johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,956
- 141,942
Rais wa Burundi amemaliza ziara yake ya siku 3 nchini na kurejea nyumbani kwao akitumia ndege ya serikali ya Tanzania.
Ifike mahali wote tukubaliane kuwa Tanzania ina msaada mkubwa sana kwa ukanda huu wa Afrika mashariki na kati hivyo hata CHADEMA wawe wanainenea mema nchi yetu.
Mungu ibariki Tanzania!
Ifike mahali wote tukubaliane kuwa Tanzania ina msaada mkubwa sana kwa ukanda huu wa Afrika mashariki na kati hivyo hata CHADEMA wawe wanainenea mema nchi yetu.
Mungu ibariki Tanzania!