Abdallah M. Nassor
JF-Expert Member
- Mar 20, 2008
- 600
- 620
Nenda Wikipedia kila kitu kipo hukoMkuu ukiipata fanya kuntag na mimi niijue.
Nenda Wikipedia kila kitu kipo hukoMkuu ukiipata fanya kuntag na mimi niijue.
hahahahaInakuhusu hii kitu nini? Maana watu wa nje kwa vibibi kwa ajili ya green card ndiyo wenyewe! Mr Iceman sema ukweli hahahaha!
Sawa.Nenda Wikipedia kila kitu kipo huko
Hako kamdomo hakavutii hata.Extraordinary story..!
kuna mkono wa mtu hapoHakyamungu nimeamini kwenye mapenzi age is just a number..

ukiona mwanaume anafanikiwa ujue kuna mwanamke wa shoka nyuma yakeView attachment 507451 Emanuel macron mwenye umri wa miaka 39 wakiwa na mkewe Bridgette macron mwenye miaka 64.
Mashalaaah!!!Hako kamdomo hakavutii hata.
Hawa ndo wacheza picha zile za hardcore zlizoitwa "my first teacher" maana duh.View attachment 507451 Emanuel macron mwenye umri wa miaka 39 wakiwa na mkewe Bridgette macron mwenye miaka 64.
mie kananivutia kweli kazuriiMashalaaah!!!
Nilisikia alikuwa mwanafunzi wake...akaanza kumpenda akiwa na miaka 17...na amesoma na mtoto wa pili wa huyu mama...Inawezekana huyo ndiye aliyemwongoza hadi akafanikiwa kuwa Uraisi wa Ufaransa.
Watoto wa mjini, je huyo naye ni Mario ?
Mi kwangu miaka ni number! Kitu brains au mr Pesa! Duh kumbe we wa Tandale! Mtu me aasalale!hahahaha
mi mtoto wa Tandale tu, ila naonaga bongo watu umri kwo ishu kishenzi, yaan mdada kakuzidi miaka miwili tu ukimtokea anajifanya yeye mkubwa, nasisitiza tu kumpenda mtu alokuzid umri ipo hiyo,
wewe mtu uki mzid miaka ndio hawi eligible!?
Huo udenda duh!mie kananivutia kweli kazurii
sijakuelewa mkuu ina maana huyo first lady ni tajiri?Hamna ndugu yangu, pesa tamu sana!
Sasa kadogoo kange mfikisha wapi?huyo mama ana hekima na kijana full force ambitious, a perfect match!sijakuelewa mkuu ina maana huyo first lady ni tajiri?
hahahahaHuo udenda duh!