Rais Samia: Tanzania ina midomo mingi, kila unalofanya linatafsiriwa

Rais Samia: Tanzania ina midomo mingi, kila unalofanya linatafsiriwa

Hao wauaji, wangejua hilo wangeacha KUUA na kusweoa watu mahabusu kwasababu hata wao WATAKUFA.

Tumefika hapa tulipo, kwasababu WATAWALA wameshindwa kufuata KATIBA, KANUNI na SHERIA za NCHI.

Unapotawala nje ya UTARATIBU uliowekwa usitegemee watawaliwa wakaheshimu huo UTARATIBU.
Ukiwa nje ya mfumo wa utawala kuongea inakuwa kazi nyepesi kuliko ukiwa ndani ya mfumo wa utawala.
 
Ukiwa nje ya mfumo wa utawala kuongea inakuwa kazi nyepesi kuliko ukiwa ndani ya mfumo wa utawala.
Wewe mimi unanijua???

Samia hana akili. Hakafu kajizungushia GENGE la wapumbavu ndio maana ANAKWAMA kila siku.

Suala la KUFIRA wale Wakenya, Waganda au kwateka kina SATIVA na CHAULA lengo lilikuwa ni nini?

Alipanga kufanikisha nini??

Kutuma MAJAMBAZI waende kumpiga NONDO Padre Kitima, ilikuwa afanikishe nini???

Lwmeo Lissu yuko Jela, kwahiyo Samia anachotaka kufanikisha ni kipi?

Oktoba 29, kuua watu kama NZIGE halafu kazoa MIILI ya vitoto kwenda kuzika makaburi ya HALAIKI, ilikuwa lengo ni kufanikisha nini???


Risk ya Polepole, Mdude au Gwajima mpaka kupitia kilochofanyika ilikuwa nini??

Haya kupata kura asilimia 98% siyo CASE. Kura MILIONI 31 alipata vipi??

Dunia nzima wanamuona zuzu, maana hata akili ya kuvukia barabara haikuwepo.

Jitu ambalo elimu la saba ya Zanzibar, Haji Omar Kheir ndio eti mshauri wake Kisiasa, zero kabisa linachojua ni kuua watu tu.
 
Nchi ina ujuaji mwingi, pia imeingiliwa na akili za wanaharakati ambao ni machawa wa wageni.
Wape wananchi wanachotaka. Acha WIZI, MAUAJI, UTEKAJI na UPORAJI.

Kukiri wanaharakati wana ushawishi kuliko nyie ,maana yake mmefeli.

Kwa katiba yetu, Urais unapatikana kwa ushawishi na kura.

Kama wanaharajati wana ushawishi kuliko nyie, hayo madaraka mliyonayo mnayapataje???
 
Kuna mtu anashangaa kwanini Rwanda na Zanzibar wamepiga hatua, marais hawakutani na wajuaji wengi wa mitandaoni wanaachwa huru kufanya yale ya kitaalam.

Kule Dubai kuna hali ya juu kiuchumi, sababu yule kiongozi wao mkuu alipiga vita wapiga miluzi wa mitandaoni yupo huru kufanya analotaka kwa manufaa ya nchi anayoiongoza.

Demokrasia ikizidi huzaa ujinga mwingi kwa kigezo cha uhuru wa kuongea.
Wewe ni wa kukariri tu na hata hujui maana ya demokrasia. Unaweza ukasema Tanzania ni nchi ya kidemokrasia wakati hata serikali yenyewe haijachaguliwa na hao wananchi.
 
Wewe ni wa kukariri tu na hata hujui maana ya demokrasia. Unaweza ukasema Tanzania ni nchi ya kidemokrasia wakati hata serikali yenyewe haijachaguliwa na hao wananchi.
Tumeichagua sisi wananchi, tulipiga kura. Mlileta vurugu mkitegemea kuharibu kila kitu mmepoteza tu muda na nguvu zenu.
 
KUONGOZA nchi sio kuongoza FAMILIA YAKO/ KUMTAWALA MKEO AU MUMEO....ukisema ugali wiki nzima ewala ukisema mwisho saa kumi na mbili ewala..

Kuongoza taifa ni kua na upepo kama wa MFALME Suleiman Sasa matatizo huanza pale ambapo AKILI NDOGO INAPO TAKA KUITAWALA AKILI KUBWA.

Wasalamu
Kwa Sasa Cheka kigamboni
PhD imeongea/imeandika hapa. Wale wenye elimu za hapa na pale (za kuunga unga) tusome kwa utulivu na tafakari
 
Wape wananchi wanachotaka. Acha WIZI, MAUAJI, UTEKAJI na UPORAJI.

Kukiri wanaharakati wana ushawishi kuliko nyie ,maana yake mmefeli.

Kwa katiba yetu, Urais unapatikana kwa ushawishi na kura.

Kama wanaharajati wana ushawishi kuliko nyie, hayo madaraka mliyonayo mnayapataje???
Tumepiga kura, tuliamka asubuhi tukafanya huo mchakato.

Mlifanya vurugu mkitegemea kuharibu kila kitu matokeo yake mmeambulia maumivu tu.
 
Rais Samia akiwaapisha viongozi mbambali aliowateua, amesema Tanzania kila unalofanya linatafsiriwa, akirejelea Uteuzi wa Waziri Rajabu Salum ambapo amedai kuwa watu walisema katolewa. Rais Samia amesema Salumu kakua hivyo amempa nafasi ya kisekta.

SAMUYA kila akiongea anatoa BOKO.

Kwahiyo inamaana Waziri amempeleka hapo ili kumjengea FUTURE yake na si kwa VIGEZO ,ina maana anaowaweka karibu hawaajiriwi kwa vigezo bali ili awakuze? Kama anawasiwasi yeye akiondoka WAZIRI atakuwa hapati nafasi kwasabu kwamba amembeba? Akaona bora ampeleke Wizarani permanent post ambayo hata akitoka bado atakuwepo? Nepotism
 
Tumepiga kura, tuliamka asubuhi tukafanya huo mchakato.

Mlifanya vurugu mkitegemea kuharibu kila kitu matokeo yake mmeambulia maumivu tu.
Mimi nimesimamia uchaguzi.

Hizi kasimulie BIBI mjukuu wako, kama akili za kizwazwa kama zako.
 
Utapokelewa vile unakuja

Ukitufokea tunakufokea nchi ni yetu sio yako acha kutuzingua mżeń….
IMG-20260209-WA0071.jpg
 
Ameshakwambia yeye anabwatuka tu mambo yakimpanda kichwani na sio shida zake maana wasaidizi wake wapo

Kuna siku niliwaeleza kama kuna watu walimshauri kwenye lile tukio wajipange atakuja kuwataja siku si nyingi dalili zinaonekana kabisa
😂😂😂😂😂😂😂
 
Kuna mtu anashangaa kwanini Rwanda na Zanzibar wamepiga hatua, marais hawakutani na wajuaji wengi wa mitandaoni wanaachwa huru kufanya yale ya kitaalam.

Kule Dubai kuna hali ya juu kiuchumi, sababu yule kiongozi wao mkuu alipiga vita wapiga miluzi wa mitandaoni yupo huru kufanya analotaka kwa manufaa ya nchi anayoiongoza.

Demokrasia ikizidi huzaa ujinga mwingi kwa kigezo cha uhuru wa kuongea.

SIkiliza wewe, nchi ambazo watu wake hawapigi kelele ujue kuna maridhiano au kuna mkono wa chuma...

Marekani, UK pamoja na uwezo wao mkubwa kiuchumi, lakini wananchi wake ni wakosoaji wakubwa wa sera za serikali zilizo kinyume na mitazamo yao...
 
Back
Top Bottom