ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Ina maana hamna raia mwenye asili ya Zambia mwenye hadhi ya kuwa makamu wa raisi?
hapo nakubaliana na wewe, ingawa inatakiwa tumujue huyu mzungu UZAMBIA WAKE uko vipi
Ina maana hamna raia mwenye asili ya Zambia mwenye hadhi ya kuwa makamu wa raisi?
Wa-Tanzania kuna somo gani tunapata kutoka Zambia?
Jamani huyo mzungu ni mwanaharakati wa kweli na ningeshangaa sana kama angemuacha kwenye safu yake ya uongozi, wametoka naye mbali sana-kwenye shida na karaha zote.Acha amsaidie kazi King Cobra!
Hapa kigezo ni kudeliver na sio ukilemba.Ina maana hamna raia mwenye asili ya Zambia mwenye hadhi ya kuwa makamu wa raisi?
Kati ya mimi na wewe kwa huo mtizamo nani anaonekana kilaza?Hapa kigezo ni kudeliver na sio ukilemba.
wewe bado ni kalaza nasisitiza
tayari mtoa mada katubainisha.....hapo nakubaliana na wewe, ingawa inatakiwa tumujue huyu mzungu UZAMBIA WAKE uko vipi
Wizara chache tu zenye kila dalili ya kubana matumizi ya serikali, si kama Tanzania kuwa na mawaziri 50
Wewe ni mpuzi sana mbinafsi mbna south wanamawaziri wazungu na wanamaendeleo obama si black mbna rais kama hamna hoja si mtulieKati ya mimi na wewe kwa huo mtizamo nani anaonekana kilaza?
Unamaanisha kuwa Zambia nzima hamna mtu anayeweza kudeliver zaidi ya huyu mzungu?wewe
Nyie ndio watu msiojiamini, mnawahusudu wazungu, mnaona wao ni kila ktu
Wewe ni mpuzi sana mbinafsi mbna south wanamawaziri wazungu na wanamaendeleo obama si black mbna rais kama hamna hoja si mtulie
Big Up for President Sata and VP Dr. Guy. Serious leaders think out of box and beyond. Hata Tz tulikuwa na kina Amir Jamal, Derick Bryceson. Huyu kaanzia harakati za kuleta democrasy kwenye nyumba kumi zao na ni Mzambia anastahili.
wewe bado mtoto sana..ukikuwa utafahamu!Wewe ni mpuzi sana mbinafsi mbna south wanamawaziri wazungu na wanamaendeleo obama si black mbna rais kama hamna hoja si mtulie
Umewasahau akina Andrew Young, Condolezza Rice na General Powell.
Kwa watu wanaojali maendeleo, wanachagua watu kwa ajili ya utendaji wao na wala si rangi, dini, kabila wala asili zao, vitu ambavyo TZ vinatutafuna na vitaendelea.
Atawasaidia nini WaZambia kwa UMRI ule? Mpeni Mzee Malecela Urais mwaka 2015.Natamani ningezaliwa Zambia, Kila la kheri Dr.Sata.
Umetuonesha njia.