Hamna ndugu yangu, pesa tamu sana!kwa hali hiyo sizani kama atamaliza miaka 10 bila kumkuta mfano wa scandal ya Bill na Monica
atachepuka tu hamna utulivu hapo ukizingatia watoto wazuri wamejaa kizazi hiki hana namna
Bora hata ya flora angalau anaitaita, huyu hata nyama hana kabaki na ngozi tu, huyu kijana sijui anashika wapi kwa bibi.Mlicheka Flora mbasha eti kaolewa na Ben10, hapo napo mtasemaje ?
Kama kuna mtu anafaham histori yao ansaidie
Pitia hapa mtajioneaMkuu ukiipata fanya kuntag na mimi niijue.
Hamna ndugu yangu, pesa tamu sana!
Sio pesa bhana,wameanza mahaba wakati Macron ni mwanafunzi na first lady mwalimu wake,wazazi wakajua kua Macron anafukuzia bint wa ticha wake.Kumbe wapiiiiiiShkamoo Pesa! Damu changa haileti chakula mezani!
hivi uchaguzi ulishafanyikabibi alicheza karata yake fasta sasa ni first lady mwacheni
Tunarudi pale pale shkamoo Pesa, maana ndiyo aliye mfikisha hapo alipo!Sio pesa bhana,wameanza mahaba wakati Macron ni mwanafunzi na first lady mwalimu wake,wazazi wakajua kua Macron anafukuzia bint wa ticha wake.Kumbe wapiiiiii
ulishafanyikahivi uchaguzi ulishafanyika
Hapo sasajamaan!! mbona hamumshangai trump na melania wake?
Nimejikuta naukumbuka ule wimbo "nakupenda bibi kizee nakupenda kikongwe" all the best to them
