Raisi Magufuli likatae pendekezo la kuwashughulikia mitume na lile la kujenga makanisa mpaka kwenye vituo vya usafiri wa Mwendokasi.

"Katika sheria ya uislamu hakuna Nabii wala mtume,baada ya Mtume Muhammad,tatizo sio yeye kujiita nabii,tatizo ni huo unabii wake kuuegemeza katika uislamu,wakati uislamu,umeshaweka sheria zake,za kuwa hakuna nabii ,baada ya Mtume Muhammad S A W."

Kama hakuna sheria hiyo na mtu amejiita hivyo ni mtume automatikali anakuwa sio Muislamu Wa aina yenu. Kama ndivyo ni kwa nini mnataka azuiwe kujiitikadi kama mtume? Ninyi inawauma nini au inawapunguzia nini? Mbona mumejawa wivu hivyo kama ule Wa "kike"?

Je,dini zilizomtangulia zingemuwekea roho mbaya,unafikiria Muhammad angalifika wapi? Inakuwaje Muhammad yeye alipewa nafasi ya kuwatukana Mayahudi na Wakristu lakini sasa anageuka na kuwapeni maelekezo muwazuieni wenzenu?
Kwani unateseka?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Katika sheria ya uislamu hakuna Nabii wala mtume,baada ya Mtume Muhammad,tatizo sio yeye kujiita nabii,tatizo ni huo unabii wake kuuegemeza katika uislamu,wakati uislamu,umeshaweka sheria zake,za kuwa hakuna nabii ,baada ya Mtume Muhammad S A W."

Kama hakuna sheria hiyo na mtu amejiita hivyo ni mtume automatikali anakuwa sio Muislamu Wa aina yenu. Kama ndivyo ni kwa nini mnataka azuiwe kujiitikadi kama mtume? Ninyi inawauma nini au inawapunguzia nini? Mbona mumejawa wivu hivyo kama ule Wa "kike"?

Je,dini zilizomtangulia zingemuwekea roho mbaya,unafikiria Muhammad angalifika wapi? Inakuwaje Muhammad yeye alipewa nafasi ya kuwatukana Mayahudi na Wakristu lakini sasa anageuka na kuwapeni maelekezo muwazuieni wenzenu?
Ndugu yangu Kwanza nikupongeze kwa kuonesha uwezo wako mkubwa wa kufikiri,umeongea vyema Sana na ukweli usiopingika katika sehemu kubwa ya maelezo yako ispokuwa Kuna sehemu chache ni vyema tukawekana sawa.

Sehemu Kama kwamba Mtume Muhammad hakutajwa kwenye biblia nikufahamishe tu kidogo kwamba Muhammad Ametajwa kwenye biblia..sema kwenye biblia Kuna namna mbili za kusoma Aya..Kuna Aya ambazo rahisi kuzifasili au kwa maana nyingine zinajifasili zenyewe na Kuna Aya ambazo ni ngumu kuzifasili lazma mtu fulani ambaye amejawa na roho wa Mungu akufasilie,hivyo nikueleze tu Muhammad yupo kwenye biblia sema wewe ndiye amabye umeshindwa kumuona ndani ya biblia.

Jambo jengine Muhammad ndiye mwisho wa manabii na mwisho wa mitume ni kweli kabisa amefunga milango ya manabii wapya Bali hakufunga milango ya manabii ambao hawakufa kurudi, Mfano halisi tulio wengi Kati ya waislamu na wakristu tunafahamu kwamba nabii issa anarudi na tunamsubiri je Kama Muhammad ni Mwisho wa manabii tunatafsiri vipi hapo?
Au kitabu Cha kiislam kinaitwa albidaya wannihaya kimetabiri ujio mwingine kabisa wa nabii ilyasa/elia kurudi na kuja kwake ni kuja kubainisha fitina za mpinga christu kabla ya kurudi kwa yesu nayo tunaitafsiri vipi?
Ni kweli kabisa waislamu wengi hawajamuelewa Hamza Bali wanakurupuka na jazba zao ambazo mi naziita za kipumbavu kabisa,hawataki kukaa chini na kuelekezwa kwa kutulia Bali utakuta asilimia kubwa ni wabishi Sana na wanajua kila kitu Yani wanaviburi ambavyo vitawaponza.

Bali pia nimesikia huyo mzee wa bakwata akisema kwamba Kama ni utume angestahili kupewa Mufti zuberi huo ni upuuzi kabisa ambao nimeshangazwa nao,Yani watu wamejiweka position kubwa Sana hata za kutaka kumshauri Mungu Cha kufanya kasahau kwamba Mwenyezi Mungu humpa cheo amtakaye!!

Otherwise nikushukuru Umejitahidi Sana na umeongea vizuri Sana na nakupa pongezi kubwa Sana kwa udadavuaji wako,ni watu wachache Sana wenye fikra Kama zako.
Nakupenda Sana ndugu yangu.
 
Wataalamu wa mawazo na wanazuoni:

Inaelekea watu wengine sifa za msingi na Kuu za Mungu hawazijui. Inaelekea kana kwamba baadhi ya dini hazijachukua wala kutenga muda wa kutosha kusoma Falsafa kabla ya kuamua kusoma Teolojia. Ingalikuwa wahusika waliwekeza muda wa kutosha kusoma Falsafa ili kubainisha asili ya vitu vyote ikoje(uncreated Creator), basi watu wengine tusingaliweza kusikia mapendekezo ya ajabuajabu kadri ya mada hii.

Ni hivi, Mungu kwa asili yuko mahali pote(Omnipresent). Ninaposema kwamba yupo mahali pote, ina maana yupo ndani na nje ya Space. Mungu anapokuwa ndani na nje ya space maana yake anaona na anakuwa aware na kila jambo au hali inayotukia ndani ya space au nje ya space(Omniscience).Maana yake ni kwamba Mungu, haitaji kuambiwa na kiumbe chochote ili ndio aelewe kwamba jambo fulani linaendelea au lilitukia au litatukia.

