Kingu Victor EL
Member
- Aug 21, 2011
- 26
- 0
Aliyechagua kichwa cha habari ana mawazo mgando. Scott ni Mzambia kama alivyoelezewa. Wanaoangalia rangi ya mtu inabidi tuwakumbushe labda walizaliwa juzi. Tanzania na viongozi wetu mpaka kushika nyadhifa za uwaziri. Amil Jamali. Alnoor Kasam. Julie Manning. Dereck Bryson. Dr Stirling achilia mbali Wabunge kibao kama marehemu Msukuma Biku Mohamedi Biku. Kama tutaangalia rangi na kadhalika, iko siku tutasema Tanzania imepata Raisi ******, Msubi, Mvidunda, Mmachame, Mmbulu na kadhalika. Acheni unywanywa.