa in the lineof duty sana sana wazazi wataambiwa kuwa alipata ajali or whatever hii yote ni kwa sababu ya commitment ambayo waliingia waliposign up for duty to defend nchi yetu toka kwa maadui wa ndani na nje

Yes, its never been a smooth journey lakini ukweli ndio huo and at least for once lets give credit where its due badala ya kuwashubalia as if wao peke yao ndio wenye dhamana ya kukusanya ushahidi,kukamata,kuwafikisha mahakamani na kuwahukumu watu as if we are a Banana Republic!

Kwa kuongezea tuu ni kuwa TISS wako mandated ku conduct surveillance operations, hivyo kwa maneno mengine IT HAS NO INDEPENDENT ARREST POWERS OF ITS OWN!!!. Hivyo basi wao kama idara wako obliged kufanya kazi kwa karibu na idara za polisi za jamhuri ya Muungano ya Tanzania mfano jeshi la polisi mfano vitengo maalum kama cha anti corruption bureau na vinginevyo.

kwa maneno mengine ni hizi special units za vyombo vya usalam wetu ni viungo muhimu btn the high-level demands of our national security and the local knowledge and access ambazo hivyo vyombo vingine wanvyo.

Sasa in the issue kama ya PCCB kwa mfano ndani ya TISS wao wanawaita ‘executive partners” hasa in the wake of haya mambo ya Ufisadi left and right. Vile vile vyombo vingine kama ile special unit within the TISS ambayo kazi yake ni counterespionage, counterproliferation, na countersubversive. Hivi hamjiulizi mbona in the wake of makelele kila kukicha kila kitu kinaishia kwenye magazeti ? jibu ni kuwa kuna kaka zenu dada zenu wajomba zenu na ndugu zenu ambao wanashinda kwenye hali ngumu na mishahara duni yote kwa UZALENDO wao wa kuipenda nchi yetu ndio maana mpaka leo watu wanaweza kuitisha press conferences wakasema weee! then after two three days watu wanarudi back to normal bila kuuana

In short hii amani na utulivu uliopo si hivi hivi ni kuwa R.O na vijana wake hawalali ili wengine wapate nafasi zakuja JF kuja kuwatukana weee mpaka time ya kwenda kulala

Hivi hamjajiuliza kwa nini mpaka leo JF inaendelea kukamua bila wac wac? of course ni kwa sababu TISS wameona kuwa ni haki ya watu kujieleza bila woga na naamini hii JF ya leo angekuwepo APSON sasa hivi Max angekuwa ananyia debe tuu lakini hayo yote watu hawayaoni

Narudia si kazi ya TISS kuwapeleka watu mahakamani na kwa kuongezea tuu ni kuwa tangu R.O aingine kwa haraka haraka naweza kufanya observations kama 8 hivi ambao binafsi naona ni PLUS.

1) Kwanza, yale mambo ya kukamata raia na 'kuwapoteza' bila mpango yameondolewa na kwa sasa vest domestic intelligence iko chini ya idara husika ambazo hazina functional law enforcement powers of arrest or detention kama ilivyokuwa enzi za APSON. Outcome ya hii ni kuwa na mergence ya bureaus ambazo zinaweza kudevout muda na resources zao ili preemptive information gathering, badala ya ku run legacy za APSON za case-oriented investigations ambazo if anything zilikuwa characterized much like police-based intelligence units!

Zaidi ya hayo hii imetoa mwanya kwa Idara kufanya long-term surveillance of za hao wasioitakia mema nchi hii ambayo akina Kinjeketile na Mkwawa waliimwagia damu (kwa sababu TISS as intelligence service HAWAKO concerned na mambo ya immediate requirement of criminal prosecutions kama baadhi ya watu wanavyotaka kulazimisha), na hii imesaidia sana kwenye disruption ya wabaya wa nchii hii siku za karibuni in both operational na logistical cells.

Mwisho zaidi kwenye hiyo point ya kwanza ni kuwa R.O amefanikiwa (japo presha toka kwa wanasiasa zilizidi) kuwepo kwa the separation of security intelligence na law enforcement functions na hii inareflect kitu kinachoitwa ‘culture of prevention' !


PiliTangu R.O aingine TISS wameamua kufocus zaidi kwenye extensive use of their intelligence s in local community information gathering....mfano mzuri ni jinsi gani watu waliopo kwenye nafasi za juu za kufanya maamuzi walivyokuwa wanafikiri mara mbili mbili kama ya kuamua jambo zito....na hizi activities zimeweza kutumika kama useful ‘force multiplier” effect ambayo kwa kusema ukweli kwa kiwango kikubwa zimeweza kuenhance potential scope ya national surveillance efforts. Na kwa sababu hiyo basi, vitu kama consistent media na information campaigns ambazo ambazo zimekuwa zikienda ana kwa na ana na hizo initiatives, zimeweza kusaidia kwa kiwango kikubwa kwa kuipa TISS more of a ‘public face” BADALA YA 900 POUND GORILLA aliloliacha APSON na hii hata kamati ya bunge ya ulinzi inalikubali na if anything R,O amefanikiwa kwa kiasi kikubwa at least TISS wanaweza kuprovide a means to explain the nature, rationale, and purpose of their work.

