Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 54,987
- 54,119
Hata sisi hatuna maneno mengi
Mama mwenzenuSijawahi kwenye maisha yangu kuwa na mashaka na rais yeyote, ila huyu mama hapana!
Umetoka kulamba miguu Sasa unaelekea kulamba maka*io.Mimi Niko na Samia kwa hili
USSR
Huyu Bibi akiendelea kuchekewa atatuuza na sisi raia!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye amewasili mkoani Arusha kwa ziara ya kikazi ambapo ataongoza maadhimisho siku ya Kimataifa ya kupiga vita dawa za kulevya itakayofanyika kitaifa mkoani humo tarahe Juni 25 mwaka huu kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid amesema yeye hana maneno mengi bali ana vitendo zaidi huku akiangalia wapi anakwenda.
Rais Samia amezungumza baada ya wananchi waliokuwa wamejitokeza kumpokea katika eneo la Tengeru kuanza kuimba nyimbo zenye maneno "Samia Sema, Sema usiogope sema........."
Rais Samia aliwajibu akisema
"Nimeshasema wanangu, mimi sina maneno mengi, mimi vitendo tu ndio vingi. Wakisema mimi ninafanya masikio hivi (huku akiweka mkono wake masikioni) naangalia wapi ninakwenda, kwa hiyo waseme sisi tunafanya”
Wanajamvi, Rais wa Nchi kasema sisi tuseme tu yeye anapiga kazi tu
Credit: Clouds Media
Bado kidogo tu anaenda kwao, tunakazia hapo hapo, hamnaKashalegea
Atuuze mara ngapi? Mkataba unasema DP world akitaka sehemuyeyote ya ‘Territory’ ya Tanganyika, seriakli inatakiwa iwaondoe watu katika eneo hilo kwa gharama zetu wenyewe, na akapewe DP world bila kulioa chochote, apewe bure! Sas auuzwe mara ngapi? Na hii haina kikomo, hata Yesu akirudi..Huyu Bibi akiendelea kuchekewa atatuuza na sisi raia!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye amewasili mkoani Arusha kwa ziara ya kikazi ambapo ataongoza maadhimisho siku ya Kimataifa ya kupiga vita dawa za kulevya itakayofanyika kitaifa mkoani humo tarahe Juni 25 mwaka huu kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid amesema yeye hana maneno mengi bali ana vitendo zaidi huku akiangalia wapi anakwenda.
Rais Samia amezungumza baada ya wananchi waliokuwa wamejitokeza kumpokea katika eneo la Tengeru kuanza kuimba nyimbo zenye maneno "Samia Sema, Sema usiogope sema........."
Rais Samia aliwajibu akisema
"Nimeshasema wanangu, mimi sina maneno mengi, mimi vitendo tu ndio vingi. Wakisema mimi ninafanya masikio hivi (huku akiweka mkono wake masikioni) naangalia wapi ninakwenda, kwa hiyo waseme sisi tunafanya”
Wanajamvi, Rais wa Nchi kasema sisi tuseme tu yeye anapiga kazi tu
Credit: Clouds Media
[emoji23][emoji23]Huyu Bibi akiendelea kuchekewa atatuuza na sisi raia!
HALISIKII DAWA!🤣🤣🤣Tayari sikio la kufa
Kutupiga mnada kikavu kwa maswahiba wakeRais Samia aliwajibu akisema
"Nimeshasema wanangu, mimi sina maneno mengi, mimi vitendo tu ndio vingi. Wakisema mimi ninafanya masikio hivi (huku akiweka mkono wake masikioni) naangalia wapi ninakwenda, kwa hiyo waseme sisi tunafanya”
Tuna macho ila hatuoniYaaani hana aibu, si akauze kwao Zanzibar, vipi huyu?! Ajiuzulu tu kulinda heshima yake.
View attachment 2667592
Mimi Niko na Samia kwa hili
USSR
Anaziba masikio hataki kutusikia sio?! Haya tutaona.Lol!