Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,594
Kwa umri wake wa miaka 35 kaptein Ibrahim Traore ni mtoto kwa umri wa Samia Hassan Suluhu ila kwa utendaji wake wa kazi Ibrahim Traore ni mwalimu kwa Samia.
Ni raisi mwenye msimamo na uthubutu hazungukwi na Wezi na Machawa inakatisha tamaa kuona Raisi ana chama chake cha Machawa(AIBU).
Ibrahim Traore ni shujaaa badala ya kuzipigia magoti nchi za Magharibi kazinyooshea kidole hapa Samia Suluhu kuna la kujifunza anasema haiingii akilini kuona Afrika ni maskini licha ya utajiri tuliojaliwa Samia hapa jifunze kupunguza kuomba misaada.
Ni raisi mwenye msimamo na uthubutu hazungukwi na Wezi na Machawa inakatisha tamaa kuona Raisi ana chama chake cha Machawa(AIBU).
Ibrahim Traore ni shujaaa badala ya kuzipigia magoti nchi za Magharibi kazinyooshea kidole hapa Samia Suluhu kuna la kujifunza anasema haiingii akilini kuona Afrika ni maskini licha ya utajiri tuliojaliwa Samia hapa jifunze kupunguza kuomba misaada.