Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,404
- 829,733
Haahahaaa😂😂Si wamejifanya kuja Instagram na sisi tupo Instagram sasa
Haahahaaa😂😂Si wamejifanya kuja Instagram na sisi tupo Instagram sasa
Kwa watu wa aina yako ndiyo maana mpaka leo CCM Iko madarakani!Hawawez kukuelewa ila ipo siku siku watakuelewa, mtihani anao ila mpka sasa amejua kucheza nao kwa kila namna anavyochezewa na kupangua punch zote kupigilia misumari
Kwa Bara la Africa Kwa Sasa kiongozi Bora ni Mama Samia maana amekuwa shujaaa Kwa muda mfupi Kulinda na KUTETEA Taifa lake Kwa Kila namna.
Uzi tayari kachukue buku7 yakoKwa Bara la Africa Kwa Sasa kiongozi Bora ni Mama Samia maana amekuwa shujaaa Kwa muda mfupi Kulinda na KUTETEA Taifa lake Kwa Kila namna.
Wananchi wengine wa nchi zingine africa umewauliza?
Mshana Jr unajua Mwenyekiti wangu Dkt Samia kosa lake kubwa kabisa ni kudhani Dkt Magufuli alikuwa mtu mbaya sana (rejea usemi wa Dkt Kikwete, usirithi adui wa mwenzako, tengeneza wa kwako ila mwisho wa siku akasema hakuna haja ya kutengeneza adui maana hakuna maana), sasa Dkt Samia, rais wetu alirithi adui wa Dkt Magufuli akawashughulikia na akaanza kutengeneza wa kwake na ndiyo haya matokeo. Ila nasema muda wa kujirekebisha anao, yaani akijitokeza kwa watanzania na kujiliza wamsamehe na ashughulikie mfano utekaji, atumbue kazaa wabadhirifu aisee ataupiga mwingi balaa.Baada ya kudharauliwa kwa muda mrefu Watanzania sasahivi wamejipata. Kuna Jeshi la Mashambulizi limezaliwa Jana Tanzania linaitwa Tanzanians on Instagram (IG). Watu hawa wameanza kazi jana tu ila Pages zote za Serikali na machawa zilifunga comment sections. Mashambulizi yao nyuki wanasubiri😄
Muungano ukifa SS wa pwani SS ukanda wa pwani Tanga Hadi Mtwara tunaomba turudi Zanzibar kuliko Kuwa BaraTanganyika
Kuwateka kuwaua kuwabambikia kesi ndiyo kuwatumia wananchi?Anawatumikia wananchi ipasavyo
Nani ambae mahakama imemkuta na kesi ya kubambikiwa?Kuwateka kuwaua kuwabambikia kesi ndiyo kuwatumia wananchi?
Uliunga C pale advance ukakosa ukaenda njia za wizi wizi kisisieemu ukaingia giningi sasa hauna lakutueleza ilihali wewe ni kilaza mbobevu teena chawa wa machawa.Nimetawaliwa na ma-rais wa awamu zote Rais Samia Suluhu ndiye rais bora zaidi kuliko wote, Mungu amlinde.
Kwenye TANU na CCM nilimpigia mbunge mmoja tu nae ni Severino Supa wa Dodoma mjini na nilipata sijampigia kura rais yoyote wa TANU na CCM ila safari hii uchaguzi unaokuja nitampigia kura rais Samia Suluhu Mungu ambariki Rais wa viwango vya dunia
Eee Mungu wa rehema mlinde Rais Samia Suluhu.
Au sio, ww umeshaingia kweny mfumo wao siwez minyana na ww coz unangalia mambo kwa lense ambayo umeshalishwa na kukaririshwa na wapinzani (plus na vibaraka wao waliowatuma) ila bigger picture matatzo yapo kwel ila wala hayak kama unavyoaminishwa ww na ukwl utabaki pale pale wameshafanikiwa kwengine ila hapa hawatafanikiwa kwa hzo njia wanazotumiaKwa watu wa aina yako ndiyo maana mpaka leo CCM Iko madarakani!
Hii hali ya maisha inahitajika kuambiwa na mtu ndiyo ujue!?Au sio, ww umeshaingia kweny mfumo wao siwez minyana na ww coz unangalia mambo kwa lense ambayo umeshalishwa na kukaririshwa na wapinzani (plus na vibaraka wao waliowatuma) ila bigger picture matatzo yapo kwel ila wala hayak kama unavyoaminishwa ww na ukwl utabaki pale pale wameshafanikiwa kwengine ila hapa hawatafanikiwa kwa hzo njia wanazotumia
We endelea kushangilia mtanange dunia hii ni ya wazi hakuna jipya juu ya hizi purukushani, visa, hujuma, propaganda etc ila hii nchi haiwez kuwa hvyo unavyotaka ww au unavyoaminishwa