Rais Samia unayajuwa yanayopangwa gizani?

Rais Samia unayajuwa yanayopangwa gizani?

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,647
Reaction score
58,453
Kwa Tanzania Rais ni Alfa na Omega

Kwa Tanzania sio katiba Wala Sheria vyote vipo chini ya Rais na anaweza kumpoteza mtu yeyote na watu tukapiga kelele lakini hasirudi Kama Mzee Kibao!!

kwa Tanzania Rais ndiye katiba na ndiye Sheria ndiye msigina katiba na Sheria namba moja, ndiye mwizi namba moja, ndiye katili mamba moja!!

Sasa inakuwaje watu wanapanga mambo gizani Rais hajuwi ?

je Rais Samia unayajuwa yote yanayopangwa gizani? Je una uhakika wewe ndiye mgombe wa urais kupitia kijani mwaka huu?

una uhakika unayo watuma wasiadizi wako ndio wanayoyafanya?

una uhakika unashauriwa vizuri na washauri wako ?

Rais Samia be careful !!
 
Kwa Tanzania Rais ni Alfa na Omega

Kwa Tanzania sio katiba Wala Sheria vyote vipo chini ya Rais na anaweza kumpoteza mtu yeyote na watu tukapiga kelele lakini hasirudi Kama Mzee Kibao!!

kwa Tanzania Rais ndiye katiba na ndiye Sheria ndiye msigina katiba na Sheria namba moja, ndiye mwizi namba moja, ndiye katili mamba moja!!

Sasa inakuwaje watu wanapanga mambo gizani Rais hajuwi ?

je Rais Samia unayajuwa yote yanayopangwa gizani? Je una uhakika wewe ndiye mgombe wa urais kupitia kijani mwaka huu?

una uhakika unayo watuma wasiadizi wako ndio wanayoyafanya?

una uhakika unashauriwa vizuri na washauri wako ?

Rais Samia be careful !!
Kwani unataka ashinde tena muhula.mwingine?
 
1745074538016.png
 
Kwa Tanzania Rais ni Alfa na Omega

Kwa Tanzania sio katiba Wala Sheria vyote vipo chini ya Rais na anaweza kumpoteza mtu yeyote na watu tukapiga kelele lakini hasirudi Kama Mzee Kibao!!

kwa Tanzania Rais ndiye katiba na ndiye Sheria ndiye msigina katiba na Sheria namba moja, ndiye mwizi namba moja, ndiye katili mamba moja!!

Sasa inakuwaje watu wanapanga mambo gizani Rais hajuwi ?

je Rais Samia unayajuwa yote yanayopangwa gizani? Je una uhakika wewe ndiye mgombe wa urais kupitia kijani mwaka huu?

una uhakika unayo watuma wasiadizi wako ndio wanayoyafanya?

una uhakika unashauriwa vizuri na washauri wako ?

Rais Samia be careful !!
acha upotoshaji wa kivivu namna hiyo gentleman,
taka care :NoGodNo:
 
Kwa Tanzania Rais ni Alfa na Omega

Kwa Tanzania sio katiba Wala Sheria vyote vipo chini ya Rais na anaweza kumpoteza mtu yeyote na watu tukapiga kelele lakini hasirudi Kama Mzee Kibao!!

kwa Tanzania Rais ndiye katiba na ndiye Sheria ndiye msigina katiba na Sheria namba moja, ndiye mwizi namba moja, ndiye katili mamba moja!!

Sasa inakuwaje watu wanapanga mambo gizani Rais hajuwi ?

je Rais Samia unayajuwa yote yanayopangwa gizani? Je una uhakika wewe ndiye mgombe wa urais kupitia kijani mwaka huu?

una uhakika unayo watuma wasiadizi wako ndio wanayoyafanya?

una uhakika unashauriwa vizuri na washauri wako ?

Rais Samia be careful !!
Kwa vile sijui kinapangwa nini gizani siwezi kushabikia kisiwe kibaya kuliko hili la mama kupora ugombea urais. Wanaccm wengi kwa uhakika tulitaka kuona mgombea mlengo wa kimagufuli mama na nchimbi wake wakatuchezea rafu. Tuna hofu ya wizi wa umma kurejea kwa kasi na nchi kuuzwa kwa waarabu. Mungu tuhurumie.
 
Back
Top Bottom