Jirani yangu amevunja rekodi. Ana king'amuzi lakini hajawahi kuangalia na anasema hawezi kuacha afya ya usingizi aangalie mpira. Tulicheka sana
Ameishangazaje dunia? Kila kitu ni taste na preference mkuu!!
ujinga huu, unalazimisha mtu apende unachopenda wewe? ni wapi hujamuolewa wakati maelezo yake yako clear kabisa.
Sasa kam hana hobbie na mpira!!!!!
ndio mawazo yake japo kuna habari kuwa huyu mama ni mvuta bangi
rais wa fifa ameshangazwa na tuzo aliyopewa mesi
Mie hata sijachangaa maana kila mtu ana kitu ambacho anakipenda
ndio mawazo yake japo kuna habari kuwa huyu mama ni mvuta bangi
wakuu mnashindwa kuelewa hapo yani timu yako ya taifa nawe ni rais inapiga hatua ya kufika fainali yani Rais kama vile huna habari wala hujali? hii mnaona ni sawa? tena mchezo wenye wapenzi wengi duniani na wala sio mchezo wa mbio za kuku hujui chochote kinachoendelea kuhusu timu ya taifa?
Ksiasa hii ni symbolic ya Uzembe wa kutokufuatilia nchi yako na wananchi wako! Yaani hata wasaidizi wake nao ni wavivu hata kama Rais sio mpenzi wa mpira yani hata hawa-m-brief??!! Wachunguzi wansema imemtia dosari sema tena ndio awamu yake ya mwisho hagombei tena hivyo hata kama imemuharibia kisiasa, hawezi gombea tena.
Rais ni taasisi, kama marais wote wangefuata waanvyopenda ingekuwa shida sana katika uongozi.ujinga huu, unalazimisha mtu apende unachopenda wewe? ni wapi hujamuolewa wakati maelezo yake yako clear kabisa.
Rais wa Argentina mama Christina Ferdinadi alipoulizwa anajisikiaje nchi yake kushndwa kuchukua kombe la dunia,alijibu YEYE SIYO MSHABIKI WA MPIRA.
Akaulizwa kuhusu MESI kuchukua mchezaji bora wadunia, alijibu HAKUNA MECHI ALIYOWAHI KUANGALIA HATA HIYO FAINALI YA ARGENTINA NA GERMANY SIJAANGALIA KWAHIYO SIJUI LOLOTE.
Awali rais huyo alialikwa yeye pamoja na BI ANGEL MIKEL CHANCELOR wa Ujerumani walialikwa na rais wa BRAZIL kuhudhuria fainali,alimjibu HAWEZI KUJA KUANGALIA FAINALI kwasababu ANAUMWA KOO.
BI ANGEL MIKEL alihudhuria fainali hyo na nchi kuibuka na ushndi.
Je kama Argentina wangechukua kikombe angeenda kuwapokea uwanjani?Inawakuwaje rais wa nchi yenye washabiki wengi wa mpira kama Argentina rais anawavunja moyo watu wake?
Je kama Argentina wangechukua kikombe angeenda kuwapokea uwanjani?Inawakuwaje rais wa nchi yenye washabiki wengi wa mpira kama Argentina rais anawavunja moyo watu wake?
rais kilaza! .......... siku tanzania kukiwa na raisi mwanamke, nahamia somalia kw mkopo.
Ha.ha..ha mkuu usisahau kunitaarifu tuhamie wote.