Rais wa Liberia awasimamisha Kazi maafisa 3 wa Serikali baada ya Kuwekewa Vikwazo na Marekani kwa ufisadi

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,024
1,611
Rais George Weah amewasimamisha kazi maafisa watatu baada ya serikali ya Marekani kutangaza kuwawekea vikwazo kwa madai ya Rushwa na Ufisadi wa mali za Umma

Maafisa hao ni pamoja na Nathaniel McGill, Waziri wa nchi na Mkuu wa wafanyakazi wa Rais, anashutumiwa kwa kutishia wapinzani wa kisiasa na ufujaji wa mali ya Umma, huku Sayma Cephus, Mwendesha Mashtaka Mkuu, akituhumiwa kwa kuwakinga washukiwa wahalifu, kuzuia uchunguzi wa ufisadi wa Serikali na kuingilia ushahidi ili kuhakikisha kuwa wapinzani wa kisiasa wanatiwa hatiani

Mwingine ni Bill Twehway, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kitaifa ya Bandari, anayeshutumiwa kwa kuingiza pesa kutoka bandarini kwenye akaunti za kibinafsi

.........................................

Liberian President George Weah suspended three officials Tuesday after the U.S. government announced sanctions on them for public corruption. The officials include the president’s chief of staff, the country’s chief prosecutor, and the managing director of Liberia’s National Port Authority.

The suspensions were made less than 24 hours after the U.S. Treasury Department announced sanctions on three senior Liberian officials for alleged corruption.

Nathaniel McGill, Liberia’s minister of state and the president’s chief of staff, is accused of a variety of corruption schemes, including directing warlords to threaten political rivals, bribery, and the misappropriation of state assets.

Sayma Cephus, Liberia’s solicitor general and chief prosecutor, is accused of shielding suspected criminals, blocking investigations into government corruption and interfering with evidence to ensure the conviction of political rivals. Bill Twehway, managing director of Liberia’s National Port Authority, is accused of funneling money from the port into private accounts.

Source: Citizen Digital
 
Kma US wameyaona haya yote na yeye hakuyaona basi George hafai kuendelea kuwa rais
 
Kma US wameyaona haya yote na yeye hakuyaona basi George hafai kuendelea kuwa rais
Alafu waafrika sijui tulilaaniwa? Hapo jirani kenya, Ruto na Kenyatta walifikishwa mahakamani na l.C.C,lakini wanashirikiana na Marekani. Hao watu waliowekewa huko Liberia, ni kikwazo kwa maslahi ya Marekani.
 
Marekani ni Taifa makini sana. Marekani inajua madudu na inachukua hatua, Rais wa nchi husika hajui.
Hii Afrika tuna laana!!yaani mtu anayewateua hajui, ila aliyoko mbali ndio anajua na kuchukua hatua!!ni sawa na kipindi kile cha jiwe, wazungu wanaionya serikali kuwa tutawawekea vikwazo kutokana na mambo ya ukiukwaji wa demokrasia, na haki za binadamu,na ufisadi Mi vimba macho ina pewa buku buku, inaandamana eti beberu asituingilie sisi ni nchi huru, kama ni misaada yake hatuihitaji, wakati hayo yanafanywa ili kuyasaidia yenyewe!!!
 
... kuna wale Geological Survey of America; wanawaambia epicenter ya quake ilikuwa wapi umbali gani toka hapo mtaani kwenu huku ninyi hamna habari mkiendelea kupiga mnazi! Kama wachawi vile ila ndio brains zinazoiongoza hii dunia.
 
Alafu waafrika sijui tulilaaniwa? Hapo jirani kenya, Ruto na Kenyatta walifikishwa mahakamani na l.C.C,lakini wanashirikiana na Marekani. Hao watu waliowekewa huko Liberia, ni kikwazo kwa maslahi ya Marekani.
Lakn ndugu yangu viongozi wetu karbia wote ni wezi Tena sana. Chukulia mfano tu mdogo vyiongoz wetu wa ccm jinsi walivyo wezi karibia wote. Na hili nalo unalikataa.. akina mwigulu sio wezi

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Alafu waafrika sijui tulilaaniwa? Hapo jirani kenya, Ruto na Kenyatta walifikishwa mahakamani na l.C.C,lakini wanashirikiana na Marekani. Hao watu waliowekewa huko Liberia, ni kikwazo kwa maslahi ya Marekani.
Ruto na Uhuru mashahidi waliingia mitini ndo raha yapesa tafta pesa ndg yangu na uwe mjanja mjanja sio uwe na pesa harafu chawa wakutawale
 
Kma US wameyaona haya yote na yeye hakuyaona basi George hafai kuendelea kuwa rais
hahahaaaaa huez kuwa mtimilif kweny kila kitu , kutekeleza hukum imempa credit tofaut na hawa wetu uandame bdo mtakula kipigo na watu watabakia mzigon
 
Vipi kuhusu mauaji ya Palestina na Saudi Arabia,umakini wake upo,sio? Miafrika kama nyinyi ni mijinga Sana.
ulitaka wafanyaj ? au na sisi tuwafukuz waarab wa kwetu huku si ndo mnataka watu wawe wabinafs hivyo ?
 
Alafu waafrika sijui tulilaaniwa? Hapo jirani kenya, Ruto na Kenyatta walifikishwa mahakamani na l.C.C,lakini wanashirikiana na Marekani. Hao watu waliowekewa huko Liberia, ni kikwazo kwa maslahi ya Marekani.
fuatilia ndo uhitimishe , elimu ya kukariri so....that inatuhalibu sana
 
Back
Top Bottom