Rais Samia ndiyo Rais bora kabisa

Rais Samia ndiyo Rais bora kabisa

Kwa Bara la Africa Kwa Sasa kiongozi Bora ni Mama Samia maana amekuwa shujaaa Kwa muda mfupi Kulinda na KUTETEA Taifa lake Kwa Kila namna.
Baada ya kudharauliwa kwa muda mrefu Watanzania sasahivi wamejipata. Kuna Jeshi la Mashambulizi limezaliwa Jana Tanzania linaitwa Tanzanians on Instagram (IG). Watu hawa wameanza kazi jana tu ila Pages zote za Serikali na machawa zilifunga comment sections. Mashambulizi yao nyuki wanasubiri😄
 
Duh.. unaskiaga wale watu wanaitwa "wenye uthubutu", wewe ni mmoja wao Chief.
 
Kwa Bara la Africa Kwa Sasa kiongozi Bora ni Mama Samia maana amekuwa shujaaa Kwa muda mfupi Kulinda na KUTETEA Taifa lake Kwa Kila namna.

Huu ni uchochezi Mkubwa sana uliofanya hapa.
Umeanzisha mada hii ya uchokozi na ya uchochezi makusudi ili kusudi Watu wachangiaji wamkogeshe matusi ya nguoni Mtu huyo unayejifanya unamtetea hapa. Narudia tena kusema kwamba Huu ni uchochezi.
 
Kwa Bara la Africa Kwa Sasa kiongozi Bora ni Mama Samia maana amekuwa shujaaa Kwa muda mfupi Kulinda na KUTETEA Taifa lake Kwa Kila namna.
Hawawez kukuelewa ila ipo siku siku watakuelewa, mtihani anao ila mpka sasa amejua kucheza nao kwa kila namna anavyochezewa na kupangua punch zote kupigilia misumari
 
Baada ya kudharauliwa kwa muda mrefu Watanzania sasahivi wamejipata. Kuna Jeshi la Mashambulizi limezaliwa Jana Tanzania linaitwa Tanzanians on Instagram (IG). Watu hawa wameanza kazi jana tu ila Pages zote za Serikali na machawa zilifunga comment sections. Mashambulizi yao nyuki wanasubiri😄
Muungano ufe, Tanganyika idai Uhuru wake
 
Kwa Bara la Africa Kwa Sasa kiongozi Bora ni Mama Samia maana amekuwa shujaaa Kwa muda mfupi Kulinda na KUTETEA Taifa lake Kwa Kila namna.
Huu ni uchochezi tuu. Unafanya makusudi ili upate kusoma unachokitaka ili kutusababishia matatizo ya ban na kutekwa. Leo hunipati.
 
Hawawez kukuelewa ila ipo siku siku watakuelewa, mtihani anao ila mpka sasa amejua kucheza nao kwa kila namna anavyochezewa na kupangua punch zote kupigilia misumari
Utekaji mauaji kuwabambikia kesi za uongo ndiyo kujua kucheza nao?
 
Kwa Bara la Africa Kwa Sasa kiongozi Bora ni Mama Samia maana amekuwa shujaaa Kwa muda mfupi Kulinda na KUTETEA Taifa lake Kwa Kila namna.
Msiwe na Haraka, MO IBRAHIM FOUNDATION ya muislam mwenzake itakuja na majibu kama ni bora au la
 
Back
Top Bottom