Rais Samia: Tanzania ina midomo mingi, kila unalofanya linatafsiriwa

Rais Samia: Tanzania ina midomo mingi, kila unalofanya linatafsiriwa

Mwizukulu wa Buganda

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2024
Posts
638
Reaction score
1,771
Rais Samia akiwaapisha viongozi mbambali aliowateua, amesema Tanzania kila unalofanya linatafsiriwa, akirejelea Uteuzi wa Waziri Rajabu Salum ambapo amedai kuwa watu walisema katolewa. Rais Samia amesema Salumu kakua hivyo amempa nafasi ya kisekta.

 
Rais Samia akiwaapisha viongozi mbambali aliowateua, amesema Tanzania kila unalofanya linatafsiriwa, akirejelea Uteuzi wa Waziri Rajabu Salum ambapo amedai kuwa watu walisema katolewa. Rais Samia amesema Salumu kakua hivyo amempa nafasi ya kisekta.

Sawa, si nchi yao, si yako. Wana haki ya kusema maana ni mali yao
 
Rais Samia akiwaapisha viongozi mbambali aliowateua, amesema Tanzania kila unalofanya linatafsiriwa, akirejelea Uteuzi wa Waziri Rajabu Salum ambapo amedai kuwa watu walisema katolewa. Rais Samia amesema Salumu kakua hivyo amempa nafasi ya kisekta.


Vipi na BUSINESS PARTINER wa Mkwe MWENY KIFUA KIPANA.....!!?
 
Rais Samia akiwaapisha viongozi mbambali aliowateua, amesema Tanzania kila unalofanya linatafsiriwa, akirejelea Uteuzi wa Waziri Rajabu Salum ambapo amedai kuwa watu walisema katolewa. Rais Samia amesema Salumu kakua hivyo amempa nafasi ya kisekta.

Kuna fani angeingia angefiti sana ila ndo basi MIFUMO YETU ya nchi imefeli
Ndo tunaona Jaji hajui tofauti ya session na seatings
 
Sawa, si nchi yao, si yako. Wana haki ya kusema maana ni mali yao
Kuna mtu anashangaa kwanini Rwanda na Zanzibar wamepiga hatua, marais hawakutani na wajuaji wengi wa mitandaoni wanaachwa huru kufanya yale ya kitaalam.

Kule Dubai kuna hali ya juu kiuchumi, sababu yule kiongozi wao mkuu alipiga vita wapiga miluzi wa mitandaoni yupo huru kufanya analotaka kwa manufaa ya nchi anayoiongoza.

Demokrasia ikizidi huzaa ujinga mwingi kwa kigezo cha uhuru wa kuongea.
 
Rais Samia akiwaapisha viongozi mbambali aliowateua, amesema Tanzania kila unalofanya linatafsiriwa, akirejelea Uteuzi wa Waziri Rajabu Salum ambapo amedai kuwa watu walisema katolewa. Rais Samia amesema Salumu kakua hivyo amempa nafasi ya kisekta.

Huyu bibi sijui ALIOKOTWA wapi??
 
Kuna mtu anashangaa kwanini Rwanda na Zanzibar wamepiga hatua, marais hawakutani na wajuaji wengi wa mitandaoni wanaachwa huru kufanya yale ya kitaalam.

Kule Dubai kuna hali ya juu kiuchumi, sababu yule kiongozi wao mkuu alipiga vita wapiga miluzi wa mitandaoni yupo huru kufanya analotaka kwa manufaa ya nchi anayoiongoza.

Demokrasia ikizidi huzaa ujinga mwingi kwa kigezo cha uhuru wa kuongea.
Kwahiyo huko Dubai, wanaua tu watu kama NZIGE na kupora mali za umma , na watu wao HAWAPIGI midomo???


TZ siyo kisiwa cha MAITI.

Mmepora madaraka kwa BUNDUKI, uweni wote basi ili kusiwe na kelele.

Mapumbavu nyie
 
Kuna mtu anashangaa kwanini Rwanda na Zanzibar wamepiga hatua, marais hawakutani na wajuaji wengi wa mitandaoni wanaachwa huru kufanya yale ya kitaalam.

Kule Dubai kuna hali ya juu kiuchumi, sababu yule kiongozi wao mkuu alipiga vita wapiga miluzi wa mitandaoni yupo huru kufanya analotaka kwa manufaa ya nchi anayoiongoza.

Demokrasia ikizidi huzaa ujinga mwingi kwa kigezo cha uhuru wa kuongea.
KUONGOZA nchi sio kuongoza FAMILIA YAKO/ KUMTAWALA MKEO AU MUMEO....ukisema ugali wiki nzima ewala ukisema mwisho saa kumi na mbili ewala..