Sifa nyingine ni kwamba Mungu anafahamu yote na kukumbuka yote yaliyotukia, toka alipofanya uumbaji wa vyote tunavyovifahamu na tusivyovifahamu. Anafahamu yote yanayotokea sasa ndani na nje ya space. Anafahamu kila jambo na kila hali itakayotokea kwa kila kiumbe kilicho hai na hata visivyo hai. Kwa ufupi, kwa Yeye Mungu kuwa Omnipresent na Omniscience ni kwamba yuko na Control ya kila jambo. Kwa lugha ya kisasa yuko TIMAMU.

Sifa nyingine kuu ya Mungu inayoendana na hizo mbili hapo juu,ni kwamba Mungu anao uwezo wa kwa kila jambo.Yeye yuko juu ya kila uweza. Mungu anaweza kila lisilowezekana au lililoshindikana kwa viumbe wengine. Kwa mantiki hiyo yeye ni UWEZA USIOWEZWA.

SASA katika hali ya kushangaza sana,kinyume na ukweli ambao nimeubainisha hapo juu, jana wamesikika watu wawili wakiweka mbele ya Raisi Magufuli, mambo ya ajabu sana. Mmoja ni wa dini ya Kiislamu, ambaye kwa nafasi yake ni mmoja wa Wakurugenzi wa BAKWATA, Makao Makuu. Na wa pili ni kutoka dini ya Kikristu,naye ni yule anayejiita “Askofu” Gwajima wa kikundi cha kidini cha “Ufufuo na Uzima”.

Watu hao wamesikika wakiwasilisha kwa Raisi Magufuli jana,katika kikao chake na Viongozi wa dini, mambo ambayo sio ya Kisera wala Kikatiba. Na wengine wamesikika wakiwasilisha mbele ya Raisi Magufuli ombi la yeye kushughulikia masuala ambayo ni ya Omnipresence, Omniscience na kadhalika. Kwa lugha nyingine walisahau kwamba Raisi Magufuli sio Mungu kwa sababu maombi waliyompatia mwenye uweza nayo ni Mungu pekee.

Ni hivi,Kiongozi mmoja wa Kiisalmu, kwa jina la Muhammed, kutokea BAKWATA,Makao Makuu, alitaka Raisi Magufuli aingilie kati na kumnyamazisha mhubiri mmoja wa Kiislamu anayejiita Nabii(Mtume) HAMZA. Kwa wale msiomfahamu huyu Nabii HAMZA, ni muislamu ambaye amekuwa akipingana na Fundisho la Kiislamu kudai Yesu Kristu hakufa msalabani bali Mungu alimuweka mtu mwingine pale msalabani na ndiye huyo aliyekufa na wala sio Yesu Kristu.

Kwa hiyo, pamoja na jamaa huyo kuhubiri mambo mengine positive juu ya Yesu, kinachowakera Waislamu hadi wafikie hatua ya kumchongea kwa Raisi Magufuli ni yeye kujiita “Mtume” au “Nabii”. Kwa uelewa wa kiislamu,wanaamini kwamba mtume wa mwisho ni Muhammad na wala siyo Yohana Mbatizaji kama Wakristu wanavyoamini,mtu ambaye hata Yesu alimwagia sifa za kutosha sana miongoni mwa Manabii.

Kiongozi mwingine ambaye alitoa wazo kwa Raisi lisilo la Kisera ni “Askofu Gwajima.” Yeye baada ya kusikia waislamu wanatoa ombi jingine lisilo la Kisera la kujenga Msikiti mwingine Uwanja wa Ndege wa Dar es salaam, naye akatoa ombi la kujenga Kanisa hapo hapo sawa na waislamu wanavyoomba.

Sasa kwa nini mjadala juu ya hoja hizi mbili: ya ujenzi wa makanisa na misikiti kila mahali na kuzuiwa watu wengine kujiita mitume?

Watu wengi sana wanaendelea kujadili mambo haya kilaini laini tu kama mambo ya kawaida sana. Na wengine wanaona kana kwamba Waisalamu wanaonewa kwa kuzuiliwa kujenga misikiti au Makanisa.Na akina Gwajima wanataka kututumbukiza katika fikra za kwamba kila waombalo waislamu nasi Wakristu au Vikundi vingine vya kiimani navyo vinapaswa kuomba sawia na waislamu. Sasa kwa nafasi ya leo, naomba tujadili hoja hizi mbili, nje ya Duara ya Mashaka.

1. Hoja ya misikiti na makanisa kwenye maeneo ya umma.

Ni hivi kwa uwezo wa Mungu ambao nimeubainisha hapo awali, Mungu ili atambue na kutuona kwamba tuko tunamuomba sio lazima tu tuwe kwenye chumba,compound au eneo fulani tu liitwalo Msikiti au Kanisa.

Mungu yuko popote pale.Yuko ndani na nje ya space.Yuko mioyoni mwetu. Kabla hatujamuomba yeye alishafahamu tulikusudia kumuomba nini kila mmoja wetu,na tena, kabla hata ya kuumbwa kwetu. Kwa hiyo,haitaji Mungu atuone ndani ya Misikiti au Kanisa ndio aweze kubaini sala na dua zetu kwake. Mungu wetu ni Mungu mwenye wingi wa MANTIKI, UFAHAMU NA AKILI.

