Plastic
JF-Expert Member
- Jun 2, 2019
- 220
- 332
"Nimeona kina mama warembo kweli, wanang'ara kweli, warembo na wanang'ara hii ni dalili kwamba maji yapo, walikuwa wanapauka kwasababu maji hakuna na yale machache yaliyokuwa yanatafutwa yakifika baba anayasubiri, lakini leo wanang'aa kweli."
- Dkt. Samia Suluhu akiwa ziarani mkoani Singida katika eneo la Sagala jimbo la Singida Kaskazini.
Kumbe maji yanaleta urembo eeh?
EATV