Rais wa Argentina ashangaza dunia

Rais wa Argentina ashangaza dunia

Mnapenda awe mnafki kama wanasiasa wa bongo wanaoenda kanisani wakati wao ni waislam na wanaoenda misikitini wakati ni wakristo?
 
mi mwenyewe nimeangalia match mbili tu, ya ufunguzi mpaka half time na finali yote..si ajabu sana...mpira umekosa ladha kabisa, majina makubwa kuliko uwezo halisia, tumehamia kwenye michezo mingine sasa...

mie nimeangalia moja tu ya fainali tena kwa dakika kumi kisha nikashusha net kulala ,taarifa ya ubingwa nimeipata siku iliyofuata kwenye news.
 
Jirani yangu amevunja rekodi. Ana king'amuzi lakini hajawahi kuangalia na anasema hawezi kuacha afya ya usingizi aangalie mpira. Tulicheka sana
 
Mi ni Yanga na Arsenal na isipokuwa Wenger simjui mchezaji yeyote.Sijui rules zozote za football na sihami timu ng'o.
 
ameishangaza dunia gani? kwani unafikiri rais lazima awe anapenda kila kitu, mbona kawaida tu waziri wa michezo yupo.
 
Hawezi shinda uchaguzi ujao kwa kuwa siasa na soka ni mapacha.
 
ndio mawazo yake japo kuna habari kuwa huyu mama ni mvuta bangi
 
Ndo maana marekani hawajawahi kua na rais mwanamke ukiwa rais lazima ujue saikolojia ya watu wako na ndo maana unakuwa mwanasiasa ili ujue namna ya kuwa upande sahihi katka muda sahihi sio unaropoka tu,hiv unadhan kweli kabisa mfano rais wetu anapenda bongo fleva? manake tuwe tunatumia na akili.
 
Mi ni Yanga na Arsenal na isipokuwa Wenger simjui mchezaji yeyote.Sijui rules zozote za football na sihami timu ng'o.
Mkuu hamia Man U, nasikia kuna foward moja inaitwa Trafodi ni noma kwa magoli.
 
Uko sawa. Anaweza hata aliambiwa siku hiyo asifunge goli. Ila siyo Nike.....,,

messi___adidas_by_tarek10-d5s9dtj.png


Sio blatter hadi Mwanangu kauliza why messi ???unajua sababu

Uliza

NIKE VS FIFFA
 
Hayo ni majibu kama ya yale ya Rais MUGABE tu. Mbona aliandaa hafla ya kuwapokea wachezaji wake? Tena amefurahishwa na mafanikio ya LIONEL MESSI!! Na akampongeza kwa tuzo. Perruzi Blog mbalimbaliza Bongo utaona hizo picha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom