Rais Samia tunakuomba hutubia taifa, omba radhi, fanya maamuzi magumu ya kuvunja mkataba huu nchi ipone

mwanamichakato

JF-Expert Member
Mar 20, 2015
895
707
Rais umefanya mema na mazuri kupitia uongozi wako. Mungu mtakatifu ana kusudi la kukupa nafasi kuu ktk nchi yetu ktk mazingira uliopewa si Kwa mapenzi ya wanadamu Bali Mungu tu..Si Kwa wewe kutaka Bali neema tu.

Wengi sana walijitokeza (Watangaza nia)ili kupewa kijiti cha kupeperusha bendera ya CCM..Walilipa fedha, Walizunguka nchi nzima wakijinadi Kwa wanachama (Wajumbe) na wananchi. Mwenyezi Mungu hakuwapa nafasi kupitia michakato mbalimbali ya Chama na kitaifa..

Ilimpendeza Mungu Hayati JPM awe kiongozi Mkuu wa taifa hili tajiri na wewe kuwa Msaidizi wake au makamu wake. Mungu alimpangia Siku,saa,mazingira ya kutwaliwa ktk mwili..Mwili wake umefariki huku roho yake ikisubiri hukumu Kama ilivyo Kwa wanadamu wote Kwa mujibu wa maandiko..

Yamkini nia na makusudi ni njema kabisa Kwa mujibu wa upembuzi wa viongozi wetu haswaa ktk kukuletea taifa tija Kina endelea ELIMU, AFYA, MIUNDOMBINU, N.K. Kwa lilivyo hili jambo sio jepesi ni zito mnoo. Limeenea mnoo..Lina ukakasi mnoo,Halina amani. Halina furaha. Halina utulivu. Linachakata mioyo, roho, fahamu Za wananchi maskini, wenye kipato cha kati na wasomi (Elimu bure imeleta effect ktk fikra)..

Viongozi wetu, Mitihani ktk maisha ya Uongozi haina budi kuruhusiwa kuwapata..Fanyeni toba Kwa Mwenyezi Mungu. Ombeni hekima na busara. Fanyeni maamuzi magumu yenye kuleta amani,Utulivu na mshikamano..

Kwa Heshima na unyenyekevu mkubwa nikuombe Mh Rais ikikupendeza hutubia taifa Kwa muda utakaokufaa na Utoe ufafanuzi wa mapana,Omba radhi kwenye mapungufu, Elimisha itakapobidi,Wajibisha wanaopaswa kuwajibishwa ,Toa dira mahsusi, Kemea uzembe wote (Watumishi na Viongozi wote wa umma hutenda kazi Kwa niaba yako Mh Rais,..Huwezi kufika kila mahali. Huwezi soma kila kitu,Huwezi fuatilia kila jambo..Huwezi saini kila nyaraka.

Mwisho usisahau kuwasamehe wote wate waliokukosea,Kukuudhi,Kuumiza moyo,na kukukwaza sana ktk kipindi hiki..Ni mtihani kwako. Mwenyezi Mungu anatusamehe makosa yetu tunaposamehe wengine wanaotukosea.

Kwa kuwa watendaji wako na wasaidizi wako ni binadamu hivyo wana mapungufu Kwa namna moja au nyingine hivyo hawawezi kuwa sahihi Kwa kila jambo Kwa kuzingatia changamoto za kimazingira, elimu, Utandawazi na mengineo.

Nina imani Watanzania wana imani na uongozi wako na jitihada zote ufanyazo ktk kuimarisha na kujenga umoja wa kitaifa. Kwa hotuba yako mjadala utakoma na mengi mema yako na serikali yatatamalaki zaidi..
 
Rais umefanya mema na mazuri kupitia uongozi wako. Mungu mtakatifu ana kusudi la kukupa nafasi kuu ktk nchi yetu ktk mazingira uliopewa si Kwa mapenzi ya wanadamu Bali Mungu tu..Si Kwa wewe kutaka Bali neema tu.

