Sawa amekusoma ataendelea kuwajaza wazanzibari wenzake, hata mahali wasipostahili 'non union matters', Stupido!.Hapo vip!!
Kwanza kwaheshima kubwa nawiwa kumtia moyo mama yetu mpendwa na Rais wa jamhuri wa muungano wa Tanzania dhidi ya majukumu mazito alionayo katika maisha yake...
Ubongo upo ila kidogo tu kwa mbaliWenzake wanapozuia kuagiza maana yake ni kulinda viwanda vya ndani.
Ila kwa ardhi iliyopo Tanzania hatukutakiwa kuagiza nje sukari, ngano, mafuta ya kupikia nk. Ni kwa vile tu Mungu alituumba bila ubongo.
Acha utumwa wako.Hapo vip!!
Kwanza kwaheshima kubwa nawiwa kumtia moyo mama yetu mpendwa na Rais wa jamhuri wa muungano wa Tanzania dhidi ya majukumu mazito alionayo katika maisha yake...
Siyo mchumi bwana. Anajiita tu Mchumi.Alisoma Public administrationHii Misukuma Gang ina Chuki na kijinga na kipuuzi sana.sasa mnataka tuuziwe sukari kilo elfu10 eti? Huyu Rais ni Mchumi by professional sio kama yule mwenye PhD ya kubumba muelewe hilo kwanza...
They must/should join to the market racesviwanda vya ndani namba inasomeka
😍Samia ana akili kwenye masuala ya uchumi. That is excellent...
Absolutely FACT.Balozi Ame Mpongwe amesema Tanzania haijaacha kununua sukari kutoka Uganda kikiwemo kiwanda cha Kilombero sugar kilichonunua tani 4300 licha ya bei za Uganda kutokuwa za kishindani ukilinganisha na maeneo mengine katika ukanda huu...
Kwa taarifa yako Tanzania inaexport Cement kwenda nchi za nje haswa Congo DRC, Burundi, Zambia, Msumbiji nk hao wamiliki wa viwanda ni wahuni wanazalisha kwa lengo la kuuza nje ya nchiKabla hatujaongea kihisia,kichuki,kishabiki na kiitikadi..angazia swala la sementi...leo hatuagizi sementi kutoka nje..matokea yake sementi imepanda juu sana kwa mtumiaji wa chini..nadhani katika east Afrika ni mtanzania pekee ndio ananuanua sementi gali...
Kwanini asitoe unafuu wa maisha kwenye vifaa vya ujenzi na petrol? rubbishHii Misukuma Gang ina Chuki na kijinga na kipuuzi sana.sasa mnataka tuuziwe sukari kilo elfu10 eti? Huyu Rais ni Mchumi by professional sio kama yule mwenye PhD ya kubumba muelewe hilo kwanza...
Hili ndio swali LA msingi mkuu LA kujiulizaSina tatizo na kununua sukari Uganda kama uzalishaji wetu ni mdogo. Swali nalojiuliza inakuwaje Uganda waweze kuzalisha sukari ya kuweza kutuuzia mapaka watanzania wakati tunayoukosefu waajira wakutupwa hii nchi na ardhi ipo ya kutosha