Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,505
Hata maisha ya kawaida mgeni akizidisha sana kukaa home baadaye anachokwa hata treatment za ugeni zinaanza kupungua.
Ndo maana watu makini hukaa siku chache ili waondoke na heshima zao. Rais unapoenda kwenye nchi ya wenzio ukakaa week. Wanakuacha wanaendelea kufanya kazi zao. Unajikuta unakaa hotelini tu kucheck movies, au unaenda kuzunguka madukani kufanya shopping.
Ndo mwishoni unaamua ukabembeee au kuogelea.... Maana huna la kufanya na wenyeji wameshakuchoka. Tuwe tunaangalia haya mambo tunapoenda ugenini.
Ndo maana watu makini hukaa siku chache ili waondoke na heshima zao. Rais unapoenda kwenye nchi ya wenzio ukakaa week. Wanakuacha wanaendelea kufanya kazi zao. Unajikuta unakaa hotelini tu kucheck movies, au unaenda kuzunguka madukani kufanya shopping.
Ndo mwishoni unaamua ukabembeee au kuogelea.... Maana huna la kufanya na wenyeji wameshakuchoka. Tuwe tunaangalia haya mambo tunapoenda ugenini.