Rais Samia ndiyo Rais bora kabisa

Rais Samia ndiyo Rais bora kabisa

Kwa Bara la Africa Kwa Sasa kiongozi Bora ni Mama Samia maana amekuwa shujaaa Kwa muda mfupi Kulinda na KUTETEA Taifa lake Kwa Kila namna.
ibirisi wa ccm naona mpo Ghetto kwa Amos makala mnavuta Bangi kwa wingi kisha mnajidanganya kuwa Dikteta Mkoloni kaburu Mama iddy Amin Dada Mtesi anapendwa
 
Sio Afrika Duniani kabisa ni number moja tukimuogezea mingine mitano tunaenda kua super power Duniani
 
Kwa Bara la Africa Kwa Sasa kiongozi Bora ni Mama Samia maana amekuwa shujaaa Kwa muda mfupi Kulinda na KUTETEA Taifa lake Kwa Kila namna.

Kazi imeanza
Iringa kuna baridi la mama
 
Sasa ni fupi kwani utabiri wa shekhe Yahya unanda kutimia ccm wenyewe watamgeuka na kukwengua kwenye mbio za Urais
Kitu pekee kinachonipa nguvu hivi sasa ni kuona watanzania wameamka..
 
Nywanoko!
IMG_4925.jpeg
 
Baada ya kudharauliwa kwa muda mrefu Watanzania sasahivi wamejipata. Kuna Jeshi la Mashambulizi limezaliwa Jana Tanzania linaitwa Tanzanians on Instagram (IG). Watu hawa wameanza kazi jana tu ila Pages zote za Serikali na machawa zilifunga comment sections. Mashambulizi yao nyuki wanasubiri😄
Si wamejifanya kuja Instagram na sisi tupo Instagram sasa
 
Kwa Bara la Africa Kwa Sasa kiongozi Bora ni Mama Samia maana amekuwa shujaaa Kwa muda mfupi Kulinda na KUTETEA Taifa lake Kwa Kila namna.
Na kweli amekuwa shujaa wa kuteka ,kubaka nankuua, huyo kweli ni shujaa
 
Back
Top Bottom