stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 2,451
- 3,091
Jamaa alikuwa anabonga sanakwahiyo yule waziri mwenye kiburi na mdomo mchafu naye sasaivi ameshakabidhiwa vibibi bikra 72.
Jamaa alikuwa anabonga sanakwahiyo yule waziri mwenye kiburi na mdomo mchafu naye sasaivi ameshakabidhiwa vibibi bikra 72.
Dada wa Ismail Haniya ni Raia wa Israel na anahudumiwa kila kitu na Serikali ya Israel, kaka yake ndio kichwa ngumuIsrael ni noma. Mimi nilishangaa walipowatwanga watoto wote wa Ismail Haniy kiongozi wa Hamas. Walijuaje wale ni watoto wake?
Si tu nina Hoja bali nina Akili halafu najua hadi nakera Kudadadeki....!!Popoma una hoja usililizwe😝😝
Lihelikopta libovu lina miaka 30 na sehemu zake kadhaa zinahitaji Matengenezo ila hatuhangaiki nayo lakini Kutwa tuko kuwakalia Vikao Israel ( Taifa la Mungu na la GENTAMYCINE ) kwanini Mwenyezi Mungu asikilaani kisha Waisraeli wapenyezewe hiyo Taarifa na Wao waipangie Miundombinu ya KIMAFIA na KIJASUSI ili Kuiangusha hasa Wakivizia ikiwa na ADUI muhimu ndani ili iwe sehemu yao ya awali ya Kulipiza kisasi kwa Kushambuliwa mwaka huu huu? Kudadadeki Shikamoo Israel.Eeeeeh ......🙌
Sana mkuu hakuna mwenye akili kubwa hapa jf kama ww mkuu popoma afu nilisahau wenye akili mpo wawili tu wewe popoma na melo mwenye jf yake basiSi tu nina Hoja bali nina Akili halafu najua hadi nakera Kudadadeki....!!
Yaani nimecheka hadi basi Mkuu. Nimeandika hivyo Makusudi ili Kuwakera tu HATERS wangu na najua wanaumia Kinoma.Sana mkuu hakuna mwenye akili kubwa hapa jf kama ww mkuu popoma afu nilisahau wenye akili mpo wawili tu wewe popoma na melo mwenye jf yake basi
Toka hapa popoma wewe huna akili nyumbu mdogo wewe. NyenyenyenyenyeTaifa Teule la Mungu la Israel
Mkuu. Kule hakuna ubwabwa Kama misiba ya huko kwenu Mwananyamala.Maziko ni lini na Saa ngapi huko / kule Iran Mkuu?
IRGC vows to avenge the killing of Raesi. Itar Tass
atakuwa anatandikwa fimbo hilo za mgongo, kwanini hakumpokea Yesu, na kiburi chake kile.Jamaa alikuwa anabonga sana
Unaweza kututajia vikundi vya kigaidi Iran anavyofadhili?
what amazes me ni kwamba, walijua hadi kati ya zile tatu, ipi yeye kapanda na yule waziri wa foreign mwenye mdomo mchafu. au kwasababu inajulikana, zikiwa tatu zimeongozana utaijua tu ipi ya ulinzi na ipi inalindwa. manake imedondoka ya kwake tu, zile zingine zimerudi home safely. na wanaogopa wakikubali kwamba kadunguliwa, wataonekana wao technolojia waliyokuwa wanatamba wanayo imefeli. wanaishia kusema, ni ajali ya kawaida. kawaida kivipi katika mazingira kama ayo?Finally MOSAD did it again
Tuachane na Mambo ya Imani.
Mwili umeshapatikana ama ameungua hatambuliki kabisa.
Mkuu. Kule hakuna ubwabwa Kama misiba ya huko kwenu Mwananyamala.
Anaendeleaje mpk sasaWanajeshi wa Iran wamefanikiwa kupata signal ya simu ya rais
myahudi anajua namna ya kupiga mtu pakamuuma hadi unamwonea huruma wewe mwenyewe uliyempiga aisee. jamaa wamepigwa katikati ya mshono.