Rais wetu yupo angani kila siku

Rais wetu yupo angani kila siku

Ndg J.K. hawezi badilika tuongelee mwingine atakayekuja sio huyu anayeondoka.

yaanihuyu mzeee mi nasikia hata kutapika nikisoma mambo yake...kaenda kufungua nini tabora? kule canada eti kaenda kwenye mkutano wa uzazi wa mpango huyu anajua uzazi wa mpango kweli huyu? mtu ana watoto 60 ..mxxxiii
 
Kwanini huyu rais hatulii ofsini yeye muda wote anawaza kupaa angani tu. Juzi katoka Marekani kumtafutia Diamond promota jana kapaa kwenda Tabora kuzindua mradi wa tiba ya saratani ina maana kazi kama hii angefanya hata katibu mkuu wa wizara lakini inafanywa na rais wa nchi hivi ni lini atakaa ofsini atulie na atafakari jinsi ya kushughulikia matatizo ya nchi, kutwa kucha yupo angani hata akirudi nchi hataki kutulia ofsini hivi ni muda gani ambao wasaidizi wake humpa ripoti na kuweza kushughulikia matatizo hayo au nchi umemkabidhi nani?Watanzania tumeula wa chuya kwa uvivu wa kuchaguasiamini akili za watanzania eti wakamuacha Prf Lipumba na Dr slaa wakamchagua Kikwete.


haelewi ma document anayoletewa mezani kwake sasa akae ofisini kufanya nini bora awe anazurura tu....kuliko kujitafutia kuumwa kichwa kusoma mavitumagumu ya kiingereza
 
Nitamshangaa sana j.k kama akimaliza uongozi wake alafu ashindwe kuendesha ndege atakuwa na kichwa kigumu kuliko binadamu yeyote duniani
 
Kwanini huyu rais hatulii ofsini yeye muda wote anawaza kupaa angani tu. Juzi katoka Marekani kumtafutia Diamond promota jana kapaa kwenda Tabora kuzindua mradi wa tiba ya saratani ina maana kazi kama hii angefanya hata katibu mkuu wa wizara lakini inafanywa na rais wa nchi hivi ni lini atakaa ofsini atulie na atafakari jinsi ya kushughulikia matatizo ya nchi, kutwa kucha yupo angani hata akirudi nchi hataki kutulia ofsini hivi ni muda gani ambao wasaidizi wake humpa ripoti na kuweza kushughulikia matatizo hayo au nchi umemkabidhi nani?Watanzania tumeula wa chuya kwa uvivu wa kuchaguasiamini akili za watanzania eti wakamuacha Prf Lipumba na Dr slaa wakamchagua Kikwete.
Amesema wezi wa chama cha ushirika wa tumbaku Tabora wakamatwe wapelekwe mahakamani. Polisi wameamriwa wawakamate hao wezi na rais wa jamhuri. Nadhani kwa kua rais amesema labda watakamatwa japo wana fedha za kuhonga. Ingekua vizuri kama rais angetoa amri nyingine kwa mahakama iwafunge jela hao wezi maana hata kama polisi watatii amri ya kuwashika ni wazi mahakani itawaachia kwani wana hela za kuhonga.
 
watanzania tungekua na busara kwa kupenda maendeleo kama yanayofanyika hivi sasa tusingeropoka na tungemuomba JK aongeze kama miaka 10 hivi watanzania wasema hovyo mpoooo

Miaka 10 mingine?We jamaa mbona hauna huruma hivyo?Au haupo Tanzania wewe?
 
Jeykey a.k.a vasco da gama anapenda sana kubembea majuu.. hivi yule promota anaendeleaje.. ameshaanza kumpa diamond kolabo za nguvu na akina jay-z..
 
ww Vp acha upumbavu kwahiyo ww unatakeje





Acha kumsumbua rais Yaani unataka akae bongo Kufanya nn as






Mweeeeee hutumii akilii ee









Nyooooooo
 
haijalishi. kwangu mimi Kikwete ndo rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania. kwani nyie mnampima urais wake kwa kuangalia amesafiri mara ngapi au kwa kuangalia amefanya nini? Poor analysis.



Ni kweli abnuasi!
 
watanzania tungekua na busara kwa kupenda maendeleo kama yanayofanyika hivi sasa tusingeropoka na tungemuomba JK aongeze kama miaka 10 hivi watanzania wasema hovyo mpoooo

Mkapa wakati anaondoka...kila mtu alitamani aendelee kwa sababu hakuwa mtu wa maneno..maendeleo yalikua yanaonekana...sio huyu mnalazimishia kwa kuongeaa
 
Mkapa wakati anaondoka...kila mtu alitamani aendelee kwa sababu hakuwa mtu wa maneno..maendeleo yalikua yanaonekana...sio huyu mnalazimishia kwa kuongeaa
Angalia wengi wanaomtetea ni wale wavaa suruali fupi na misuli!!!!
 
watanzania tungekua na busara kwa kupenda maendeleo kama yanayofanyika hivi sasa tusingeropoka na tungemuomba JK aongeze kama miaka 10 hivi watanzania wasema hovyo mpoooo
umechoka kufikiri. Au nawe ni wale wabunge wa Dar walioambiwa kuwa wanafikiri kwa ku2mia makalio?
 
Back
Top Bottom