jiwe la ma

  1. SANCTUS ANACLETUS

    Ndugai na Musukuma: Mungu yupo popote mlipo; hata mkiwa Mbinguni; hamtatumikiwa, mtalazimika kutumikia wala hamtakuwa na Jeuri ya miongozo ya kanuni

    Wataaalamu wa Kufikiri,tujadiliane hivi: Si lazima Mungu awatokeeni Spika Ndugai na Mbunge Msukuma katika maisha yao physically kama ilivyotokea kwa mama Bikra Maria au Zakaria (mzazi wa Yohana Mbatizaji), ili kuwapasha wote hao wawili ujumbe mahususi. Nasema si lazima Mungu afanye hivyo kwa...
  2. SANCTUS ANACLETUS

    Raisi Magufuli likatae pendekezo la kuwashughulikia mitume na lile la kujenga makanisa mpaka kwenye vituo vya usafiri wa Mwendokasi.

    Wataalamu wa mawazo na wanazuoni: Inaelekea watu wengine sifa za msingi na Kuu za Mungu hawazijui. Inaelekea kana kwamba baadhi ya dini hazijachukua wala kutenga muda wa kutosha kusoma Falsafa kabla ya kuamua kusoma Teolojia. Ingalikuwa wahusika waliwekeza muda wa kutosha kusoma Falsafa ili...
Back
Top Bottom