Kuongoza taifa ni kua na upepo kama wa MFALME Suleiman Sasa matatizo huanza pale ambapo AKILI NDOGO INAPO TAKA KUITAWALA AKILI KUBWA.

Wasalamu
Kwa Sasa Cheka kigamboni
 
Kwahoyo huko Dubai, wanaua tu watu akam NZIGE na kuoora mali za umma , na watu wao HAWAPIGI midomo???


TZ siyo kisowa cha MAITI.

Mmeopora madaraka kwa BUNDUKI, kama uweninwote basi ili kusiwe na kelele.

Mapumbavu nyie
Mbona mimi na wewe hatujauliwa?. Vijana jifunzeni kutii sheria bila shuruti.
 
Ameshakwambia yeye anabwatuka tu mambo yakimpanda kichwani na sio shida zake maana wasaidizi wake wapo

Kuna siku niliwaeleza kama kuna watu walimshauri kwenye lile tukio wajipange atakuja kuwataja siku si nyingi dalili zinaonekana kabisa
 
KUTONGOZA nchi sio kuongoza FAMILIA YAKO....ukisema ugali wiki nzima ewala ukisema mwisho saa kumi na mbili ewala..

Kuongoza taifa ni kua na upepo kama wa MFALME Suleiman Sasa matatizo huanza pale ambapo AKILI NDOGO INAPO TAKA KUITAWALA AKILI KUBWA.

Wasalamu
Kwa Sasa Cheka kigamboni
Wewe unayejiona una akili kubwa unaweza kuwa ndio mwenye akili ndogo.

Rwanda na Zanzibar zinapiga hatua zikiongozwa na marais wenye uhuru wa kufanya kile wanachoamua.

Hizi demokrasia za kutaka kila mtu asikike zimetuchelewesha sana.

Hayati JPM angewasikiliza wanaharakati asingeweza kufanya mengi makubwa.
 
Mbona mimi na wewe hatujauliwa?. Vijana jifunzeni kutii sheria bila shuruti.
Kwani WAUAJI wameshamaliza KUUA.

Tunaweza kuuliwa KESHO.


Hata polepole, alisema hajauliwa wakati kina SOKA wanauliwa.

Ila na yeye hayupo.

Wakati Polepole anapotea, WALIOULIWA ikiwemo wenye AKILI MAVI kama zako kina SHEIKH MAJINI pia walisema mbona wao hawajauliwa. Oktoba akauiwa.

Wauaji bado wapo, na WANAUA.

Hata wewe ZAMU yako itafika.
 
Kuna mtu anashangaa kwanini Rwanda na Zanzibar wamepiga hatua, marais hawakutani na wajuaji wengi wa mitandaoni wanaachwa huru kufanya yale ya kitaalam.

Kule Dubai kuna hali ya juu kiuchumi, sababu yule kiongozi wao mkuu alipiga vita wapiga miluzi wa mitandaoni yupo huru kufanya analotaka kwa manufaa ya nchi anayoiongoza.

Demokrasia ikizidi huzaa ujinga mwingi kwa kigezo cha uhuru wa kuongea.
Auwe watu asiambiwe
Ateke watu asiambiwe
 
Wewe unayejiona una akili kubwa unaweza kuwa ndio mwenye akili ndogo.

Rwanda na Zanzibar zinapiga hatua zikiongozwa na marais wenye uhuru wa kufanya kile wanachoamua.

Hizi demokrasia za kutaka kila mtu asikike zimetuchelewesha sana.

Hayati JPM angewasikiliza wanaharakati asingeweza kufanya mengi makubwa.
Hii nchi kinacho takiwa ili makelele yatoweke...jambo ni moja KATIBA MPYA..
PIA INATAKIWA TUTENGENEZE STRONG INSTITUTION...

Ukiwa na strong institution nchi inakua na strong succussion planning mpaka Leo muulize mama SAMIA ndani ya siku 100 katikiza nini?

TUKIFANIKIWA KUWA NA STRONG INSTITUTION KELELE ZITAPUNGUA SANAAAAAA TENA SANAAAAAA..

Kwa uchache sanaa
 
Wewe unayejiona una akili kubwa unaweza kuwa ndio mwenye akili ndogo.

Rwanda na Zanzibar zinapiga hatua zikiongozwa na marais wenye uhuru wa kufanya kile wanachoamua.

Hizi demokrasia za kutaka kila mtu asikike zimetuchelewesha sana.

Hayati JPM angewasikiliza wanaharakati asingeweza kufanya mengi makubwa.
Sasa Rwanda na Zanzibar Kuna maendeleo Gani?
Ikiwa hata hawana maji ya kunywa, barabara hawana, watu masikini wa kutupwa
 
Back
Top Bottom