Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,284
Tumekuwa na wakati mzuri sana kuangalia kombe la dunia na sasa tunakaribia kufika mwisho. Kila timu imevuna ilichopanda. Argentina ndio timu bora zaidi kwenye michuano hii.
Lionel Messi anaenda kuwa kinara baada ya mchezo mkali dhidi ya Ufaransa. Atastaafu kwa heshima kama mchezaji bora zaidi kuwahi kutokea katika historia ya mpira wa miguu.
Nafasi ya tatu nampa Croatia na pongezi za pekee kwa Morocco kuweza kufika nusu fainali. Hawa wajifunze kuepuka ubaguzi ili miaka ijayo wafike mbali zaidi.
Lionel Messi anaenda kuwa kinara baada ya mchezo mkali dhidi ya Ufaransa. Atastaafu kwa heshima kama mchezaji bora zaidi kuwahi kutokea katika historia ya mpira wa miguu.
Nafasi ya tatu nampa Croatia na pongezi za pekee kwa Morocco kuweza kufika nusu fainali. Hawa wajifunze kuepuka ubaguzi ili miaka ijayo wafike mbali zaidi.