Mungu wetu ni mwingi wa ufahamu;anafahamu ni wakati gani na mahali gani afanye mambo kwa ajili ya ustawi wetu. Kinyume chake hatuwezi kuwa na Mungu ambaye hawezi kututaka tujenge Misikiti na Makanisa kila mahali:kwenye vituo vya Mwendokasi,Sokoni, Baharini kwa wavuvi, Barabarani na katika njia za waenda kwa Miguu.Fikra za namna hii zimenipeleka kujiuliza yafuatayo:

  • Ni kwa nini watu kama viongozi wa dini, wanaochukuliwa kuwa na maono ya Kimungu washindwe kuelewa kwamba Raisi anahusika na mambo ya Kisera na Kikatiba, sio masuala kama haya ya kulilia kuzuiwa kujenga MIsikiti au Makanisa?
  • Hivi kama kuna mtu anaona amenyimwa haki ya Kikatiba kwa nini asitimkie Mahakamani kuomba haki hiyo?
  • Je,Viongozi wa dini kushindwa kuwa na uelewa wa kutosha juu kuwa wapi pasemwe lipi na wapi kusemwa lipi, sio kigezo cha kuthibitisha kwamba Mungu hajawapa maono yoyote bali wamejipachika tu hayo maono yao?

2. Hoja ya kuzuiwa watu wengine kujiita mitume

Kikatiba ni kwamba kwa nchi yetu suala la kuabudu ni suala la uchaguzi. Kila mtu yuko huru kuchagua amuabudu nani na aamini nini? Mwenye jukumu la kwenda kuamua nani alikuwa sahihi ni Mungu mwenyewe. Hapa duniani sio Polisi,Jeshi na wala IKULU yenye jukumu la kuchagulia watu wajiiteje kiimani na wala wafundishe nini.

Wakati baadhi ya waislamu wanalalamika juu ya “Nabii HAMZA” wanasahau kwamba hata Muhammad naye utume wake aliutwaa katika mazingira kama hayo ya Nabii HAMZA. Historia iko wazi kwamba hakuna Nabii ambaye hakuwahi kuwa endorsed na Mungu. Kila Nabii katika Historia ya Ulimwengu, alipotumwa na Mungu ilikuwa lazima Mungu amthibitishe kupitia kwa Mitume wengine wanaokuwa wamemtangulia au Mungu vile vile alifanya hivyo kwa miujiza kabisa.Maana yake kwamba Mungu alimjalia mtu huyo uwezo wa kufanya miujiza.

Mazingira kama haya hayapo na hayajawahi kudhihirika kwa Muhammad. Sasa kwa hali hiyo,wale wanaoomba “NABII HAMZA” anyamazishwe kutumia neno “Nabii” nao:
  • Wanaelewa kuwa hata Muhammad kuna dini iliyomtangulia inamuona kama hana vigezo vya kujiita Mtume au Nabii,achilia kuwa nabii wa mwisho?
  • Masuala ya utume na Ukuhani ni masuala ya Kimungu. Mungu ndiye ana Authority ya kumtangaza fulani ni HALALI na mwingine ni BATILI. Je,ni kwa nini mambo kama hayo anapelekewa Raisi Magufuli?
  • Wanao-appeal kwa Raisi Magufuli masuala ambayo hana uwezo nao wameambiwa na Mungu kwamba Magufuli kwa sasa anakaimu nafasi ya Mungu?
  • Je,wanao-appeal kwa Raisi Magufuli kwamba “Nabii HAMZA” azuiliwe kujiita Mtume, ikitokea Wayahudi na Wakristu walioutangulia Uislamu, nao wakaenda kwa Raisi Magufuli kulalamika ili waislamu wazuiwe kumuita Muhammad ni mtume na tena mtume wa Mwisho,watakubali au nao watasikilizwa?
  • Je,wale wanaotaka “NABII HAMZA” azuiliwe utume wake,ikitokea akazuiliwa kuitwa hivyo hapa Tanzania lakini akaendelea kuitwa hivyo sehemu sehemu zingine duniani,itakuwaje? Je,Wataenda kushitaki Umoja wa Mataifa?
BASI,kwa maswali na hoja zingine kutoka kwenu karibuni kwa mjadala.

mbona mabaa ya pombe yanajengwa kila sehemu husemi; unatoa hoja ndeefu haina maana mgalatia wewe


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
"Katika sheria ya uislamu hakuna Nabii wala mtume,baada ya Mtume Muhammad,tatizo sio yeye kujiita nabii,tatizo ni huo unabii wake kuuegemeza katika uislamu,wakati uislamu,umeshaweka sheria zake,za kuwa hakuna nabii ,baada ya Mtume Muhammad S A W."

Kikwajuni One Kama hakuna sharia hiyo na mtu amejiita hivyo ni mtume automatikali anakuwa sio Muislamu Wa aina yenu. Kama ndivyo ni kwa nini mnataka azuiwe kujiitikadi kama mtume? Ninyi inawauma nini au inawapunguzia nini? Mbona mumejawa wivu hivyo kama ule Wa "kike"? Je,dini zilizomtangulia zingemuwekea roho mbaya,unafikiria Muhammad angalifika wapi? Inakuwaje Muhammad yeye alipewa nafasi ya kuwatukana Mayahudi na Wakristu lakini sasa anageuka na kuwapeni maelekezo muwazuieni wenzenu?
Ila una kumbuka ya nabii Tito, Wakristo, walichukia kufanya yale anayoyafanya, kwa nukuu za Bibilia kitu kilichoonwa na Wakristo, ni upotoshaji, kwa kuwa aliyokua akiyafanya hayaendani na Bibilia ambayo yeye alikua akiyanukuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wataalamu wa mawazo na wanazuoni:

Inaelekea watu wengine sifa za msingi na Kuu za Mungu hawazijui. Inaelekea kana kwamba baadhi ya dini hazijachukua wala kutenga muda wa kutosha kusoma Falsafa kabla ya kuamua kusoma Teolojia. Ingalikuwa wahusika waliwekeza muda wa kutosha kusoma Falsafa ili kubainisha asili ya vitu vyote ikoje(uncreated Creator), basi watu wengine tusingaliweza kusikia mapendekezo ya ajabuajabu kadri ya mada hii.