Vile vile si vibaya nikapoint out kuwa tusiunderestimate the ‘value added” dimension ya hilo la mwisho.Kwani wote tunajua USALAMA WA TAIFA ya akina Kitine,Kombe na Apson ilikuwa na reputation ya arbitrariness, brutality, and corruption.(nani atasahu Kitine kutumbukiza lile benzi baharini baada ya kustukiwa na Nyerere?) Hivyo basi, the natural inclination ya RAIA enzi za hao enzi za hao niliowataja ilikuwa ni kuiview USALAMA WA TAIFA with suspicion na sana sana ilikuwa ni bereft of concerns for civil liberties na duties.

Sasa for R.O to systematically bold move (even in the wake of sabottage za APSON na wapambe wake) to break down this negative perception has been vital in winning the trust ya raia na voluntarily wamekuwa wakigain their solicitations katika kuendeleza amani na utulivu kwenye taifa letu tukufu ,,,japo tuna mafisadi wetu Nyangumi na Papa!


Mengine yaani tatu mpaka 8 panapo uzima na uhai nitawaletea kesho maana nina usingizi balaa!!
 
nimekusoma G.....inawezekana kabisa idara ya sasa ikawa inafanya kazi kitaalamu ...lakini kama taarifa hazifanyiwi kazi ..bado kuna tatizo....mwananchi wa kawaida hawezi kujuwa.....atajuwa organs zimelala......

watu wengi ndani ya system wanamuona RO kama alikuwa too junior kuwa DG...haya tulishapia yaongelea hapa hata kabla hajachaguliwa ..aliporudi kutoka london...Tatizo lingine pia inaaminika kuwa wenye uzoefu wamewekwa kando....ameingia na timu yake[hili ni jambo la kawaida kwenye mamlaka lakini lazima liangalie sifa,elimu na uzoefu -seniority..

.....tatizo lingine katika siku za karibuni limekuwa ni siri nyingi kuvuja ovyo ovyo..kutoka kwa maafisa....
 
Mkuu game theory

Umedokeza mengi makubwa. Naina ni kuwa Tanzania ililewa sana na sifa ilizopata wakati wa vita vya ukombozi. Ysystems karibu zote zilikuwa effective na fairly operational.

Sasa hivi ni vigumu sana kujua usalama wa taifa wanafanya nini. Kama central bank inaweza kuingiliwa na wezi, you can ask yourself what the heck is going on in there.

Ukiangalia kwanza hali ya usalama wa capital hairidhishi hata kidogo, waliosalama ni viongozi na matajiri, sisi wengine usalama wetu unatokana na kudra ya mwenyezi mungu.

Ukiangalia kwa undani utaona kuwa kuna individuals wameadvance sana kulko officers wa UWT, wana capabilities za kugather, kuprocess na kunanalyse information kuliko hata watu wa UWT, hata kwenye mambo yanayohitaji common sense. Then you can ask yourself why is it so.

Ukiangalia cabinet iliyopo sasa, na ukiangalia RC, DCs na wengine kwenye vituo muhimu vya kazi you may wonder, watu wa uslama walikuwa wapi kuacha watu hawa wanafika huko? Kwenye ubunge ndio usiseme, ni kama uslama wameshindwa ku-screen nani anaweza kuwa mbunge na nani hawezi kuwa.

Siku hizi wenzetu hawatumii uslama wa taifa kulinda borders au kulinda viongozi, wanatumia resoueces hizo kuleta maendeleo ya kiuchumi, technologies na vitu alike, lakini ukiuluza UWT ya kwetu kweli utaona kuwa wanaply by the book of Paul Sozigwa, typical mambo ya cold war na kutoa ulinzi kwa viogozi na sio kwa taifa.

Kunahitajika overhaul ya hali ya juu sana, ili tuwe na UWA inayweza kuifikisha Tanzania inapotakiwa, kuirudisha Tanzania kwenye rightful position East Africa, Afrika na hata dunia, That can be done, kinachohitajika zaidi ni political will. Ningependa jamaa wasiwe branch ya Ikulu, wawe na nguvu, huru, na meno ya kufanya kazi sio kama sasa.

Hata RO pamoja na uwezo wake na experience yake kwenye kazi, anaonekana hopeless kutokana na ubovu wa system, a change is needed.
 
-
- Ninakumbuka jinsi karibu forum nzima ya BCS ikimshangilia Muungwana kwamba taifa letu linahitaji kijana kama yeye, ninashukuru kwamba wananchi sasa wanaweza kuyasoma tuliyosema then na kujumlisha kwa nini tupo hapa tulipo, ukweli ni kwamba tuliyataka wenyewe!

Respect.

FMes!