Wengi sana walijitokeza (Watangaza nia)ili kupewa kijiti cha kupeperusha bendera ya CCM..Walilipa fedha, Walizunguka nchi nzima wakijinadi Kwa wanachama (Wajumbe) na wananchi. Mwenyezi Mungu hakuwapa nafasi kupitia michakato mbalimbali ya Chama na kitaifa..

Ilimpendeza Mungu Hayati JPM awe kiongozi Mkuu wa taifa hili tajiri na wewe kuwa Msaidizi wake au makamu wake. Mungu alimpangia Siku,saa,mazingira ya kutwaliwa ktk mwili..Mwili wake umefariki huku roho yake ikisubiri hukumu Kama ilivyo Kwa wanadamu wote Kwa mujibu wa maandiko..

Yamkini nia na makusudi ni njema kabisa Kwa mujibu wa upembuzi wa viongozi wetu haswaa ktk kukuletea taifa tija Kina endelea ELIMU, AFYA, MIUNDOMBINU, N.K. Kwa lilivyo hili jambo sio jepesi ni zito mnoo. Limeenea mnoo..Lina ukakasi mnoo,Halina amani. Halina furaha. Halina utulivu. Linachakata mioyo, roho, fahamu Za wananchi maskini, wenye kipato cha kati na wasomi (Elimu bure imeleta effect ktk fikra)..

Viongozi wetu, Mitihani ktk maisha ya Uongozi haina budi kuruhusiwa kuwapata..Fanyeni toba Kwa Mwenyezi Mungu. Ombeni hekima na busara. Fanyeni maamuzi magumu yenye kuleta amani,Utulivu na mshikamano..

Kwa Heshima na unyenyekevu mkubwa nikuombe Mh Rais ikikupendeza hutubia taifa Kwa muda utakaokufaa na Utoe ufafanuzi wa mapana,Omba radhi kwenye mapungufu, Elimisha itakapobidi,Wajibisha wanaopaswa kuwajibishwa ,Toa dira mahsusi, Kemea uzembe wote (Watumishi na Viongozi wote wa umma hutenda kazi Kwa niaba yako Mh Rais,..Huwezi kufika kila mahali. Huwezi soma kila kitu,Huwezi fuatilia kila jambo..Huwezi saini kila nyaraka.

Mwisho usisahau kuwasamehe wote wate waliokukosea,Kukuudhi,Kuumiza moyo,na kukukwaza sana ktk kipindi hiki..Ni mtihani kwako. Mwenyezi Mungu anatusamehe makosa yetu tunaposamehe wengine wanaotukosea.

Kwa kuwa watendaji wako na wasaidizi wako ni binadamu hivyo wana mapungufu Kwa namna moja au nyingine hivyo hawawezi kuwa sahihi Kwa kila jambo Kwa kuzingatia changamoto za kimazingira, elimu, Utandawazi na mengineo.

Nina imani Watanzania wana imani na uongozi wako na jitihada zote ufanyazo ktk kuimarisha na kujenga umoja wa kitaifa. Kwa hotuba yako mjadala utakoma na mengi mema yako na serikali yatatamalaki zaidi..
Saa 100 aombe msamaha thubutu!, alivyo na kiburi cha kizenji yule

Zaidi ataendeleza dharau na ligi kwa kukomoa watanganyika kwa tangazo la uteuzi lilojaa wazenji
 
Sio hawana cha kuongea, wanasubiri mamburura kwanza mmaleze kuhara.......busara ya kiasi gani hii. Hawawezi kuongeaongea tu kama nyie, wataongea kwa muda muafaka na kwa sababu maalum.
 
Hakika, anatakiwa kuomba radhi, kwasababu mpaka leo bado sijaona jibu lolote la maana toka kwa serikali yake kutetea ule mkataba wa kinyonyaji.

Zaidi, anathibitisha udhaifu wake, badala ya kusimama na kuonesha namna amejipanga kutatua tatizo, akiwa kama amiri jeshi mkuu, yeye ndio kwanza amejificha, hii nchi haina kiongozi kwa sasa.
 
Rais umefanya mema na mazuri kupitia uongozi wako. Mungu mtakatifu ana kusudi la kukupa nafasi kuu ktk nchi yetu ktk mazingira uliopewa si Kwa mapenzi ya wanadamu Bali Mungu tu..Si Kwa wewe kutaka Bali neema tu.

