Rais wa ufaransa na mkewe

Rais wa ufaransa na mkewe

Sijui kama ni wanawake wote wanapenda pesa. Mimi naamini kwamba kama unapenda kitu ni shurti ukitafute Mwenyewe, mimi naipenda sana sana Pesa, shkamoo pesa, naitafuta mwenyewe na mwenzangu pia awe motivational au awe nayo!
wanawake wote wanapenda pesa, hasa kwenye relations, mwanaume ukiwa huna pesa asilimia 90 ya relation yako inakuwa imekufa.
sema wewe nakuaminia wewe si ndo MD wa pesa yako mwenyewe, you need an intelligent man sasa na amabaye ana jituma kuzisaka pia hapo itakuwa poa
 
Ndio maana MUNGU alitoa amri zote lakini alipofika kwenye suala lakuoa au kuolewa, alikaa kimya hakusema lolote kuhusu umri wa kuoa au kuolewa. Kwahiyo ni akili kichwani mwako
 
wanawake wote wanapenda pesa, hasa kwenye relations, mwanaume ukiwa huna pesa asilimia 90 ya relation yako inakuwa imekufa.
sema wewe nakuaminia wewe si ndo MD wa pesa yako mwenyewe, you need an intelligent man sasa na amabaye ana jituma kuzisaka pia hapo itakuwa poa
Umenena, za kupewa huja na ma condition ya ajabu ajabu na mpokeaji naye anakuwa haithamini linalo fuata ni vurugu mechi!
AMUN RA
 
IMG_1085.JPG
hahaha, sikushindi wewe ISIS
sema mi ni vile evry time uko arround najikuta nakuwa makini sana
 
Ugumu wa chuma cha reli bana... Unaweza kuta bibi anapiga show hatareee
 
Sasa hicho kitoto hakitaona aibu "kumvua" nguo mama yake na kumchungulia nyeti zake!!!!!!
 
Back
Top Bottom