Rais Samia: Tunajiandaa kuanza majaribio bima ya afya kwa wote

Rais Samia: Tunajiandaa kuanza majaribio bima ya afya kwa wote

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Rais Samia Suluhu Hassan akihutubia bunge la 13 leo Novemba 14, 2025 amesema Serikali inajiandaa kutoa huduma ya bima ya afya kwa wote ambayo itakua ni kuanza kwa mageuzi ya huduma ya afya nchini


 
Back
Top Bottom