Ni hivi, Mungu kwa asili yuko mahali pote(Omnipresent). Ninaposema kwamba yupo mahali pote, ina maana yupo ndani na nje ya Space. Mungu anapokuwa ndani na nje ya space maana yake anaona na anakuwa aware na kila jambo au hali inayotukia ndani ya space au nje ya space(Omniscience).Maana yake ni kwamba Mungu, haitaji kuambiwa na kiumbe chochote ili ndio aelewe kwamba jambo fulani linaendelea au lilitukia au litatukia.

Sifa nyingine ni kwamba Mungu anafahamu yote na kukumbuka yote yaliyotukia, toka alipofanya uumbaji wa vyote tunavyovifahamu na tusivyovifahamu. Anafahamu yote yanayotokea sasa ndani na nje ya space. Anafahamu kila jambo na kila hali itakayotokea kwa kila kiumbe kilicho hai na hata visivyo hai. Kwa ufupi, kwa Yeye Mungu kuwa Omnipresent na Omniscience ni kwamba yuko na Control ya kila jambo. Kwa lugha ya kisasa yuko TIMAMU.

Sifa nyingine kuu ya Mungu inayoendana na hizo mbili hapo juu,ni kwamba Mungu anao uwezo wa kwa kila jambo.Yeye yuko juu ya kila uweza. Mungu anaweza kila lisilowezekana au lililoshindikana kwa viumbe wengine. Kwa mantiki hiyo yeye ni UWEZA USIOWEZWA.

SASA katika hali ya kushangaza sana,kinyume na ukweli ambao nimeubainisha hapo juu, jana wamesikika watu wawili wakiweka mbele ya Raisi Magufuli, mambo ya ajabu sana. Mmoja ni wa dini ya Kiislamu, ambaye kwa nafasi yake ni mmoja wa Wakurugenzi wa BAKWATA, Makao Makuu. Na wa pili ni kutoka dini ya Kikristu,naye ni yule anayejiita “Askofu” Gwajima wa kikundi cha kidini cha “Ufufuo na Uzima”.

Watu hao wamesikika wakiwasilisha kwa Raisi Magufuli jana,katika kikao chake na Viongozi wa dini, mambo ambayo sio ya Kisera wala Kikatiba. Na wengine wamesikika wakiwasilisha mbele ya Raisi Magufuli ombi la yeye kushughulikia masuala ambayo ni ya Omnipresence, Omniscience na kadhalika. Kwa lugha nyingine walisahau kwamba Raisi Magufuli sio Mungu kwa sababu maombi waliyompatia mwenye uweza nayo ni Mungu pekee.

Ni hivi,Kiongozi mmoja wa Kiisalmu, kwa jina la Muhammed, kutokea BAKWATA,Makao Makuu, alitaka Raisi Magufuli aingilie kati na kumnyamazisha mhubiri mmoja wa Kiislamu anayejiita Nabii(Mtume) HAMZA. Kwa wale msiomfahamu huyu Nabii HAMZA, ni muislamu ambaye amekuwa akipingana na Fundisho la Kiislamu kudai Yesu Kristu hakufa msalabani bali Mungu alimuweka mtu mwingine pale msalabani na ndiye huyo aliyekufa na wala sio Yesu Kristu.

Kwa hiyo, pamoja na jamaa huyo kuhubiri mambo mengine positive juu ya Yesu, kinachowakera Waislamu hadi wafikie hatua ya kumchongea kwa Raisi Magufuli ni yeye kujiita “Mtume” au “Nabii”. Kwa uelewa wa kiislamu,wanaamini kwamba mtume wa mwisho ni Muhammad na wala siyo Yohana Mbatizaji kama Wakristu wanavyoamini,mtu ambaye hata Yesu alimwagia sifa za kutosha sana miongoni mwa Manabii.

Kiongozi mwingine ambaye alitoa wazo kwa Raisi lisilo la Kisera ni “Askofu Gwajima.” Yeye baada ya kusikia waislamu wanatoa ombi jingine lisilo la Kisera la kujenga Msikiti mwingine Uwanja wa Ndege wa Dar es salaam, naye akatoa ombi la kujenga Kanisa hapo hapo sawa na waislamu wanavyoomba.

Sasa kwa nini mjadala juu ya hoja hizi mbili: ya ujenzi wa makanisa na misikiti kila mahali na kuzuiwa watu wengine kujiita mitume?

Watu wengi sana wanaendelea kujadili mambo haya kilaini laini tu kama mambo ya kawaida sana. Na wengine wanaona kana kwamba Waisalamu wanaonewa kwa kuzuiliwa kujenga misikiti au Makanisa.Na akina Gwajima wanataka kututumbukiza katika fikra za kwamba kila waombalo waislamu nasi Wakristu au Vikundi vingine vya kiimani navyo vinapaswa kuomba sawia na waislamu. Sasa kwa nafasi ya leo, naomba tujadili hoja hizi mbili, nje ya Duara ya Mashaka.

1. Hoja ya misikiti na makanisa kwenye maeneo ya umma.

Ni hivi kwa uwezo wa Mungu ambao nimeubainisha hapo awali, Mungu ili atambue na kutuona kwamba tuko tunamuomba sio lazima tu tuwe kwenye chumba,compound au eneo fulani tu liitwalo Msikiti au Kanisa.

Mungu yuko popote pale.Yuko ndani na nje ya space.Yuko mioyoni mwetu. Kabla hatujamuomba yeye alishafahamu tulikusudia kumuomba nini kila mmoja wetu,na tena, kabla hata ya kuumbwa kwetu. Kwa hiyo,haitaji Mungu atuone ndani ya Misikiti au Kanisa ndio aweze kubaini sala na dua zetu kwake. Mungu wetu ni Mungu mwenye wingi wa MANTIKI, UFAHAMU NA AKILI.

