About Itatiro's previous being deputy prior to his promotion, I read it from Daily news (It is here:
http://www.dailynews-tsn.com/news.php?id=2932) Kama mwandishi kadanganya, I admit to be misled.
RO kuwepo London Sept mwaka jana, labda iwe alikuwa safarini mara moja.. but he was already Chief of Staff in Dar since Dec 2004. Go and recheck.
We don't need to go two months back, two other appointees were sworn in the same day RO was sworn in by JK, they were both Christians.
Prof. Chachage kabla ya kufariki aliulizwa maoni yake nini baada ya JK kuteuamabalozi watano na wote waislamu, alijibu kuwa kabla ya kutoa maoni itabidi tupate list ya mabalozi wetu wote kisha tuhesabu kabla ya kutoa maoni.
Baada ya uteuzi wa wakuu wa wilaya, Askofu Sylvester Gamanywa aliandika katika gazeti la Msemakweli kuwa takwimu zinaonyesha idadi ya wakristo ni kubwa mno kulinganisha na wa dini nyingine. Akahoji kuwa kama idadi hiyo ingekuwa ni ya waislamu hali ingekuwaje... na kusema 'bila shaka yangetokea maandamano kupinga uteuzi huu'.
Tusiwe na prejudice.
Ikiwa kusafiri na presidential jet kunagharimu pesa nyingi sana, (I hear it cost no less than Tshs. 100M just to fly from Dar to London!), I would consider it a plus kusafiri kwa ndege nyingine ya gharama nafuu.
I am not sure if it is the president who is supposed to send Mahalu to prison or bring him to court. Kuna vyombo husika .. and for all I know they are working on it.
Yes, I am equally puzzled by some of the appointments and decisions. Like I didn't see Makamba being katibu mkuu wa CCM, or private advocate kuwa balozi sehemu nyeti kama London. Yeah .. kufukuzwa engineer on the spot was also a bit of show off.
Uhusiano wa JK na Adadi Rajabu siufahamu, enlighten if you wish.
Yes kukosoa ni muhimu pale sirikali inapoenda kombo but let's give credit when it's due.
Naungana na wengine kuwa hatuna haja ya kutumia matusi.