Wengi sana walijitokeza (Watangaza nia)ili kupewa kijiti cha kupeperusha bendera ya CCM..Walilipa fedha, Walizunguka nchi nzima wakijinadi Kwa wanachama (Wajumbe) na wananchi. Mwenyezi Mungu hakuwapa nafasi kupitia michakato mbalimbali ya Chama na kitaifa..

Ilimpendeza Mungu Hayati JPM awe kiongozi Mkuu wa taifa hili tajiri na wewe kuwa Msaidizi wake au makamu wake. Mungu alimpangia Siku,saa,mazingira ya kutwaliwa ktk mwili..Mwili wake umefariki huku roho yake ikisubiri hukumu Kama ilivyo Kwa wanadamu wote Kwa mujibu wa maandiko..

Yamkini nia na makusudi ni njema kabisa Kwa mujibu wa upembuzi wa viongozi wetu haswaa ktk kukuletea taifa tija Kina endelea ELIMU, AFYA, MIUNDOMBINU, N.K. Kwa lilivyo hili jambo sio jepesi ni zito mnoo. Limeenea mnoo..Lina ukakasi mnoo,Halina amani. Halina furaha. Halina utulivu. Linachakata mioyo, roho, fahamu Za wananchi maskini, wenye kipato cha kati na wasomi (Elimu bure imeleta effect ktk fikra)..

Viongozi wetu, Mitihani ktk maisha ya Uongozi haina budi kuruhusiwa kuwapata..Fanyeni toba Kwa Mwenyezi Mungu. Ombeni hekima na busara. Fanyeni maamuzi magumu yenye kuleta amani,Utulivu na mshikamano..

Kwa Heshima na unyenyekevu mkubwa nikuombe Mh Rais ikikupendeza hutubia taifa Kwa muda utakaokufaa na Utoe ufafanuzi wa mapana,Omba radhi kwenye mapungufu, Elimisha itakapobidi,Wajibisha wanaopaswa kuwajibishwa ,Toa dira mahsusi, Kemea uzembe wote (Watumishi na Viongozi wote wa umma hutenda kazi Kwa niaba yako Mh Rais,..Huwezi kufika kila mahali. Huwezi soma kila kitu,Huwezi fuatilia kila jambo..Huwezi saini kila nyaraka.

Mwisho usisahau kuwasamehe wote wate waliokukosea,Kukuudhi,Kuumiza moyo,na kukukwaza sana ktk kipindi hiki..Ni mtihani kwako. Mwenyezi Mungu anatusamehe makosa yetu tunaposamehe wengine wanaotukosea.

Kwa kuwa watendaji wako na wasaidizi wako ni binadamu hivyo wana mapungufu Kwa namna moja au nyingine hivyo hawawezi kuwa sahihi Kwa kila jambo Kwa kuzingatia changamoto za kimazingira, elimu, Utandawazi na mengineo.

Nina imani Watanzania wana imani na uongozi wako na jitihada zote ufanyazo ktk kuimarisha na kujenga umoja wa kitaifa. Kwa hotuba yako mjadala utakoma na mengi mema yako na serikali yatatamalaki zaidi..
Samia amepotoka sana issue ya waarabu.
 
Jambo linaweza kuwa zuri tatizo hakuangalia ushawishi alionao Kwa kampuni iliyoingia mkataba(UJOMBI!!!!)

Nakumbuka Richmond ilivyo dadavuliwa mpaka majina ya mlengwa yalioanishwa kuhisishwa na Mkataba

Kiongozi hujachelewa ita press ya kitaifa wakungute wanao jiita Chawa ubaki msafi Kazi iendelee
 
Umeandika vema. Sijui kama wanaweza kupona maana hatujui ugonjwa ulishaingia mwilini kwa kiasi gani maana wanajua kutunza siri. Ila neno moja ninaloliskia mijini na vijijini wanasema huyu hatufai, kama ameuza bandari zetu na zao hajauza hatufai aondokeeee. LAKINI sijui pia kama yeye au wao wanahisi maumivu ya watanganyika ktk hili.
 
Back
Top Bottom