Rais wetu yupo angani kila siku

Rais wetu yupo angani kila siku

haijalishi. kwangu mimi Kikwete ndo rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania. kwani nyie mnampima urais wake kwa kuangalia amesafiri mara ngapi au kwa kuangalia amefanya nini? Poor analysis.
 
Huyo ndo Abunuas, hata mee naona amedhibit rushwa tena kubwa,umaskini kwishney,amekuza viwanda,ameondoa fake goods bongo,ameimarisha afya,elimu imeongezeka ubora,amenunua ndege za kutosha za ATCL,ameomba mascrepa ya tren uingereza,anapambana na ujangili,anawajua wauza unga na aliwataja na walikamatwa
haijalishi. kwangu mimi Kikwete ndo rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania. kwani nyie mnampima urais wake kwa kuangalia amesafiri mara ngapi au kwa kuangalia amefanya nini? Poor analysis.
 
Last edited by a moderator:
huyo kazeeka bhana. mbone tupo wengi tu. kwa nini kung'ang'ania wazee? waacheni wabaki washauri tu hao.

Mtu mwenye uwezo wa kuiongoza Tanzania kipindi kijacho ni Dr Salimu A.Salim pekee, wengine bwembwe tu
 
weka comparative analysis na sio huu upuuzi uliweka hapa.

Huyo ndo Abunuas, hata mee naona amedhibit rushwa tena kubwa,umaskini kwishney,amekuza viwanda,ameondoa fake goods bongo,ameimarisha afya,elimu imeongezeka ubora,amenunua ndege za kutosha za ATCL,ameomba mascrepa ya tren uingereza,anapambana na ujangili,anawajua wauza unga na aliwataja na walikamatwa
 
akisafiri anakwenda kuhemea akirudi anakuja na msosi waTz tunakula....hongera mh.kikwete rais pendwa na mzalendo ulieleta uhuru wa WAROPOKWAJI kukutukana
 
Sijui kwanini ile ndege ya Malaysia iliyipotea haikuwa ya huyu M.k.w.e.r.e wa Msoga,Mungu bana!!
 
ndugu yangu naona wewe unamatatizo sisi tunaehangaika na maisha ya kuzunguka nchi nzima tunaona maendeleo ya barabara tofauti na miaka 15 iliopita

Kabla ya kuhangaika na hizo kilomita za Barabara mbovu, Jihangaishe kwanza deni la Taifa aliachiwa kiasi gani na sasa limefika kiasi gani.!!
 
Half knowledge can be determined by personal conversation. bily from Jf.

Yule mzee (Dr. Slaa) akiwa Rais si ndiyo ataigeuza Ikulu kuwa danguro la madada poa! Mwache JK awatumikie watanzania, au ulitaka huko Tabora aende kwa train? Acha wivu wa kijinga we mtoto wa kiume.
 
Last edited by a moderator:
Au pale magogoni wanafanya fumigation kila mara sasa harufu inamkera na ukichanganya na harufu ya feri basi taabu bora aende duniani kuvuta hewa.
 
Kikwete kasomea utali waangan na ndo maana akapata udakitari wa siku nne alio hongwa malekani.
 
Back
Top Bottom