FMES,

Point of correction, Kuna tuliopinga na kusema JK hatafanya jipya kumbuka aliyerithi jina lako SAM aka Me against Kikwete, Mwanakijiji, Tabasamu na wengineo walipinga. Hivi ile forum yao waliyanzisha ya Maoni.com sijui ilikufa au ipo?

Dah! kweli kama JK angekua anapata briefings za humu zingemsaidia sana. Hata RO mwenyewe angekuwepo humu angeipata ya zesweet kabla ya yoote. Kijiwe safi sana hiki.
 
Mkuu game theory

Umedokeza mengi makubwa. Naina ni kuwa Tanzania ililewa sana na sifa ilizopata wakati wa vita vya ukombozi. Ysystems karibu zote zilikuwa effective na fairly operational.

Sasa hivi ni vigumu sana kujua usalama wa taifa wanafanya nini. Kama central bank inaweza kuingiliwa na wezi, you can ask yourself what the heck is going on in there.

Ukiangalia kwanza hali ya usalama wa capital hairidhishi hata kidogo, waliosalama ni viongozi na matajiri, sisi wengine usalama wetu unatokana na kudra ya mwenyezi mungu.

Ukiangalia kwa undani utaona kuwa kuna individuals wameadvance sana kulko officers wa UWT, wana capabilities za kugather, kuprocess na kunanalyse information kuliko hata watu wa UWT, hata kwenye mambo yanayohitaji common sense. Then you can ask yourself why is it so.

Ukiangalia cabinet iliyopo sasa, na ukiangalia RC, DCs na wengine kwenye vituo muhimu vya kazi you may wonder, watu wa uslama walikuwa wapi kuacha watu hawa wanafika huko? Kwenye ubunge ndio usiseme, ni kama uslama wameshindwa ku-screen nani anaweza kuwa mbunge na nani hawezi kuwa.

Siku hizi wenzetu hawatumii uslama wa taifa kulinda borders au kulinda viongozi, wanatumia resoueces hizo kuleta maendeleo ya kiuchumi, technologies na vitu alike, lakini ukiuluza UWT ya kwetu kweli utaona kuwa wanaply by the book of Paul Sozigwa, typical mambo ya cold war na kutoa ulinzi kwa viogozi na sio kwa taifa.

Kunahitajika overhaul ya hali ya juu sana, ili tuwe na UWA inayweza kuifikisha Tanzania inapotakiwa, kuirudisha Tanzania kwenye rightful position East Africa, Afrika na hata dunia, That can be done, kinachohitajika zaidi ni political will. Ningependa jamaa wasiwe branch ya Ikulu, wawe na nguvu, huru, na meno ya kufanya kazi sio kama sasa.

Hata RO pamoja na uwezo wake na experience yake kwenye kazi, anaonekana hopeless kutokana na ubovu wa system, a change is needed.

- Usishangae kwamba UWT wanaweza kuwa wana ripoti zote inadvance, ila kuna wakubwa wanaoshirikiana na hao wavamiaji wa Central Bank, usiwa-underestimate mafisadi mkuu!

Respect.


FMeS!
 
FMES, nakupata mkulu. Tuko pamoja.

GT, many thanks kwa maelezo yako marefu na yanayotoa mwanga.

Kwa kweli kama taifa tunapitia kipindi kigumu. Mimi ningeshauri kila mtanzania popote alipo..aangalie ni namna gani anaweza kuchangia mabadiliko katika taifa letu. Tusitegemee wenzetu kufanya hivyo kama sisi wenyewe siyo kiini cha mabadiliko. Maana wengi wanaoongelewa humu...wengi tumesoma nao, tunafanya nao kazi na tunawajua uzoefu na udhaifu wao. Hima hima...tuhakikishe hatuongozwi na watu simply because wana entitlement ya kutuongoza. Kama taifa tunaweza kuamua kuwa na viongozi safi. Hilo linawezekana. Kila mtu atimize wajibu. Tuweke maslahi ya taifa mbele.

FMES, kuhusu Migiro, huyu mama kwa kweli mimi sina pingamizi lolote, Personally namuadmire na kumkubali maana alikuwa mwalimu wangu at some point in my life. Kwa hiyo uwezo wake naufahamu. ila issue yangu ni kwamba ningependa kumuona akiwa active katika issues zinazolihusu taifa. Mfano yuko NY, kwa hiyo breadth yake ni ya kiulimwengu, lakini at the end of the day..atakuja kutuongoza sisi. Ningependa awe closer at home. Ajue matatizo tuliyonayo na awe tayari kuja na solutions mbadala.

How about Membe na Mahiga? Anything they can offer?
 
economic intelligence and espionage ....kwetu haitilkiwi mkazo......lazima tiss wajiulize wanaufanyia nini uchumi wa tanzania....hata jeshi siku hizi lina zalisha mali wakati wa amani....wao wanatakiwa kuwa mstari wa mbele kufanya ujasusi wa kiuchumi....la kudhibiti ujasusi wa kiuchumi dhidi ya tanzania.........
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom