Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 8,787
- 5,536
Kutojitosheleza mapato kwa sasa haina maana kwamba utalii ukiwekewa mazingira mazuri hauwezi kuiinua Zanzibar.Narudia tena, ww ni kilaza full, ni wapi nimefananisha Tanganyika na Zanzibar? Nimekuambia katazame bajet ya Zanzibar uone kama mapato yake ya utalii na mengineyo yanajitosheleza. Rudia kusoma nlichoandika badala ya kulazimisha kujibu kichawa.
Mnapojibiwa msichopenda kusikia haraka sana mnakimbilia kwenye uchawa, jukwaa huru la majadiliano kila mtu anao uhuru kuja na hoja anazoona zinafaa, jengeni hulka ya kukubaliana na kile msichopenda kukisikia.