JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 6,809
- 14,156
Yaani hako kamsaada ka lift ya Ndege,unasema ndio tumekuwa donor country!!!?Rais wa Burundi amemaliza ziara yake ya siku 3 nchini na kurejea nyumbani kwao akitumia ndege ya serikali ya Tanzania.
Ifike mahali wote tukubaliane kuwa Tanzania ina msaada mkubwa sana kwa ukanda huu wa Afrika mashariki na kati hivyo hata Chadema wawe wanainenea mema nchi yetu.
Mungu ibariki Tanzania!
Please we wa wapi?umezaliwa masasi,nanyumbu Mtambaswala,au Karagwe kyelwa,murongo boder,au Kahama kalumwa??
Hapa nyumbani kujilisha tu shida,hatuwezi kuzalisha sukari,mafuta yakututosha,tutaweza kusaidia wengine??
Kama ni msaada wa kiulinzi,kijeshi,hatujaanza leo,alifanya Nyerere,tafuta taarifa za kamati ya Ulinzi na usalama chini ya Hashim Mbita,utaelewa,sio hizo porojo alizokuwa anasema shetani wenu Jiwe,kua sie ni donor country