Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Rais wa Maurtania Sidi Mohamed Ould Cheikh Abdallahi amepinduliwa. Kwa mujibu wa habari za kuaminika ni kwamba kikosi maalumu wa kumlinda Rais (Presidental Security Batallion) kilifika nyumbani kwa Rais huyo na kumuweka chini ya ulinzi kisha kuondoka naye. Habari hizo zilithibitishwa na binti wa Rais huyo aitwaye Amal Mint Cheikh Abdallahi.
Mapinduzi haya ya kijeshi yametokea baada ya Rais kumfukuza Mkuu wa Majeshi General Mohamed Ould Cheikh Mohamed Ahmed Ghazouani na Mkuu wa kikosi maalumu cha kumlinda Rais, Mohamed Ould Abdelaziz.
Habari hizo vilevile zimedai kuwa wengine ambao wako chini ya ulinzi ni Waziri Mkuu pamoja na Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo. Mapinduzi hayo yametokea bila umwagaji damu.
Rais JK ana shughuli nzito akiwa kama Mwenyekiti wa AU. Sasa sijui kama litatumwa jeshi huko kama Comoro au watatumia Demokrasia.
Haya mbona hayatokei Tanzania?
Pamoja na kulipwa mishahara midogo, maisha duni na kuteswa kote huku ndugu zenu tukiendela kutesekana na mafisadi kuiba pesa kila kukicha, ila nyie wanajeshi mnakaa kimya tuuuuuu
Fanyeni kama wanavyofanya wengine wenye uchungu na nchi zao, acheni kulinda maslahi ya wachache na kuipeleka nchi yetu kwenye matatizo kila kukicha, lindeni maslahi ya walio wengi na kuifanya Tanzania, Tanzania kweli kutokana na mali zetu tulizonazo.
Ushauri wa bure!!!!!
Haya mbona hayatokei Tanzania?
Pamoja na kulipwa mishahara midogo, maisha duni na kuteswa kote huku ndugu zenu tukiendela kutesekana na mafisadi kuiba pesa kila kukicha, ila nyie wanajeshi mnakaa kimya tuuuuuu
Fanyeni kama wanavyofanya wengine wenye uchungu na nchi zao, acheni kulinda maslahi ya wachache na kuipeleka nchi yetu kwenye matatizo kila kukicha, lindeni maslahi ya walio wengi na kuifanya Tanzania, Tanzania kweli kutokana na mali zetu tulizonazo.
Ushauri wa bure!!!!!
Haya mbona hayatokei Tanzania?
Pamoja na kulipwa mishahara midogo, maisha duni na kuteswa kote huku ndugu zenu tukiendela kutesekana na mafisadi kuiba pesa kila kukicha, ila nyie wanajeshi mnakaa kimya tuuuuuu
Fanyeni kama wanavyofanya wengine wenye uchungu na nchi zao, acheni kulinda maslahi ya wachache na kuipeleka nchi yetu kwenye matatizo kila kukicha, lindeni maslahi ya walio wengi na kuifanya Tanzania, Tanzania kweli kutokana na mali zetu tulizonazo.
Ushauri wa bure!!!!!
Huu sio uchochezi hata kidogo
Habari hiyo inajaribu kutafakari kiapo walichokula ndugu zetu na hali halisi ya sasa hivi nchini kwetu pamoja na wajibu wao wa kufanya kazi
We uliona wapi Mwanajeshi aliyefuzu na kuiva anavaa shati la kijani kama Combat?
Huu sio uchochezi hata kidogo
Habari hiyo inajaribu kutafakari kiapo walichokula ndugu zetu na hali halisi ya sasa hivi nchini kwetu pamoja na wajibu wao wa kufanya kazi
Haya mbona hayatokei Tanzania?
Pamoja na kulipwa mishahara midogo, maisha duni na kuteswa kote huku ndugu zenu tukiendela kutesekana na mafisadi kuiba pesa kila kukicha, ila nyie wanajeshi mnakaa kimya tuuuuuu
Fanyeni kama wanavyofanya wengine wenye uchungu na nchi zao, acheni kulinda maslahi ya wachache na kuipeleka nchi yetu kwenye matatizo kila kukicha, lindeni maslahi ya walio wengi na kuifanya Tanzania, Tanzania kweli kutokana na mali zetu tulizonazo.
Ushauri wa bure!!!!!
Ushauri wa bure; anayetaka kuitisha mapinduzi ya kijeshi Tanzania jamani atafute kijiwe kingine; ya kwetu ni mapinduzi ya fikra kwani ukileta mapinduzi ya kijeshi na watu wana fikra zile zile matokeo yake ni kuwa kuna wengine nao watataka kuwapindua wengine na wao kuna mtu atataka kuwapindua!
Watu wameshindwa kusupport mapinduzi ya fikra, mnatumaini watasupport mapinduzi ya kijeshi? labda njozini.