Mungu wetu ni mwingi wa ufahamu;anafahamu ni wakati gani na mahali gani afanye mambo kwa ajili ya ustawi wetu. Kinyume chake hatuwezi kuwa na Mungu ambaye hawezi kututaka tujenge Misikiti na Makanisa kila mahali:kwenye vituo vya Mwendokasi,Sokoni, Baharini kwa wavuvi, Barabarani na katika njia za waenda kwa Miguu.Fikra za namna hii zimenipeleka kujiuliza yafuatayo:

  • Ni kwa nini watu kama viongozi wa dini, wanaochukuliwa kuwa na maono ya Kimungu washindwe kuelewa kwamba Raisi anahusika na mambo ya Kisera na Kikatiba, sio masuala kama haya ya kulilia kuzuiwa kujenga MIsikiti au Makanisa?
  • Hivi kama kuna mtu anaona amenyimwa haki ya Kikatiba kwa nini asitimkie Mahakamani kuomba haki hiyo?
  • Je,Viongozi wa dini kushindwa kuwa na uelewa wa kutosha juu kuwa wapi pasemwe lipi na wapi kusemwa lipi, sio kigezo cha kuthibitisha kwamba Mungu hajawapa maono yoyote bali wamejipachika tu hayo maono yao?

2. Hoja ya kuzuiwa watu wengine kujiita mitume

Kikatiba ni kwamba kwa nchi yetu suala la kuabudu ni suala la uchaguzi. Kila mtu yuko huru kuchagua amuabudu nani na aamini nini? Mwenye jukumu la kwenda kuamua nani alikuwa sahihi ni Mungu mwenyewe. Hapa duniani sio Polisi,Jeshi na wala IKULU yenye jukumu la kuchagulia watu wajiiteje kiimani na wala wafundishe nini.

Wakati baadhi ya waislamu wanalalamika juu ya “Nabii HAMZA” wanasahau kwamba hata Muhammad naye utume wake aliutwaa katika mazingira kama hayo ya Nabii HAMZA. Historia iko wazi kwamba hakuna Nabii ambaye hakuwahi kuwa endorsed na Mungu. Kila Nabii katika Historia ya Ulimwengu, alipotumwa na Mungu ilikuwa lazima Mungu amthibitishe kupitia kwa Mitume wengine wanaokuwa wamemtangulia au Mungu vile vile alifanya hivyo kwa miujiza kabisa.Maana yake kwamba Mungu alimjalia mtu huyo uwezo wa kufanya miujiza.

Mazingira kama haya hayapo na hayajawahi kudhihirika kwa Muhammad. Sasa kwa hali hiyo,wale wanaoomba “NABII HAMZA” anyamazishwe kutumia neno “Nabii” nao:
  • Wanaelewa kuwa hata Muhammad kuna dini iliyomtangulia inamuona kama hana vigezo vya kujiita Mtume au Nabii,achilia kuwa nabii wa mwisho?
  • Masuala ya utume na Ukuhani ni masuala ya Kimungu. Mungu ndiye ana Authority ya kumtangaza fulani ni HALALI na mwingine ni BATILI. Je,ni kwa nini mambo kama hayo anapelekewa Raisi Magufuli?
  • Wanao-appeal kwa Raisi Magufuli masuala ambayo hana uwezo nao wameambiwa na Mungu kwamba Magufuli kwa sasa anakaimu nafasi ya Mungu?
  • Je,wanao-appeal kwa Raisi Magufuli kwamba “Nabii HAMZA” azuiliwe kujiita Mtume, ikitokea Wayahudi na Wakristu walioutangulia Uislamu, nao wakaenda kwa Raisi Magufuli kulalamika ili waislamu wazuiwe kumuita Muhammad ni mtume na tena mtume wa Mwisho,watakubali au nao watasikilizwa?
  • Je,wale wanaotaka “NABII HAMZA” azuiliwe utume wake,ikitokea akazuiliwa kuitwa hivyo hapa Tanzania lakini akaendelea kuitwa hivyo sehemu sehemu zingine duniani,itakuwaje? Je,Wataenda kushitaki Umoja wa Mataifa?
BASI,kwa maswali na hoja zingine kutoka kwenu karibuni kwa mjadala.
Umenena vema sana mkuu!
Viongozi wengine wa dini hawajitambui kabisa.
Kuhusu mtume Muhamad, huyu utume wake hakutumwa na Mungu bali Mungu alikuwa ni shahidi wakati Muhamad anatumwa [soma Q'uran 4:79]. Alitumwa na nani? Sijui!
 
Binafsi naomba kumtetea gwajima kwa namna nilivyomuelewa alipotoa ombi lake...

kwanza kabisa kwa uelewa wangu ni kuwa kuna dhana ambayo waumini wa dini ya kiislamu wanayo kuwa dini yao ndio dini pekee ya haki, hivyo ni watu wenye ajenda za kuhitaji kuangaliwa kipekee na pengine tamaduni zao tu ndio watanzania wote tuziishi, utakumbuka waliwahi kuhitaji mahakama za kadhi zitambulike kikatiba, na wengine hata hutamani nchi iongozwe na sharia..utakumbuka hoja za kuchinja... sasa wanakwenda kwenye misikiti..

ubaya wa mambo haya ukiyaangalaia kwa miktadha wa kitaifa hayana tija bali kutugawa na kuleta mitafaruku tu, kwani kwa hoja za msingi kabisa wakikataliwa mahitaji yao haya huishia kulaumu na kusema wanaonewa...

kwa nini namtetea gwajima?

tena na maaskofu wengine wa kikristo walipaswa kufanya kama alivyofanya ili kuwaonyesha waislamu kuwa watanzania wote wana haki hivyo waislamu wasipende kutendewa kwa upekee peke yao.

