TANZIA Rais wa zamani wa Nigeria, Muhammadu Buhari, afariki dunia

TANZIA Rais wa zamani wa Nigeria, Muhammadu Buhari, afariki dunia

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
780
Reaction score
1,831
Rais wa Nigeria Bola Tinubu ametangaza kifo cha Rais wa zamani Muhammadu Buhari, ambaye amefariki Jumapili mjini London baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Licha ya tangazo hilo familia ya Mohamed nayo imethibitisha kifo hicho cha Raisi huyo
Baada ya taarifa hiyo Makamu wa Rais Kassim Shettima ameelekezwa kusafiri hadi Uingereza kwa ajili ya kuunda kwa ajili ya Hatua za mazishi huko Nigeria

Buhari, ambaye amewahi kuwa rais wa kiraia wa Nigeria kutoka 2015 hadi 2023 na hapo awali kama mtawala wa kijeshi kutoka 1983 hadi 1985,

Anatambuliwa sana kwa msimamo wake mkali wa kupinga ufisadi na juhudi zake za kurekebisha uchumi wa taifa wakati wa uongozi wake.

Katika hatua nyingine Anajulikana pia kwa sera zake zenye utata lakini zenye athari juu ya usalama wa taifa, mseto wa kiuchumi, na mapambano dhidi ya uasi, ambayo ilifafanua sehemu kubwa ya utawala wake.
 
Rais wa Nigeria Bola Tinubu ametangaza kifo cha Rais wa zamani Muhammadu Buhari, ambaye amefariki Jumapili mjini London baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Licha ya tangazo hilo familia ya Mohamed nayo imethibitisha kifo hicho cha Raisi huyo
Baada ya taarifa hiyo Makamu wa Rais Kassim Shettima ameelekezwa kusafiri hadi Uingereza kwa ajili ya kuunda kwa ajili ya Hatua za mazishi huko Nigeria

Buhari, ambaye amewahi kuwa rais wa kiraia wa Nigeria kutoka 2015 hadi 2023 na hapo awali kama mtawala wa kijeshi kutoka 1983 hadi 1985,

Anatambuliwa sana kwa msimamo wake mkali wa kupinga ufisadi na juhudi zake za kurekebisha uchumi wa taifa wakati wa uongozi wake.

Katika hatua nyingine Anajulikana pia kwa sera zake zenye utata lakini zenye athari juu ya usalama wa taifa, mseto wa kiuchumi, na mapambano dhidi ya uasi, ambayo ilifafanua sehemu kubwa ya utawala wake.
Inasikitsha sana ,Dunia Mapito ,urais ,vyeo vinapita ,sisiemu wana la kujifunza hapa.
 
Amekula Mema ya Dunia, Wacha atangulie.
 
Mwamba alitisha sana enzi zake za utawala wa kijeshi.

RIP.
 
T
Rais wa Nigeria Bola Tinubu ametangaza kifo cha Rais wa zamani Muhammadu Buhari, ambaye amefariki Jumapili mjini London baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Licha ya tangazo hilo familia ya Mohamed nayo imethibitisha kifo hicho cha Raisi huyo
Baada ya taarifa hiyo Makamu wa Rais Kassim Shettima ameelekezwa kusafiri hadi Uingereza kwa ajili ya kuunda kwa ajili ya Hatua za mazishi huko Nigeria

Buhari, ambaye amewahi kuwa rais wa kiraia wa Nigeria kutoka 2015 hadi 2023 na hapo awali kama mtawala wa kijeshi kutoka 1983 hadi 1985,

Anatambuliwa sana kwa msimamo wake mkali wa kupinga ufisadi na juhudi zake za kurekebisha uchumi wa taifa wakati wa uongozi wake.

Katika hatua nyingine Anajulikana pia kwa sera zake zenye utata lakini zenye athari juu ya usalama wa taifa, mseto wa kiuchumi, na mapambano dhidi ya uasi, ambayo ilifafanua sehemu kubwa ya utawala wake.
RIP!
 
Dah nimekuja mbioo na furaha nikijua ni maza wetu bhn aaaghhh
 
😂😂 🙏🙏
HUJAONA,kizimkazi baada ya mkwara wa bunge la ulaya , kashindwa kuvunja bunge ,mkuu ulaya sikiaga tu

KUMBUKA,tumeshavushwa stage za uchumi hivyo kazipi ,zama za kukaa wao walizisimamisha nchi hizo ulizotaja kwenye kusimama tulitembezwa
 
Rais wa zamani wa Nigeria Muhammadu Buhari, amefariki akiwa na umri wa miaka 82 katika kliniki ya London, alikuwa mtawala wa zamani wa kijeshi na aliyejiita mwanademokrasia aliyebadili dini na alirejea madarakani kupitia uchaguzi lakini alijitahidi kuwashawishi Wanigeria kwamba angeweza kutekeleza mabadiliko aliyoahidi.
 
Back
Top Bottom