PostGE2025 Rais Samia: Upigaji kura ulirahisishwa sana! Iliwafanya Waangalizi wa Uchaguzi kudhani wananchi hawakujitokeza kupiga kura

PostGE2025 Rais Samia: Upigaji kura ulirahisishwa sana! Iliwafanya Waangalizi wa Uchaguzi kudhani wananchi hawakujitokeza kupiga kura

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mwizukulu wa Buganda

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2024
Posts
638
Reaction score
1,771
Rais Samia amesema kuwa utaratibu wa kuongeza vituo vingi vya kupigia kura ulisaidia sana kupunguza msongamano katika vitu hivyo, hivyo upigaji kura kurahishwa sana na haukuchukua muda mwingi wa wananchi kama ilivyozoeleka, jambo lililowafanya baadhi ya waangalizi wa uchaguzi kudhani wananchi hawakujitokeza kupiga kura.

Pia soma > GE2025 - Hiki ndio kilifanywa na wasimamizi wa uchaguzi ili kupata 98% ya kura za Samia


VIDEO: Urahisishaji upigaji kura wenyewe sasa ulivyofanyika




 
Poleni sana kwa kusikiliza division 0 ikiongea vitu ambavyo hana range ya kuvichambua.

Nina uhakika hata report hii hajaisoma.
20251114_070410.png
20251114_070405.jpg
 
Back
Top Bottom