kama ulimsikiliza vizuri gwajima alijaribu kusema kuwa kutokana na ombi hilo na wakristo pia wakiomba maana yake pale airport patakuwa ni fujo za ibada tu... na maana yake ni kwamba mzee baba bora apuuze tu hilo ombi

kimsingi alitumia njia ya kidplomasia ku counter hilo jambo maana duh...haya mambo haya ni chenga chenga tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi naomba kumtetea gwajima kwa namna nilivyomuelewa alipotoa ombi lake...

kwanza kabisa kwa uelewa wangu ni kuwa kuna dhana ambayo waumini wa dini ya kiislamu wanayo kuwa dini yao ndio dini pekee ya haki, hivyo ni watu wenye ajenda za kuhitaji kuangaliwa kipekee na pengine tamaduni zao tu ndio watanzania wote tuziishi, utakumbuka waliwahi kuhitaji mahakama za kadhi zitambulike kikatiba, na wengine hata hutamani nchi iongozwe na sharia..utakumbuka hoja za kuchinja... sasa wanakwenda kwenye misikiti..

ubaya wa mambo haya ukiyaangalaia kwa miktadha wa kitaifa hayana tija bali kutugawa na kuleta mitafaruku tu, kwani kwa hoja za msingi kabisa wakikataliwa mahitaji yao haya huishia kulaumu na kusema wanaonewa...

kwa nini namtetea gwajima?

tena na maaskofu wengine wa kikristo walipaswa kufanya kama alivyofanya ili kuwaonyesha waislamu kuwa watanzania wote wana haki hivyo waislamu wasipende kutendewa kwa upekee peke yao.

kama ulimsikiliza vizuri gwajima alijaribu kusema kuwa kutokana na ombi hilo na wakristo pia wakiomba maana yake pale airport patakuwa ni fujo za ibada tu... na maana yake ni kwamba mzee baba bora apuuze tu hilo ombi

kimsingi alitumia njia ya kidplomasia ku counter hilo jambo maana duh...haya mambo haya ni chenga chenga tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nimemuelewa hivyo wala hakuna mkristo anaetaka uwanja wa ndege pawe na kanisa, ila hapo kaonesha kuwa wote tuna haki hivyo maana yake hata mabudha na dini nyingine zote nao wataomba, sasa Rais aangalie kama anao uwezo wa kuruhusu jambo hilo au la.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Hoja ya misikiti na makanisa kwenye maeneo ya umma.

Ni hivi kwa uwezo wa Mungu ambao nimeubainisha hapo awali, Mungu ili atambue na kutuona kwamba tuko tunamuomba sio lazima tu tuwe kwenye chumba,compound au eneo fulani tu liitwalo Msikiti au Kanisa.

Mungu yuko popote pale.Yuko ndani na nje ya space.Yuko mioyoni mwetu. Kabla hatujamuomba yeye alishafahamu tulikusudia kumuomba nini kila mmoja wetu,na tena, kabla hata ya kuumbwa kwetu. Kwa hiyo,haitaji Mungu atuone ndani ya Misikiti au Kanisa ndio aweze kubaini sala na dua zetu kwake. Mungu wetu ni Mungu mwenye wingi wa MANTIKI, UFAHAMU NA AKILI.

Mungu wetu ni mwingi wa ufahamu;anafahamu ni wakati gani na mahali gani afanye mambo kwa ajili ya ustawi wetu. Kinyume chake hatuwezi kuwa na Mungu ambaye hawezi kututaka tujenge Misikiti na Makanisa kila mahali:kwenye vituo vya Mwendokasi,Sokoni, Baharini kwa wavuvi, Barabarani na katika njia za waenda kwa Miguu.Fikra za namna hii zimenipeleka kujiuliza yafuatayo:

  • Ni kwa nini watu kama viongozi wa dini, wanaochukuliwa kuwa na maono ya Kimungu washindwe kuelewa kwamba Raisi anahusika na mambo ya Kisera na Kikatiba, sio masuala kama haya ya kulilia kuzuiwa kujenga MIsikiti au Makanisa?
  • Hivi kama kuna mtu anaona amenyimwa haki ya Kikatiba kwa nini asitimkie Mahakamani kuomba haki hiyo?
  • Je,Viongozi wa dini kushindwa kuwa na uelewa wa kutosha juu kuwa wapi pasemwe lipi na wapi kusemwa lipi, sio kigezo cha kuthibitisha kwamba Mungu hajawapa maono yoyote bali wamejipachika tu hayo maono yao?

Serikali ikicheka cheka ofisi zote za uma zitajengwa misikiti na nyumba nyinginezo za ibada
 
Ni kwani sababu tumegeuza Falsafa ya dini kuwa mashindano au Mbio za Marathoni. Wengine wanafikiria Makanisa mengine yamekuwa kutokana na kubebwa.

Exactly Mkuu dini sasa imekua ni mashindano tupu

Na hata hao wanaotaka wapewe nafasi (vyumba au viwanja kabisa) vya kufanyia shughuli zao za kiimani, ukiwatafakari kwa makini utagundua msukumo wa madai hayo ni mashindano tu-hakuna kuabudi kwa dhati

Ndugu zetu hao huamini kwamba kujenga nyumba yao ya ibada/au kutengewa sehemu ya kuswali kwenye maeneo ya uma ni sifa na ukubwa 'ukuu'

Wanaamini uwepo wa nyumba hizo utadhihirisha ukuu wa dini yako katika nchii au dhidi ya serikali (rejea madai yao dhidi ya the so called mfumo kristo)

Full stop! again.
 
Ndugu zetu hao huamini kwamba kujenga nyumba yao ya ibada/au kutengewa sehemu ya kuswali kwenye maeneo ya uma ni sifa na ukubwa 'ukuu'

Wanaamini uwepo wa nyumba hizo utadhihirisha ukuu wa dini yake katika nchii au dhidi ya serikali (rejea madai yao dhidi ya the so called mfumo kristo)

Muda wote wanatafuta kuonekana dini yao inaenea kila sehemu. Kwao cha umuhimu ni wingi na sio ubora.
 
