Sawa akitoka huko ,aende USA,JAPAN , S.A, MSUMBIJI ,nkRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kesho tarehe 10 Novemba, 2021 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea Cairo nchini Misri kwa Ziara ya Kiserikali ya siku tatu...
Usitufokee tuna Jambo letuMimi huwa nawaita WAPUMBAVU tu. Huwa hawajui wanataka nini maishani. Alikuwepo JK anasafiri sana wakawa wanamuita Vasco Dagama, akaja JPM haendi popote wakadai anakaa sehemu moja nchi inakosa michongo. Kaja SSM safari za nje kibao wameanza kulialia. Ndo maana Mkapa aliwaita WAPUMBAVU NA MAKOFA. Na aliyewaita NYUMBU hakukosea.
Aisee nchi ina hela😊Pesa fulani hivi nzuri kwa siku, mshahara wa DC kata nusu yake halafu ibadili kutoka kwenye pesa ya madafu…
Mh!Mkuu
Umetisha sana
Mpwani naye yuko hoi, Halali usiku
Anawaona ndugu zake ambao walishakufaga
zamani.....
Ugali moto.....
mboga moto....
Watu wataanza kutupiana majini ili wao wapate kusafiri, achana na dolari mzee mwenzanguAisee nchi ina hela😊
Du,anapewa ziara watu wanajipigia pesa,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kesho tarehe 10 Novemba, 2021 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea Cairo nchini Misri kwa Ziara ya Kiserikali ya siku tatu...
Waku up side down tu huyu,hatujachelewa,nani mokozi wetu?Hivi anafahamu kweli kuhusu huu mfumuko wa ghafla wa bei wa bidhaa mbalimbali na hasa zile muhimu? Au ndiyo ameamua tu kuwaachia wafanyabiashara wasio waaminifu kujiamulia vile wapendavyo...
Sawa Ridhiwani,tuko pamojaToka maktaba: 09June 2021
President El-Sisi Makes Phone Call with Tanzania's President
Phone Calls 09 June 2021
Wednesday, 09 June 2021 / 06:25 PM
Phone Calls
Today, President Abdel Fattah El Sisi made a phone call with President of the United Republic of Tanzania Samia Hassan.
The Spokesman for the Egyptian Presidency said that President El-Sisi congratulated the Tanzanian President once again on assuming her new position, wishing her the very best and all the success in performing her duties.
The President also confirmed the special and historical Egyptian-Tanzanian relationship as well as the development in relations seen following His Excellency’s visit to Dar es Salaam in 2017.
The President affirmed Egypt’s keenness to hold talks and promote cooperation with the Tanzanian President with a view to strengthening already-robust relations in various fields in furtherance of the interests of the two brotherly peoples, especially with regard to boosting bilateral trade with Tanzania, encouraging infrastructure development, and providing technical support and capacity building.
For her part, the Tanzanian President expressed her great appreciation to the people and leadership of Egypt, noting that there are broad prospects for developing relations and promoting joint cooperation between Egypt and Tanzania. Tanzania’s President also commended Egypt’s support for the Tanzanian development efforts, especially through working on Tanzania’s Julius Nyerere Dam project (JNHPP Stiegler's Gorge).
Setting a model reflecting the deep, distinguished Egypt-Tanzania relationship, this JNHPP project is also one of the largest national projects in Tanzania.
The Spokesman added that the call discussed the developments of the Grand Ethiopian Renaissance Dam (GERD) issue; the President stressed the need to reach a fair and legally binding agreement on the filling and operation of the dam. In this respect, it was agreed to support negotiations in order to achieve the interests of all three parties and ensure water security of the downstream countries
Source : President El-Sisi Makes Phone Call with Tanzania's President
Ni halali asafiri kila kukicha.Umetisha sana
Mpwani naye yuko hoi, Halali usiku
Anawaona ndugu zake ambao walishakufaga
zamani.....
Ugali moto.....
mboga moto....
Nchi inamshinda anazunguka kama pia!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kesho tarehe 10 Novemba, 2021 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea Cairo nchini Misri kwa Ziara ya Kiserikali ya siku tatu...
Ndugu zako wa uamsho umewatoa,mbowe sio dini yako umeona umsingizie UGAIDI.HOVYO KABISARais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kesho tarehe 10 Novemba, 2021 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea Cairo nchini Misri kwa Ziara ya Kiserikali ya siku tatu...
Atazunguka na kuongeza deni la taifa tu hakuna jipyaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kesho tarehe 10 Novemba, 2021 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea Cairo nchini Misri kwa Ziara ya Kiserikali ya siku tatu...
AmenSafari njema kwake na arudi salama nyumbani