...ohooo, mwenzio nimefunga bana! (..ya kale hayanuki)
kwa ndugu zangu Waislam woooote... Ramadhan Kareem, sisi sote ni ndugu..
kwingine umeandama na kwingine bado,hivyo ndivyo ninavyosikia.VIPI MKUU UMEKOSEA TIMIMG?Mbu mfungo si unaanza kesho bana mbona unaniconfuse ?
Ramadan will start tomrw here at my place
[2:183] O you who believe, fasting is decreed for you, as it was decreed for those before you, that you may attain salvation. QURAN 2:183
...haya tena wadau.
msimu wa mavuno umejirudia, mkiniona kimya mjue navuta uradi, kutubia na kuomba maghfira kwa Subhana wa Taala.
Mambo ya Mapenzi kwa sasa mnh! ...
Tutaonana September 10, 2010.:amen::thumb:
wengine hawajaanza leo :confused2: Allah yqbal siyamkum....ramadhan kareem kwa wote...............wengine tumeshaanza mfungo.
mkiona kimya jueni niko katika harakati za kusaka ftari :confused2:
Ramadan will start tomrw here at my place