Wataalamu wa mawazo na wanazuoni:

Inaelekea watu wengine sifa za msingi na Kuu za Mungu hawazijui. Inaelekea kana kwamba baadhi ya dini hazijachukua wala kutenga muda wa kutosha kusoma Falsafa kabla ya kuamua kusoma Teolojia. Ingalikuwa wahusika waliwekeza muda wa kutosha kusoma Falsafa ili kubainisha asili ya vitu vyote ikoje(uncreated Creator), basi watu wengine tusingaliweza kusikia mapendekezo ya ajabuajabu kadri ya mada hii.

Ni hivi, Mungu kwa asili yuko mahali pote(Omnipresent). Ninaposema kwamba yupo mahali pote, ina maana yupo ndani na nje ya Space. Mungu anapokuwa ndani na nje ya space maana yake anaona na anakuwa aware na kila jambo au hali inayotukia ndani ya space au nje ya space(Omniscience).Maana yake ni kwamba Mungu, haitaji kuambiwa na kiumbe chochote ili ndio aelewe kwamba jambo fulani linaendelea au lilitukia au litatukia.

Sifa nyingine ni kwamba Mungu anafahamu yote na kukumbuka yote yaliyotukia, toka alipofanya uumbaji wa vyote tunavyovifahamu na tusivyovifahamu. Anafahamu yote yanayotokea sasa ndani na nje ya space. Anafahamu kila jambo na kila hali itakayotokea kwa kila kiumbe kilicho hai na hata visivyo hai. Kwa ufupi, kwa Yeye Mungu kuwa Omnipresent na Omniscience ni kwamba yuko na Control ya kila jambo. Kwa lugha ya kisasa yuko TIMAMU.

Sifa nyingine kuu ya Mungu inayoendana na hizo mbili hapo juu,ni kwamba Mungu anao uwezo wa kwa kila jambo.Yeye yuko juu ya kila uweza. Mungu anaweza kila lisilowezekana au lililoshindikana kwa viumbe wengine. Kwa mantiki hiyo yeye ni UWEZA USIOWEZWA.

SASA katika hali ya kushangaza sana,kinyume na ukweli ambao nimeubainisha hapo juu, jana wamesikika watu wawili wakiweka mbele ya Raisi Magufuli, mambo ya ajabu sana. Mmoja ni wa dini ya Kiislamu, ambaye kwa nafasi yake ni mmoja wa Wakurugenzi wa BAKWATA, Makao Makuu. Na wa pili ni kutoka dini ya Kikristu,naye ni yule anayejiita “Askofu” Gwajima wa kikundi cha kidini cha “Ufufuo na Uzima”.

Watu hao wamesikika wakiwasilisha kwa Raisi Magufuli jana,katika kikao chake na Viongozi wa dini, mambo ambayo sio ya Kisera wala Kikatiba. Na wengine wamesikika wakiwasilisha mbele ya Raisi Magufuli ombi la yeye kushughulikia masuala ambayo ni ya Omnipresence, Omniscience na kadhalika. Kwa lugha nyingine walisahau kwamba Raisi Magufuli sio Mungu kwa sababu maombi waliyompatia mwenye uweza nayo ni Mungu pekee.

Ni hivi,Kiongozi mmoja wa Kiisalmu, kwa jina la Muhammed, kutokea BAKWATA,Makao Makuu, alitaka Raisi Magufuli aingilie kati na kumnyamazisha mhubiri mmoja wa Kiislamu anayejiita Nabii(Mtume) HAMZA. Kwa wale msiomfahamu huyu Nabii HAMZA, ni muislamu ambaye amekuwa akipingana na Fundisho la Kiislamu kudai Yesu Kristu hakufa msalabani bali Mungu alimuweka mtu mwingine pale msalabani na ndiye huyo aliyekufa na wala sio Yesu Kristu.

Kwa hiyo, pamoja na jamaa huyo kuhubiri mambo mengine positive juu ya Yesu, kinachowakera Waislamu hadi wafikie hatua ya kumchongea kwa Raisi Magufuli ni yeye kujiita “Mtume” au “Nabii”. Kwa uelewa wa kiislamu,wanaamini kwamba mtume wa mwisho ni Muhammad na wala siyo Yohana Mbatizaji kama Wakristu wanavyoamini,mtu ambaye hata Yesu alimwagia sifa za kutosha sana miongoni mwa Manabii.

Kiongozi mwingine ambaye alitoa wazo kwa Raisi lisilo la Kisera ni “Askofu Gwajima.” Yeye baada ya kusikia waislamu wanatoa ombi jingine lisilo la Kisera la kujenga Msikiti mwingine Uwanja wa Ndege wa Dar es salaam, naye akatoa ombi la kujenga Kanisa hapo hapo sawa na waislamu wanavyoomba.

Sasa kwa nini mjadala juu ya hoja hizi mbili: ya ujenzi wa makanisa na misikiti kila mahali na kuzuiwa watu wengine kujiita mitume?

Watu wengi sana wanaendelea kujadili mambo haya kilaini laini tu kama mambo ya kawaida sana. Na wengine wanaona kana kwamba Waisalamu wanaonewa kwa kuzuiliwa kujenga misikiti au Makanisa.Na akina Gwajima wanataka kututumbukiza katika fikra za kwamba kila waombalo waislamu nasi Wakristu au Vikundi vingine vya kiimani navyo vinapaswa kuomba sawia na waislamu. Sasa kwa nafasi ya leo, naomba tujadili hoja hizi mbili, nje ya Duara ya Mashaka.

