Rais wa ufaransa na mkewe

Rais wa ufaransa na mkewe

Huyo ni mwl wake amabaye walianza ku date akiwa na myaka 40- kwa sasa twaweza tolea mfano wa diamond na zari na wao baada ya myaka 10+ muonekano wao utakua hivyo.
 
aisee, kwenye yale masuala yetu yale si keshazima data kabisa huyu?? anyways, kwa kuwa si mwafrica haidhuru
 
Huyo ni mwl wake amabaye walianza ku date akiwa na myaka 40- kwa sasa twaweza tolea mfano wa diamond na zari na wao baada ya myaka 10+ muonekano wao utakua hivyo.
Totally wrong
 
Hamna ndugu yangu, pesa tamu sana!
siyo oesa
huyu dogo kaanza na huyu maza toka akiwa ana miaka 15 na huyu maza alikuwa mwalim
wameoana miaka 15 ilo pita, wanapendana wenzenu
na its normal kabsa hiyo
 
Mtu akiwa na mke aliyemzidi umri watu wanawaza uyu jamaa anamgegedaje! Haswa sisi wanaume ndo wengi wetu tunawaza ivyo.
Ila mlishajiuliza labda uyo rais ana mapungufu yake na ndo maana akaamua kujificha kwa uyo bibi?
Labda aliona akioa kijana kama yeye atashindwa kumtuzia siri na nazani watu mnajua mambo ya siasa yalivyo na jamaa alifunga harusi na uyo bibi baada ya kuingia kwenye siasa japo walijuana kabla
Nimawazo yangu tu lakini.
hamna ni perception zetu tu wabongo, ika kwa wenye akili zilizo endelea wanaona sawa tu, ndoa yao isha dumu zaid ya miaka 15 sasa, they love each other, ni simple tu.
 
View attachment 507451 Emanuel macron mwenye umri wa miaka 39 wakiwa na mkewe Bridgette macron mwenye miaka 64.
Kijana anayejiamini kupindukia! hakuna kisichowezekana mbele yake. Huyo mama alikuwa mwalimu wa emanuel wa maigizo, kipindi hicho emanuel ana miaka 15 au 16 hivi, na mwalimu miaka 54.Kijana kwa kujiamini akampiga sound mwalimu wake sound ikajibu!

Kujiamini kwake kukampa ujasiri wa kugombea urais pamoja na kutokuwa na uzoefu wowote wa kisiasa na huyooo akashinda urais.
Emanuel Macron ni ushuhuda hai wa jinsi nguvu ya kujiamini inavyoleta mafanikio.
Hayo ya mke kumzidi umri tuyaache maana ni faragha ya maisha yake. Hata hivyo mkewe kamsaidia sana kwenye kampeni zake:Mama alimwandikia na kuhariri hotuba zake (Mama ni mwalimu wa fasihi)
 
siyo oesa
huyu dogo kaanza na huyu maza toka akiwa ana miaka 15 na huyu maza alikuwa mwalim
wameoana miaka 15 ilo pita, wanapendana wenzenu
na its normal kabsa hiyo
Huwa baadaye dogo anashtukaga na kuachana lakini huyu machale yamemcheza! Pesa ambitious sio mchezo, jamaa network kichwani imekubali sana!
 
Kijana anayejiamini kupindukia! hakuna kisichowezekana mbele yake. Huyo mama alikuwa mwalimu wa emanuel wa maigizo, kipindi hicho emanuel ana miaka 15 au 16 hivi, na mwalimu miaka 54.Kijana kwa kujiamini akampiga sound mwalimu wake sound ikajibu!

Kujiamini kwake kukampa ujasiri wa kugombea urais pamoja na kutokuwa na uzoefu wowote wa kisiasa na huyooo akashinda urais.
Emanuel Macron ni ushuhuda hai wa jinsi nguvu ya kujiamini inavyoleta mafanikio.
Hayo ya mke kumzidi umri tuyaache maana ni faragha ya maisha yake. Hata hivyo mkewe kamsaidia sana kwenye kampeni zake:Mama alimwandikia na kuhariri hotuba zake (Mama ni mwalimu wa fasihi)
Ima alipokuwa na miaka 15 mwalim alikuwa 39 akielekea 40 alikuwa ameolewa mwaka 1974 na alikuwa kwenye ndoa ambayo tayari imeanza matatizo na inaeleka kufa, Ima na mwalimu walipendana mpaka baba yake wa Ima aka mwambia mwalim kuwa akae mbali kdogo na kijana wake at least mpaka amalize masomo, Ima alikuwa ana akili na alisoma pamoja na mtoto wa mwalim, mwalim pia alivutiwa sana na hilo

Mwalim anasema Ima akiwa na miaka 17 alikuwa ana mwambia ata muoa, nalikuwa ana mshawishi aombe talaka ili amwoe, mwalim alisema yeye na Ima walikuwa wakiongea usiku mzima kwa sim. lakin pia hakudhani kama Ima angetaka kumwoa kweli mtu alomzidi kias hiko but Ima was bold na aliendelea kumpenda mwalim
Ima alipo fikisha miaka 29 na mwalim alikwa na miaka 53, ali mwambia mwalim anataka kumuoa, mwalim alidai talaka hiyo ni mwaka 2006, mwaka 2007 ima alimuoa mwalim , hapo mwalim akiwa na 54.

mwalim ana sema Ima siku ana muoa, alimwambia, "nataka tuwaoneshe watu wanao tusema kuwa tunapendana kweli" na kweli mpka sas Ima ana waonesha kweli kweli

Ima hasemwi na wabongo to anasemwa mpaka na wafaransa, wengine wana diriki hata kusema ni shoga na ana jisitiri tu kwa mwalim, lakin yeye wala hana shida ana mpenda mkewe.

Ima sasa ni Rais mteule, akiwa Rais mwalim atakuwa sehemu muhimu ya maamuzi ya nchi.

Ima na mwalim wanapendana lakin sipati picha wanapokea mneno mangap ya kejeli kwa kupendana kwao.
 
Huwa baadaye dogo anashtukaga na kuachana lakini huyu machale yamemcheza! Pesa ambitious sio mchezo, jamaa network kichwani imekubali sana!
hamna sasa hao ndio wake madogo wasio jielewa, ila dogo kama alivuka naye balehe, akavuka naye 20s na alipo fikisha 30 akamuoa, na siyo kwamba huyu maza alikuwa tajiri waka Ima hajawahi kuwa Tajiri ki hiivoo, he loves her
alafu she takes care of him, ni couple flan inayo jielewa
 
hamna sasa hao ndio wake madogo wasio jielewa, ila dogo kama alivuka naye balehe, akavuka naye 20s na alipo fikisha 30 akamuoa, na siyo kwamba huyu maza alikuwa tajiri waka Ima hajawahi kuwa Tajiri ki hiivoo, he loves her
alafu she takes care of him, ni couple flan inayo jielewa
Inakuhusu hii kitu nini? Maana watu wa nje kwa vibibi kwa ajili ya green card ndiyo wenyewe! Mr Iceman sema ukweli hahahaha!
 
Back
Top Bottom