Kozi 3 baada ya lenta ndo kisasa zaidi kutoka msingi hadi lenta kozi 10 iko pw sana hayo mawazo yangu wengine wachangieMkuu nisaidie hili, naweza kujenga kozi 13 baada ya mkanda wa msingi(3 chini + dirisha kozi 10) ndo nikaweka lenta? Nahitaji nyumba iwe ndefu.
Je juu ya lenta inafaa kozi 3 au 4?
Ndio inawezekana ndg ila design yako inabidi isiwe na viukuta vifupi, huwa vinasumbua katika kupigilia box za mkanda. Mara nyingi huwa vinakatikaMkuu nisaidie hili, naweza kujenga kozi 13 baada ya mkanda wa msingi(3 chini + dirisha kozi 10) ndo nikaweka lenta? Nahitaji nyumba iwe ndefu.
Je juu ya lenta inafaa kozi 3 au 4?
Viukuta vifupi ndo vipi hivyo mkuu?Ndio inawezekana ndg ila design yako inabidi isiwe na viukuta vifupi, huwa vinasumbua katika kupigilia box za mkanda. Mara nyingi huwa vinakatika
Juu ya lental beam, kawaida huwa ni kozi 3 ila kama paa lako lina slope ya kuzidi angle 40 na unataka overhang ya bati iwe kubwa basi ukiweka kozi 4 itakuwa vyema zaidi kwa maana tofali moja na nusu mpaka mbili zitakuwa zinafishwa na overhang ya bati
Ukuta unaotenganisha uwazi mmoja na uwazi mwingine mfano kati ya dirisha na dirisha au kati ya dirisha na mlangoViukuta vifupi ndo vipi hivyo mkuu?
Tunaomba elimu juu ya kifaa kinachoitwa central stabilizer ya nyumba mzima. Je, ushawahi kufunga hiki kifaa, na ni brand ipi ni bora zaidi?.Hakikisha main switch yako inawekwa katika umbali ambao unaweza kuifikia ukiwa umesimama bila kutumia nyenzo yoyote kama vile stuli, meza n.k
Lakini pia isiwe imefungiwa katika chumba kwa maana itakapotokea shida ya kuhitaji kuizima isimlazimu mtu kuanza kutafuta funguo ya mlango, ndio maana wengi huwa wanaiweka kwenye corrido ili iwe rahisi kwa mtu yeyote kuifikia
Ramani, Makadirio au Ushauri tuwasiliane
Central stablizer ni kifaa kinachofungwa katika mfumo wa umeme ili kuulinda huo mfumo dhidi ya kupanda ama kushuka kwa voltage.Tunaomba elimu juu ya kifaa kinachoitwa central stabilizer ya nyumba mzima. Je, ushawahi kufunga hiki kifaa, na ni brand ipi ni bora zaidi?.
MKUU taa za nnje uwezi ukaweka mfumo wa sensor kwa sababu zinasaidia kwa usalama na muonekano wa nyumba usiku, ukiweka taa za nnje sensor maana yake kama akijakatiza kitu basi nyumba itakuwa ipo gizani kama vile utumii umeme.Siku hizi watu wengi taa za nje wanaweka taa zenye motion sensor, kwa maana taa zinakuwa zinawaka tu pale kunapotokea movement yoyote.
Kimahesabu inaweza ikawa sawa au ikapunguza matumizi ya umeme ukilinganisha na mtu aliyeweka taa ya watt 20 inayowaka kuanzia jioni mpaka asubuhi. Hizi taa zenye sensor zinakuaga na watt mbali mbali, mfano ukiweka taa ya watt 100 jumla ya dakika zote ambazo hii taa itawaka kuanzia jioni mpaka asubuhi inaweza isizidi dakika 60 ambayo kimatumizi ni sawa na unit 0.1
Taa ya kawaida ya watt 20 ikiwaka kwa muda wa saa 12 (jioni mpaka asubuhi) inakuwa ni sawa na unit 0.24. Hii ni kwa taa moja tu, na bado mwanga wake unakuwa sio sawa na mwanga wa taa ya watt 100
Ramani, Makadirio au Ushauri tuwasiliane
Nimekupata Fundi Umeme,MKUU taa za nnje uwezi ukaweka mfumo wa sensor kwa sababu zinasaidia kwa usalama na muonekano wa nyumba usiku, ukiweka taa za nnje sensor maana yake kama akijakatiza kitu basi nyumba itakuwa ipo gizani kama vile utumii umeme.
Matumizi ya sensor ni kwa ajili ya taa za barabarani na getini.pia unaweza ukaweka chooni.
Nyumba inapendezeshwa na taa.
Hapo hapo kwenye usalama ndio ilikuwa dhamira yangu, na hizo taa za sensor zipo za aina tofauti. Kuna zile ambazo zinakuwa zinawaka mwanga mdogo ila ikitokea movement yoyote, mwanga unaongezeka na kuwa mkali zaidi kwa hivyo sio kwamba nyumba itakuwa kiza asilimia 100MKUU taa za nnje uwezi ukaweka mfumo wa sensor kwa sababu zinasaidia kwa usalama na muonekano wa nyumba usiku, ukiweka taa za nnje sensor maana yake kama akijakatiza kitu basi nyumba itakuwa ipo gizani kama vile utumii umeme.
Matumizi ya sensor ni kwa ajili ya taa za barabarani na getini.pia unaweza ukaweka chooni.
Nyumba inapendezeshwa na taa.
Mimi nahisi wewe una maanisha taa za support(street light) na sio taa za kwenye nyumba uwa hazina sensor bali wewe unazifungia sensor kila upande mtu akitokeza sensor inamuona.Hapo hapo kwenye usalama ndio ilikuwa dhamira yangu, na hizo taa za sensor zipo za aina tofauti. Kuna zile ambazo zinakuwa zinawaka mwanga mdogo ila ikitokea movement yoyote, mwanga unaongezeka na kuwa mkali zaidi kwa hivyo sio kwamba nyumba itakuwa kiza asilimia 100
Msingi wastan kozi ngapiKozi 3 baada ya lenta ndo kisasa zaidi kutoka msingi hadi lenta kozi 10 iko pw sana hayo mawazo yangu wengine wachangie
Kama kiwanja kiko flat, idadi itategemea na urefu wa msingi unaoutaka mfano mwingine anaweza akajenga kozi 7 (kozi 4 chini ya ardhi, kozi 3 juu ya ardhi) lakini mwingine anaweza akaweka zaidi ya kazi 7 ili msingi uwe juu zaidiMsingi wastan kozi ngapi