Tetesi: Rais wa Marekani Donald Trump amefariki?

Tetesi: Rais wa Marekani Donald Trump amefariki?

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
889
Reaction score
2,863
Wakuu

Hivi mmepita huko X hivi karibuni

trump.png


Duru zinasema kuwa Donald Trump amefariki japo hakuna confirmation kutoka kwenye sources ambazo ni rasmi.

Kwanza hajaonekana kwa siku takriban mbili na pia hii weekend yote hana any official meeting au schedule, kitu ambacho sio cha kawaida

aida.jpg


Lakini pia makamu wa Rais JD Vance akiongea hivi karibuni amesema kuwa "Japo hataki itokee lakini yuko tayari kuchukua kijiti iwapo Baba Ivana litamkuta lolote"


Sasa naomba kuuliza wakuu, na nyie mmesikia hizi taarifa au feed yangu ya X inanidanganya?


trump2.jpeg
 
Huyo Kenge acha afe tu. Maana hana faida katika dunia.

Ameshafanya dhambi nyingi kuliko mema.
Waswahili wanasema "Mshahara wa DHAMBI ni MAUTI.

Alikuwa na lengo la kummaliza Putin kule Alaska, sasa mwisho wa siku kajikuta kamalizwa yeye.

Rest in Hell Kenge wewe..
 
Back
Top Bottom