Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,768
- 49,940
Watanzania tumepata heshima kubwa DUNIANI kwa kuwa na Rais wa Kwanza mzururaji Duniani. Wajukuu zetu watakuja kutuuliza siku moja kama tulikosa kabisa mtu ambaye angeyeweza kuongoza nchi kwa ufanisi mpaka tukaamua kumtafuta mtalii wa ulimwengu, sijui tutajibu nini!
'Ikatokea siku moja mkawa na kiongozi, akawaambia huko nje kuna pesa nyingi sana kuliko hapa nyumbani, mwambieni mp.umba.vu wewe', (JK Nyerere).
'Huko nje kuna nchi zina pesa nyingi sana, unachotakiwa ni kujenga hoja wakakuelewa, watakupa', (Jakaya Kikwete).
'Ikatokea siku moja mkawa na kiongozi, akawaambia huko nje kuna pesa nyingi sana kuliko hapa nyumbani, mwambieni mp.umba.vu wewe', (JK Nyerere).
'Huko nje kuna nchi zina pesa nyingi sana, unachotakiwa ni kujenga hoja wakakuelewa, watakupa', (Jakaya Kikwete).
watanzania tungekua na busara kwa kupenda maendeleo kama yanayofanyika hivi sasa tusingeropoka na tungemuomba JK aongeze kama miaka 10 hivi watanzania wasema hovyo mpoooo