1. Hoja ya misikiti na makanisa kwenye maeneo ya umma.

Ni hivi kwa uwezo wa Mungu ambao nimeubainisha hapo awali, Mungu ili atambue na kutuona kwamba tuko tunamuomba sio lazima tu tuwe kwenye chumba,compound au eneo fulani tu liitwalo Msikiti au Kanisa.

Mungu yuko popote pale.Yuko ndani na nje ya space.Yuko mioyoni mwetu. Kabla hatujamuomba yeye alishafahamu tulikusudia kumuomba nini kila mmoja wetu,na tena, kabla hata ya kuumbwa kwetu. Kwa hiyo,haitaji Mungu atuone ndani ya Misikiti au Kanisa ndio aweze kubaini sala na dua zetu kwake. Mungu wetu ni Mungu mwenye wingi wa MANTIKI, UFAHAMU NA AKILI.

Mungu wetu ni mwingi wa ufahamu;anafahamu ni wakati gani na mahali gani afanye mambo kwa ajili ya ustawi wetu. Kinyume chake hatuwezi kuwa na Mungu ambaye hawezi kututaka tujenge Misikiti na Makanisa kila mahali:kwenye vituo vya Mwendokasi,Sokoni, Baharini kwa wavuvi, Barabarani na katika njia za waenda kwa Miguu.Fikra za namna hii zimenipeleka kujiuliza yafuatayo:

  • Ni kwa nini watu kama viongozi wa dini, wanaochukuliwa kuwa na maono ya Kimungu washindwe kuelewa kwamba Raisi anahusika na mambo ya Kisera na Kikatiba, sio masuala kama haya ya kulilia kuzuiwa kujenga MIsikiti au Makanisa?
  • Hivi kama kuna mtu anaona amenyimwa haki ya Kikatiba kwa nini asitimkie Mahakamani kuomba haki hiyo?
  • Je,Viongozi wa dini kushindwa kuwa na uelewa wa kutosha juu kuwa wapi pasemwe lipi na wapi kusemwa lipi, sio kigezo cha kuthibitisha kwamba Mungu hajawapa maono yoyote bali wamejipachika tu hayo maono yao?

2. Hoja ya kuzuiwa watu wengine kujiita mitume

Kikatiba ni kwamba kwa nchi yetu suala la kuabudu ni suala la uchaguzi. Kila mtu yuko huru kuchagua amuabudu nani na aamini nini? Mwenye jukumu la kwenda kuamua nani alikuwa sahihi ni Mungu mwenyewe. Hapa duniani sio Polisi,Jeshi na wala IKULU yenye jukumu la kuchagulia watu wajiiteje kiimani na wala wafundishe nini.

Wakati baadhi ya waislamu wanalalamika juu ya “Nabii HAMZA” wanasahau kwamba hata Muhammad naye utume wake aliutwaa katika mazingira kama hayo ya Nabii HAMZA. Historia iko wazi kwamba hakuna Nabii ambaye hakuwahi kuwa endorsed na Mungu. Kila Nabii katika Historia ya Ulimwengu, alipotumwa na Mungu ilikuwa lazima Mungu amthibitishe kupitia kwa Mitume wengine wanaokuwa wamemtangulia au Mungu vile vile alifanya hivyo kwa miujiza kabisa.Maana yake kwamba Mungu alimjalia mtu huyo uwezo wa kufanya miujiza.

Mazingira kama haya hayapo na hayajawahi kudhihirika kwa Muhammad. Sasa kwa hali hiyo,wale wanaoomba “NABII HAMZA” anyamazishwe kutumia neno “Nabii” nao:
  • Wanaelewa kuwa hata Muhammad kuna dini iliyomtangulia inamuona kama hana vigezo vya kujiita Mtume au Nabii,achilia kuwa nabii wa mwisho?
  • Masuala ya utume na Ukuhani ni masuala ya Kimungu. Mungu ndiye ana Authority ya kumtangaza fulani ni HALALI na mwingine ni BATILI. Je,ni kwa nini mambo kama hayo anapelekewa Raisi Magufuli?
  • Wanao-appeal kwa Raisi Magufuli masuala ambayo hana uwezo nao wameambiwa na Mungu kwamba Magufuli kwa sasa anakaimu nafasi ya Mungu?
  • Je,wanao-appeal kwa Raisi Magufuli kwamba “Nabii HAMZA” azuiliwe kujiita Mtume, ikitokea Wayahudi na Wakristu walioutangulia Uislamu, nao wakaenda kwa Raisi Magufuli kulalamika ili waislamu wazuiwe kumuita Muhammad ni mtume na tena mtume wa Mwisho,watakubali au nao watasikilizwa?
  • Je,wale wanaotaka “NABII HAMZA” azuiliwe utume wake,ikitokea akazuiliwa kuitwa hivyo hapa Tanzania lakini akaendelea kuitwa hivyo sehemu sehemu zingine duniani,itakuwaje? Je,Wataenda kushitaki Umoja wa Mataifa?
BASI,kwa maswali na hoja zingine kutoka kwenu karibuni kwa mjadala.
Nakuunga mkono hoja yako Mr .@SANCTUS ANACLETUS

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gwajima hajaomba yajengwe makanisa,...alichosema ni kuwa na Wakristo nao wanaabudu sio J2 tu,akijibu hoja kwamba kama patajengwa msikiti basi na Wakristo nao watahitaji kufikiliwa na ndio maana alitumia kauli"KUWEKA RECORD SAWA".....maana yake kama hawa watahitaji msikiti na hawa watahitaji kanisa.....kuna watu hawajafurahi kuona viongozi wa DINI hajasema vile wanavyotaka wao,..ni jambo la ajabu sana na huo sio uhuru wa mawazo,sio kwamba unachowaza wewe na mwingine anawaza hivyo,tuishi kwa kuheshimu wazo la mwingine hata kama wewe hupendi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom