Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,223
- 7,408
BAQWATA Wana hospitali ngapi?
Post ni nzuri TU....BAQWATA Wana hospitali ngapi?
Wachangiaji wamehsajibuSawa mkuu...je ni nani alikuwa analipia "affordability" usemayo ?
Popote ipatikanapo nafuu...nyuma yake Kuna wanaoumia ili kufanikisha hayo....Wachangiaji wamehsajibu
Kumbe Serikali nayo inapambana ili itajirike... DuhRais wa Tanzania, Samia Suluhu ameeleza kuwa Serikali inazitoza kodi taasisi za dini zinazotoa huduma za afya na elimu kwa sababu baadhi zinafanya biashara na si kutoa huduma.
Rais Samia ameeleza hayo leo Alhamisi Julai 8, 2021 wakatia akifungua mkutano mkuu wa 31 wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) unaofanyika mkoani Morogoro.
Amesema wakati mwingine Serikali inakuwa na hospitali na taasisi ya dini inajenga kituo cha afya kwenye eneo hilohilo.
“Hapa ndipo panapokuja lile suala linalolalamikiwa la ushindani wa huduma, taasisi ya dini ina hospitali yake hapo Serikali inajenga kituo cha afya hapo kwa kuona wananchi wakienda huku wanatoa pesa nyingi zaidi kuliko wakipata huduma serikalini.”
“Pia inafanya Serikali kufanya vitu mara mbilimbili kwa kuweka huduma ileile inayopatikana kwa kuweka sehemu moja ambayo sio mtindo mzuri,” amesema
Amesema lengo la Serikali ni kupunguza ugumu wa maisha kwa wananchi ambapo suluhisho lake ni kufanya kazi kwa uwazi na kuaminiana ili wanaotoza kodi wajue taasisi za dini hazifanyi kazi kibiashara.
“Ni lazima mahesabu yawe wazi, watoza kodi waweze kukagua na wajue hali halisi inavyokwenda katika taasisi hizo, ni kweli kumetokea shida mbili tatu katika mifumo hii kuna shule zinazopata misaada kutoka nje, wanapokea wanatoa huduma ya elimu au afya lakini bado taasisi zetu za kodi zimeenda kutoza kodi,”
“Hapa utaona wale wamekusanya jasho la watu wengine sisi tunaenda kutoza kodi, haya yote ni kwa sababu hatukuwa na uwazi, niombe sasa tufanye kazi kwa uwazi na kuaminiana,” amesema.
Rais Samia pia ameeleza kuwa huduma za afya na elimu zimekuwa zikitolewa na sekta binafsi ambapo gharama zinazotolewa kwenye elimu na afya zinalingana ndio sababu na taasisi za dini zikaonekana zinafanya biashara.
“Wale wanaofanya kwenye sekta binafsi malipo yao na viwango ni vilevile vinavyotozwa na taasisi za dini,” ameeleza.
Wanataka wafutiwe kodi,,lakini wao hawataki kupunguza gharama zao wanaziwatoza wananchi,,hiyo haiwezekani,,Hiyo iko sawa, haiwezekani usitozwe kodi afu gharama ni kama anayetozwa.
Wanataka kutajirika kwa migongo ya masikini,,Viongozi wa dini ndilo kundi linaloshika nafasi ya pili kwa kuishi maisha ya anasa baada ya wanasiasa! Majumba ya kifahari, magari makubwa, mipete ya gold na vidani.
Yanapenda kukaa kwenye viti vya mbele kama wasanii na Yesu alikataza!
Walipe kodi tu maana hakuna namna! Kwanza kulipa kodi ni heshima na wakiheshimika hata yale matamko yao yatapewa heshima!
Bora aghakhan haipati ruzuku ya serikali,,hospitali kama bugando ni ya dini,inapata ruzuku na madaktari wanalipwa na serikali,,lakini gharama ziko juu mno,,kama wameshindwa zitaifishwe tu,,Inapmilikiwa na nani hiyo Aghakan mkuu?
Quality ya kinachotolewa inaweza kuwa tofauti Sana. Binafsi isiyo dini quality yake huwa Ni poor na hivyo gharama kuwa chini. I stand to be corrected
Kujipanga tu,nyerere alitoa huduma bure,shule,hospitalSawa mkuu...je ni nani alikuwa analipia "affordability" usemayo ?
Nailed mkuu, hivi ile hospital iliyoko jijijini kati Arusha ya cct/kkkt nayo kweli inatoa huduma au biashara?😂😂😂Viongozi wa dini ndilo kundi linaloshika nafasi ya pili kwa kuishi maisha ya anasa baada ya wanasiasa! Majumba ya kifahari, magari makubwa, mipete ya gold na vidani.
Yanapenda kukaa kwenye viti vya mbele kama wasanii na Yesu alikataza!
Walipe kodi tu maana hakuna namna! Kwanza kulipa kodi ni heshima na wakiheshimika hata yale matamko yao yatapewa heshima!
Bora aghakhan haipati ruzuku ya serikali,,hospitali kama bugando ni ya dini,inapata ruzuku na madaktari wanalipwa na serikali,,lakini gharama ziko juu mno,,kama wameshindwa zitaifishwe tu,,
Mbona Benjamin mkapa hospital ni ya serikali na inajiendesha vizuri kuliko hata hizi za dini?
Mkuu inatia hasira ,na anayewakataa ni Sister wa kitambaa ndio Incharge wa hapo,sasa jiulize hata ule uungwana wa kwaida ukowapi achilia mbali huo Udini wanajivikaDah, taasisi ya kishetani iyo
Mimi ningeshauri serikali iwe na hospitals zake za kanda za rufaa pia kiondoa hizo DDH. Kama wameweza shule kila kata nadhani hawashindwi kujenga hizo Bugando/kcmc kila kandaBora aghakhan haipati ruzuku ya serikali,,hospitali kama bugando ni ya dini,inapata ruzuku na madaktari wanalipwa na serikali,,lakini gharama ziko juu mno,,kama wameshindwa zitaifishwe tu,,
Mbona Benjamin mkapa hospital ni ya serikali na inajiendesha vizuri kuliko hata hizi za dini?
Ule msaada wa Mfalme wa Moroko vp?Wanataka kutajirika kwa migongo ya masikini,,
Walipe kodi tu
Ule msaada wa Mfalme kwa nn haikujengwa Hospitali?Wanataka kutajirika kwa migongo ya masikini,,
Walipe kodi tu
Wazee wa kubatiza majina mshaamzaRais wa makodi. Kila sehemu ni kukamuliwa tu.